Katibu wa Baraza la maaskofu katoliki TEC aligoma kuwapa wanasiasa mike tundulisu, mnyika na chimbi kwanini mwamposa alimpa mike makonda

Tangu lini kingpzi wa dini likajiita buldoza?
 
Huo ujasiri wa kulinganisha Kanisa Katoliki na Mwamposa umeutoa wapi? Kuwa na heshima bro! Pia naomba nikusahihishe Kitima hakuwaita hao wanasiasa Madhabahuni bali waliitwa Mimbarini, tufike mahali tutofautishe Madhabahu na Mimbari (Altar vs Podium).
Kichuguu na Mlima vinalingana kivipi wajameni.
 
Unawezaje fananisha IST NA BMW. tapeli Mwamposa kwa Fr Kitima ni sawa na IST
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…