TANZIA Katibu Tawala Arusha, Bw. Richard Kwitega afariki Dunia

TANZIA Katibu Tawala Arusha, Bw. Richard Kwitega afariki Dunia

Unaiba kura na kupoteza utu ili kufanikisha "mitano tena", kisha unakufa! Uliowaibia kura na kuwadharau sasa ndio waende kukuzika?!. Ngoja niende shambani mie.
 
Tangu vyeti feki kwa watumishi wa umma viwapitie hata madereva waliokuwa wakongwe kwenye kazi na sasa kuajiriwa wanyoa viduku ajali zimekuwa haziishi kwa magari ya umma.

RIP......
 
Nimeka wazi kabisa na wala usitake kubadili nilichosema, nimesema hata akifa mtu wa ccm sio tatizo, maana ccm imeua watu ili ikae madarakani kwa shuruti. Lisu hakushindwa uchaguzi maana hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Ila akifa mtu wa chadema ni tatizo?

Hakukuwa na uchaguzi? Kwa mujibu wa hisia zako labda
 
Salaam Wakuu,

Habari Mbaya ni kwamba Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw.Richard Kwitega amefariki Dunia kutokana na ajali.
View attachment 1693548

Richard Kwitega kafariki alasiri ya leo kwa ajali ya gari katika kituo cha afya cha Magugu. Alikuwa anaenda Dodoma Kikazi, alipofika maeneo ya Mdori Manyara gari lake iligongana na Basi la Makala uso kwa uso, basi lilikuwa linalotoka Babati.

Baada ya ajali akakimbizwa kituo cha afya cha Magugu ili baadaye apelekwe Babati kwa matibabu zaidi.

Ilipofika saa tisa na dakika 50 akafariki Dunia. Mipango inafanyika ya kuurudisha mwili Arusha.

Apumzike kwa amani

View attachment 1693569
View attachment 1693583View attachment 1693584View attachment 1693585
Mbona hamsemi chanzo cha ajaii ni mwrndo kasi wa gari ya katibu tawala?
Maana ingekuwa ni uzembe wa dereva wa bus siku nyingi ingesha semwa.
 
Viongozi wengi wa serikalini mara nyingi hawafuati sheria za barabarani. Sijui wapo juu ya sheria? Pia magari yao yanaendeshwa kwa kasi sana. Wana overtake hata zile sehemu zisizo ruhusu overtake. Mwenyezi Mungu awanusuru majeruhi na awajalie pumziko la amani wale waliopoteza maisha kwasababu ya kutofuata sheria kwa magari ya viongozi wetu.
#Maendeleo hayana Chama#
 
Salaam Wakuu,

Habari Mbaya ni kwamba Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw.Richard Kwitega amefariki Dunia kutokana na ajali.
View attachment 1693548

Richard Kwitega kafariki alasiri ya leo kwa ajali ya gari katika kituo cha afya cha Magugu. Alikuwa anaenda Dodoma Kikazi, alipofika maeneo ya Mdori Manyara gari lake iligongana na Basi la Makala uso kwa uso, basi lilikuwa linalotoka Babati.

Baada ya ajali akakimbizwa kituo cha afya cha Magugu ili baadaye apelekwe Babati kwa matibabu zaidi.

Ilipofika saa tisa na dakika 50 akafariki Dunia. Mipango inafanyika ya kuurudisha mwili Arusha.

Apumzike kwa amani

View attachment 1693569
View attachment 1693583View attachment 1693584View attachment 1693585
Pole wafiwa, sasa baada ya Mengi kuongelewa tungependa kujua, shida ilikuwa ni Bus au Gari la STL au yote mawili, ili iwe fundisho kwa sisi Sote
 
dah impact inaonekana ni kubwa.. gari halifai.. R.I.P kwake
Jamani kifo ni kifo lakini Hawa madereva wa magari ya serikali inawezekana wanazo sheria zao za traffic kwani zilizopo wengi wao hawazizingatii...inawezekana huyu wa Arusha siyo kosa la dereva lakini madereva wengi wa magari ya serikali wanaendesha spidi wanaovertake Kila mahali mlimani, kwenye daraja mteremkoni na kadhalika...juzi juzi dereva mwenye gari namba SM 1248..(namba ya mwisho naweka mfukoni) nusura atusababashie ajali mbaya Dar es Salaam...anaovertake kwenye kilima...magari yako foleni yeye anaona hastahili kusimama kwenye foleni anaovertake na mbele linakuja gari...Hawa madereva wa serikali wengi wengi wao Kama siyo baadhi yao ni ovyo kabisa...
 
apumzike anapostahili Ila hawa watu wenye magari ya serikali wanayaendesha vibaya Sana maybe kwa sababu hayasimamishwi na traffic Leo jioni nimekutana na lingine linapita service road maeneo ya Boko kidogo limgonge mwanafunzi na Wala dereva hakujali kusimama aone Kuna madhara amesababisha au laa sio sawa kabisa.
Nilimuona huyo fala alitanua kituo cha daladala, pumbavu sana
 
Hawa wanawenda speed hadi 180 sababu hakuna Trafic anawakamata kama sisi wenye IST - Hizi barabara za Tanzania ukishafika speed 130km/h unaanza kumbeep islael mtoa roho

RIP Afisa Tawala - Dunia ni mapito !! Cha msingi siti tunaobaki ni kutenda wema hapa duniani ili tukipumzika basi tupumzike kwa amani
 
Alikua na v8 akitokea Arusha kuelekea Dodoma.Walipofika mdori mkoa wa Manyara wakagongana na Bus.Ndani walikuwemo na wanawake 3 ambao ni majeruhi pamoja na dereva.Pole zao wafiwa.
... sijui kwanini taarifa ya wizara imeficha hiyo? Kuna kitu hakiko sawa.
 
Nakumbuka uchaguzi wa 2020 basi naendelea kunywa chai yenye mchai chai tuu. Mshahara wa dhambi ni mauti
 
Back
Top Bottom