ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Gari ya 500M, SUV iliyo juu yenye strong chassisHigh speed
Mkuu Kwa Hali hii sio mchezo 👇👇Gari ya 500M, SUV iliyo juu yenye strong chassis
Gari Mpya yenye brakes na suspension nzuri, yenye driver assist kibao, SRS airbag 8+ na mikanda mipyaa
Kupiga mzinga mpaka kufa inabidi ujutahidi sana. Mno. Si ajabu mikanda haikuvaliwa
NothingNothing lasts forever
Maana huyu ni wa pili kutoka Mbozi ndani ya mwezi huu huu. Wa kwanza alikuwa Milton Lupa ambaye aliteuliwa kuwa DED akafa kwa ajali pale Dakawa.Huko serikalini ajali nyingi sana.
Ni kulogana au uzembe wa madereva??
Pole kwa wafiwa.
Madereva wa serikali wanakuwaga making kong sana barabarani kwasababu sheria za barabarani haziwahusu.Chanzo cha ajali ni mwendo Kasi
Mmmh hatari, gari imekua chapati.High speed
Na kama sijakosea kwao ni kama ni pale Hatelele kata ya Shiwinga.Nzunda wa nyumbani kabisa.
TUYANGINE = TUMESEMA
R.I.P mzee wetu.
Bwana Lucas Mwashambwa msiba mkubwa umetupata
You can imagine aisee...High speed
Wapuuzi Sana hao maderevaMadereva wa serikali wanakuwaga making kong sana barabarani kwasababu sheria za barabarani haziwahusu.
Well, sheria kuu ya fizikia ni kwamba "no two objects shall occupy the same space at the same time"
Kuanzia mmoja wao aniparamie nikiwa nimesimama kabisa Iyovi, na nikaishia kutengeneza gari kwa gharama zangu kwasababu hawana bima, nakaa nao mbali
Wanatia hasara tu pesa za walipa kodiMmmh hatari, gari imekua chapati.
Hata ikiwa na bima ikalipwa ila uhai ndiyo haurudi tenaInakuaje gari ya RAS ambayp ni ya serikali Haina Bima?
Gari za serikali hazina bima. Kwenye ajali dereva anakuwa personally liableInakuaje gari ya RAS ambayp ni ya serikali Haina Bima?
Most likely…. İle gari imeharibika sanaIlikuwa mwendo kasi?
RIP Nzunda na suka.
Yani maana yake dereva kajitahidi sana kufa. Hii gari kufa kwa ajali ni ngumu kuliko kupona. Umeona mzinga ulivyo mkubwa ila bado cabin haijabonyea?
Kuna sababu za msingi ,kwanini gari za serikali hazina bima?Gari za serikali hazina bima. Kwenye ajali dereva anakuwa personally liable
56 YRS Amekula kulaHii dunia sio rafiki,pale unapokaa nakujisemea huu ndo muda wa kula matunda ya jasho langu hapo hapo na izrael naye anakuwinda ,ni bora kutokuzaliwa kuliko kufa katika umri wa ujana
Najiuliza hivyo pia ila sijawahi kupewa jibuKuna sababu za msingi ,kwanini gari za serikali hazina bima?