supasonic
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 356
- 309
Nikiwa kama mhanga wa ajali zinazosababishwa na magari ya serikali.
mwaka 2012 pale junction ya kwenda ITV, niko navuka kwenye zebra, STK 232 nyeupe ikanigonga, ikiwa inatokea mwenge. Nyuma yake kulikua na gari 3 zimekaa foleni kusubiri nivuke, yeye akatanua akaja kunivaa paaaap!
Bahati yangu Mungu aliniokoa maana jamaa alikuja kufunga break karibu kabisa na kichwa changu.
Nikainuka kurudi upande nlipokua. Dereva yule alisepa fasta hakusimama wala kuonesha kujali.
Wito: Maereva wazembe wawajibishwe kwasababu hakuna aliye juu ya sheria.
mwaka 2012 pale junction ya kwenda ITV, niko navuka kwenye zebra, STK 232 nyeupe ikanigonga, ikiwa inatokea mwenge. Nyuma yake kulikua na gari 3 zimekaa foleni kusubiri nivuke, yeye akatanua akaja kunivaa paaaap!
Bahati yangu Mungu aliniokoa maana jamaa alikuja kufunga break karibu kabisa na kichwa changu.
Nikainuka kurudi upande nlipokua. Dereva yule alisepa fasta hakusimama wala kuonesha kujali.
Wito: Maereva wazembe wawajibishwe kwasababu hakuna aliye juu ya sheria.