Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Professor ajiandae!
Kangi Lugola amebambikwa Makosa tu, kuhusu huo Mkataba, Jiwe anatabia moja ya kisiasa, anaweza kukubalia kitu cha kijinga, akijua unafanya makosa ili akunyooshee kidole, akutumbue! kutishia wengine!
Serikali hii mimi nilimwambia mheshimiwa sitaki kufanya na wewe! na kaa pembeni!
Yeye Mkuu anatamani kila siku aonekane mbele ya public ndo anajua kuchapa kazi, na mwenye akili tu. wengine wote wanakurupuka kufanya maamuzi!
Kwani yeye hana Dhambi?
Kangi Lugola amebambikwa Makosa tu, kuhusu huo Mkataba, Jiwe anatabia moja ya kisiasa, anaweza kukubalia kitu cha kijinga, akijua unafanya makosa ili akunyooshee kidole, akutumbue! kutishia wengine!
Serikali hii mimi nilimwambia mheshimiwa sitaki kufanya na wewe! na kaa pembeni!
Yeye Mkuu anatamani kila siku aonekane mbele ya public ndo anajua kuchapa kazi, na mwenye akili tu. wengine wote wanakurupuka kufanya maamuzi!
Kwani yeye hana Dhambi?