Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Rizevu usimsaau @statesman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakudadavua je?
 
Hahahaaaaa...........nimecheka sana.

Siasa ni sayansi.

Siasa siyo uadui

Maendeleo hayana vyama!
 
Mzee Tupa , kumbe ni kweli kuna watu wako kibaruani ?!. Mi nilidhani ni dhihaka tu kwa supporter wa Ccm !!

Odhis *
 

Mbona tupo wenye chama moyon,i ambao tunatetea chama bila ya malipo, tena tunafanya kwa kukipenda chama chetu.
Wanaolipwa buku saba na hao vijana wa CCM wa kileo kama Polepole ni mamluki.
 
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787].
Makubwa

Odhis *
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…