TANZIA Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda afariki kwa ajali ya gari

TANZIA Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda afariki kwa ajali ya gari

Gari ya 500M, SUV iliyo juu yenye strong chassis
Gari Mpya yenye brakes na suspension nzuri, yenye driver assist kibao, SRS airbag 8+ na mikanda mipyaa

Kupiga mzinga mpaka kufa inabidi ujutahidi sana. Mno. Si ajabu mikanda haikuvaliwa
Mkuu Kwa Hali hii sio mchezo 👇👇
wasafifm_1718717196069506.jpg
wasafifm_1718717196070748.jpg
wasafifm_1718717196070387.jpg
jambo_online_tv_1718717902756901.jpg
jambo_online_tv_1718717902756391.jpg
 
Chanzo cha ajali ni mwendo Kasi
Madereva wa serikali wanakuwaga making kong sana barabarani kwasababu sheria za barabarani haziwahusu.

Well, sheria kuu ya fizikia ni kwamba "no two objects shall occupy the same space at the same time" Hii haijalishi plate number

Kuanzia mmoja wao aniparamie nikiwa nimesimama kabisa Iyovi, na nikaishia kutengeneza gari kwa gharama zangu kwasababu hawana bima, nakaa nao mbali
 
Madereva wa serikali wanakuwaga making kong sana barabarani kwasababu sheria za barabarani haziwahusu.

Well, sheria kuu ya fizikia ni kwamba "no two objects shall occupy the same space at the same time"

Kuanzia mmoja wao aniparamie nikiwa nimesimama kabisa Iyovi, na nikaishia kutengeneza gari kwa gharama zangu kwasababu hawana bima, nakaa nao mbali
Wapuuzi Sana hao madereva
Wanajionaga schumacher

Ova
 
Back
Top Bottom