Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Nyamitako ndo nan huyo
Tangu lini kingpzi wa dini likajiita buldoza?Amani iwe nanyi wana wa MUNGU
Juzi kanisa katoliki liliitisha kongamano la ekarist takatifu pale uwanja wa uhuru
Katika watu ambao walikuwepo eneo hilo siku hiyo ni wanasiasa mashuhuri tundulisu, mnyika na Emmanuel chimbi katibu mkuu wa chama cha ccm
Wanasiasa hao waliitwa madhabahuni lakini katibu mkuu wa kanisa hilo ambaye pia ni padre wa Jimbo kuu la singida aligoma kuwapa kipasa sauti akisema wanaweza wakarushiana maneno
Lakin cha kushangaza mwamposa hata kujifunza alishindwa yeye kampa mike makonda, ndo yametokea haya ya yakobo, nebkadineza na Yusuf
Na mengine mengi
Mbalikiwe sana maaskofu wa kanisa katoliki kuanzia jana nawaheshimu sana hakika nyie ni taasisi
LONDON BOY
Na ndio asili yakeOngezea , WA KANISA MOJA, TAKATIFU KATOLIKI LA MITUME, hivyo ndivyo linavyoitwa 🙏🙏🙏😅
Kichuguu na Mlima vinalingana kivipi wajameni.Huo ujasiri wa kulinganisha Kanisa Katoliki na Mwamposa umeutoa wapi? Kuwa na heshima bro! Pia naomba nikusahihishe Kitima hakuwaita hao wanasiasa Madhabahuni bali waliitwa Mimbarini, tufike mahali tutofautishe Madhabahu na Mimbari (Altar vs Podium).
Unawezaje fananisha IST NA BMW. tapeli Mwamposa kwa Fr Kitima ni sawa na ISTAmani iwe nanyi wana wa MUNGU
Juzi kanisa katoliki liliitisha kongamano la ekarist takatifu pale uwanja wa uhuru
Katika watu ambao walikuwepo eneo hilo siku hiyo ni wanasiasa mashuhuri tundulisu, mnyika na Emmanuel chimbi katibu mkuu wa chama cha ccm
Wanasiasa hao waliitwa madhabahuni lakini katibu mkuu wa kanisa hilo ambaye pia ni padre wa Jimbo kuu la singida aligoma kuwapa kipasa sauti akisema wanaweza wakarushiana maneno
Lakin cha kushangaza mwamposa hata kujifunza alishindwa yeye kampa mike makonda, ndo yametokea haya ya yakobo, nebkadineza na Yusuf
Na mengine mengi
Mbalikiwe sana maaskofu wa kanisa katoliki kuanzia jana nawaheshimu sana hakika nyie ni taasisi
LONDON BOY
Shangaa na wewe mkuu!Kichuguu na Mlima vinalingana kivipi wajameni.