Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona unajitoa akili na kukoment ujinga kwa ajili yake?Nchi hii ina miaka 60 na wananchi wanaokaribia 60m, katika idadi hiyo na miaka hiyo, ni watu watano tu wamefanikiwa kuwa marais wa nchi hii. Hivyo hata Tundu Lisu asipokuwa rais sio tatizo kwani nafasi hiyo ni kama bahati nasibu. Hata hivyo sijajua hoja yako ilikuwa ni nini kwenye post hii.
Ni watanzania siyo chademaWaTanzania Wepi [emoji15]
Mkuu sio juju. Madereva wengi wa magari ya Serikali ni wanaendeshaji wa OVYO kabisa wakifuatiwa na waendesha bodaboda!Viongozi na watumishi wa serikali ni wahanga wakubwa wa vifo/ulemavu uletwao na ajali...
Sijui chanzo ni nini? Mwendokasi au juju
Upo sahihi Mkuu unakuta mtu ana gari spana mkononi lakini inafika salama haya mamitambo yao wakiyaamsha kwa mwendo wa kasi wanaamini yana balance Kama Excavator kumbe hilo ni gari tuu...Mkuu sio juju. Madereva wengi wa magari ya Serikali ni wanaendeshaji wa OVYO kabisa wakifuatiwa na waendesha bodaboda!
Mwendo Kasi tu.acha wafe tu maana kutana nao kwenye Kh 50 wao wanapita Kwa mwendo wa zaidi ya speed 120. Kuna siku mpumbavu mmoja na gari ya serikali aliuwa kwenye kibao cha spidi 50 akiwa na spidi Kali toka siku hiyo sinaga huruma na hao watu.
Mkuu sio juju. Madereva wengi wa magari ya Serikali ni wanaendeshaji wa OVYO kabisa wakifuatiwa na waendesha bodaboda!
Kaipeleka Chato?utakuta kuna mtu kahamisha barabara 😔😔
V.I.P
V8 ikipata ajali halafu mtu afe ujue mwendo ulikuwa mkali Sana.
Hoja yangu ni wewe kujaribu kufurahia kifo cha mtu wa ccm kisa Lisu kushindwa uchaguziNauliza hivi, hoja yako ni nini hapa?
Hakushiriki mchakato WA mabegi?.Huyu jamaaa alikuwa kama mlokole jamani kifo kinachukua watu wema!!
Kama wewe ni mtu wa kusafiri mara nyingi utaelewa nilichokiandika. Fatilia vizuri gari za serikali hasa kwenye vibao ya 50 uone spidi wanazopita nazo utaelewasiku moja isikufanya u conclude kila kitu ni speed.
Wanaoyapata machungu si hao wa October 2020 huenda hawakushiriki hata chembe ya hayoHayo machungu hayafikii waliyotufanyia October 28, 2020