tupendane tuache fitina na majungu maana maisha ni mafupi sana hatujui saa na muda wa kufa, tutende mema wakati wote. pole sana kwa famili na wafanyakazi wenzake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apumzike kwa Amani. Ila madereva wa serikali na hizo overtake zenu hapana. Sasa ukichanganya na overtake za mabasi inakuwa si hali. Hata kama mnaendesha magari ya serikali (au hata mabasi) jueni ajali haichagui uimara wa gari au status ya gari-nashangaa hata hamuofii maisha yenu wenyewe mnovyo overtake! Chonde chonde fuateni sheria kama sisi raia na muache mchezo wa kuwasha mataa yenu na kupita kwenye 50 kph na hizo 120+kph. Ajali inaweza kumpata mtu yeyote ila kuna anayejiweka katika nafasi hatarishi zaidi kupata ajali kwa kuvunja sheria za barabarani kwa ubabe tu. Sasa baba wa watu kapoteza maisha hivi hivi, inauma. Poleni familia ndugu jamaa na marafiki.
Alikuwa Kiongozi Mwerevu, Pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki. Roho wa MUNGU awapunguzie machungu na kuwapa ubaridi wa nafsi. Marehemu apate pumziko la Amani.Salaam Wakuu,
Habari Mbaya ni kwamba Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw.Richard Kwitega amefariki Dunia kutokana na ajali.
View attachment 1693548
Richati kwitega kafariki alasiri ya leo kwa ajali ya gari katika kituo cha afya cha Magugu. Richard alikuwa anaenda Dodoma Kikazi, alipofika maeneo ya Mdori Manyara gari lake iligongana na Basi la Makala uso kwa uso, Basi lilikuwa linalotoka babati.
Baada ya ajali akakimbizwa kituo cha afya cha Magugu ili baadaye apelekwe Babati kwa matibabu zaidi.
Ilipofika saa tisa na dakika 50 akafariki Dunia. Sasa mipango inafanyika ya kuurudisha mwili Arusha.
Apumzike kwa amani
View attachment 1693569
View attachment 1693583View attachment 1693584View attachment 1693585
Itoshe kusema wewe watokea Telegram,utakuta kuna mtu kahamisha barabara [emoji17][emoji17]
Hakuwaonea?Maisha hayana maana kabisa na tunahangaika bure tu kutafuta hela na maisha mazuri.
Dah wewe mtu sijui umewaza nini.Kafanikiwa kuitoroka awamu ya tano
Hayo ataenda kujibu kwa Mungu kama alitenda.Hakuwaonea?
Mwendo wa madereva wa serikali ni tatizo. Hawafuati sheria za barabarani kabisa. Tuna waona huku barabarani mwendo wao.Salaam Wakuu,
Habari Mbaya ni kwamba Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw.Richard Kwitega amefariki Dunia kutokana na ajali.
View attachment 1693548
Richati kwitega kafariki alasiri ya leo kwa ajali ya gari katika kituo cha afya cha Magugu. Richard alikuwa anaenda Dodoma Kikazi, alipofika maeneo ya Mdori Manyara gari lake iligongana na Basi la Makala uso kwa uso, Basi lilikuwa linalotoka babati.
Baada ya ajali akakimbizwa kituo cha afya cha Magugu ili baadaye apelekwe Babati kwa matibabu zaidi.
Ilipofika saa tisa na dakika 50 akafariki Dunia. Sasa mipango inafanyika ya kuurudisha mwili Arusha.
Apumzike kwa amani
View attachment 1693569
View attachment 1693583View attachment 1693584View attachment 1693585
Kufa kifaana Mkuu.Hapo kuna wengine wanaanza kuwaza kuteuliwa kujaza hiyo nafasi.
Hayo machungu hayafikii waliyotufanyia October 28, 2020Inaonekana dereva aliovertake akashindwa kurudi haraka kwenye site yake, akajaribu kutoka nje ya barabara ikawa too late,
Fikiria machungu wanayopata familia na ndugu zake muda huu
Ndiyo hata kwenye uchaguzi waliua maana kwa kweli kifo hakichaguiAcheni akili za kitoto na kipuuzi,kifo hakichagui.