TANZIA Katibu Tawala Arusha, Bw. Richard Kwitega afariki Dunia

Je naye alishiriki kudhulumu uchaguzi Mkuu wa 2020 kwa kutumia ofisi yake ya RAS Arusha? Kama hakushiriki basi Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi.

Kama alishiriki ....
 
Viongozi na watumishi wa serikali ni wahanga wakubwa wa vifo/ulemavu uletwao na ajali...

Sijui chanzo ni nini? Mwendokasi au juju
Mwendo Kasi tu.acha wafe tu maana kutana nao kwenye Kh 50 wao wanapita Kwa mwendo wa zaidi ya speed 120. Kuna siku mpumbavu mmoja na gari ya serikali aliuwa kwenye kibao cha spidi 50 akiwa na spidi Kali toka siku hiyo sinaga huruma na hao watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…