Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Una matatizo makubwa

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
misasa b7000 uchwara...nyie ndo nnayumbisha viongozi kwa kutetea maovu.haya sasa malipo yamesimamishwa mjiandae kubeba mapanga na mashoka kwa kuelekea msituni kwa ajili ya kujituma kufanya kazi za nguvu kama kukata mkaa,kulima n.k
Mirija ya buku saba imezibwa kwa sasa
 
Ati na kale ka prost. Ka kisarawe nako ni DC ? Kakisimama kila kitu chake kinajulikana humu mitandaoni shabashiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lumumba Buku 7 [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Naamini ni laana walizokuwa wanaliliwa na tz kwa muda mrefu.
They still have a long way to go

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Khaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…