Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Hiyo ni imani yako potofu, ninao ufahamu kwamba kurahisisha kazi za bandari ni kuifungua nchi, ni kuwezesha biashara ifanyike kwa haraka zaidi na pia ni kusafisha jina la bandari yenyewe kwani siku za nyuma wizi na ufisadi mwingi wa hapo mahali uliondoa kabisa sifa ya kupitishia mzigo wako Tanzania.

Usidhani kuwa kila mtu anafurahia maamuzi ya serikali kuingia mkataba, wapo wengi tu wenye vitumbua vyao vilivyoingia mchanga.
Serikali unajua maana yake ni nini?
Hao unaowasema kuwa na "vitumbua" wanafugwa na nani?

Pamoja na upungufu mkubwa ninaouona toka kwako kuhusu ufinyu wa upeo; jambo ambalo unalisukuma sana mbele na ambalo ndilo mlilomshikisha Samia ni kudhani kwamba sisi kama nchi hatuwezi kufanya kitu chochote kutatua matatizo , hata yale madogo yaliyo katika uwezo bwetu bila ya kukimbilia hao mnaowatafuta waje hapa kuyatatua. Mbaya zaidi, hamuonyeshi uwezo wowote wa kusimamia hayo mnayotaka yatatuliwe na hao wageni. Mmeshindwa hata kusimamia hawa raia wenu, mtaanzia wapi kuhakikisha hao wageni watafanya kazi zao kwa maslahi ya nchi yetu.

Pamoja na hayo yote, niseme wazi hapa, hakuna hata sehemu moja uliyotetea mgeni mwingine yeyote mbali ya DP World. Wewe unamjua tu huyo basi? Sasa huoni maajabu hayo?
 
Mkataba huu wa waarabu umenifungua na kunifundisha mengi niliyokuwa siyajui. Faida zake pia ni nyingi na zinagusa wafanyabiashara wengi sana waliokuwa wanaumia chini chini bila ya kuwa na mtetezi wa kiwango cha Rais wa nchi.
Mkataba huu wa waarabu unao maslahi nao moja kwa moja, ndiyo maana umeganda na hao waarabu tuuu, hujui lingine lolote nje ya waarabu.
Tukisema unaendeshwa na ufisadi na utapeli elewa tunachokizungumzia.
 
Usidhani kuwa kila mtu anafurahia maamuzi ya serikali kuingia mkataba, wapo wengi tu wenye vitumbua vyao vilivyoingia mchanga.
Sina shaka yoyote kuhusu unufaika wako katika hili la DP World.
Kunyang'anywa "vitumbua" kwa hao wengine, ni "kupewa vitumbua" hivyo hivyo wewe. Kwa kila hali taifa letu halinufaiki na chochote hadi hapo tutakapowanyang'anya nyote vitumbua hivyo mnavyogombea kati yanu mafisadi sasa hivi.
 
Sina shaka yoyote kuhusu unufaika wako katika hili la DP World.
Kunyang'anywa "vitumbua" kwa hao wengine, ni "kupewa vitumbua" hivyo hivyo wewe. Kwa kila hali taifa letu halinufaiki na chochote hadi hapo tutakapowanyang'anya nyote vitumbua hivyo mnavyogombea kati yanu mafisadi sasa hivi.
Chunga sana huo wivu, unaweza kwenda nao kaburini.
 
Mkataba huu wa waarabu unao maslahi nao moja kwa moja, ndiyo maana umeganda na hao waarabu tuuu, hujui lingine lolote nje ya waarabu.
Tukisema unaendeshwa na ufisadi na utapeli elewa tunachokizungumzia.
DP World anao utaalam na uzoefu wa end to end logistics chain, huo ni utendaji wa kisasa kabisa wa masuala ya bandari kisasa.

Wengi wetu tukiambiwa kuhusu bandari tunadhani ni kwa maana ile ya kizamani. Hatujui kabisa kwa kina masuala ya LandLord Port na namna yanavyoweza kuusaidia uchumi wetu.

Wewe Kalamu kila mtu unamuona mwizi tu lakini Samia ni rais mwenye kushaurika sana haswa anapokutana na wataalam wenye uwezo wa kujenga hoja zenye maono.
 
Serikali unajua maana yake ni nini?
Hao unaowasema kuwa na "vitumbua" wanafugwa na nani?

Pamoja na upungufu mkubwa ninaouona toka kwako kuhusu ufinyu wa upeo; jambo ambalo unalisukuma sana mbele na ambalo ndilo mlilomshikisha Samia ni kudhani kwamba sisi kama nchi hatuwezi kufanya kitu chochote kutatua matatizo , hata yale madogo yaliyo katika uwezo bwetu bila ya kukimbilia hao mnaowatafuta waje hapa kuyatatua. Mbaya zaidi, hamuonyeshi uwezo wowote wa kusimamia hayo mnayotaka yatatuliwe na hao wageni. Mmeshindwa hata kusimamia hawa raia wenu, mtaanzia wapi kuhakikisha hao wageni watafanya kazi zao kwa maslahi ya nchi yetu.

Pamoja na hayo yote, niseme wazi hapa, hakuna hata sehemu moja uliyotetea mgeni mwingine yeyote mbali ya DP World. Wewe unamjua tu huyo basi? Sasa huoni maajabu hayo?
Usikariri maisha jaribu kufikiria na kuitazama dunia katika ushindani wa kisasa. Huwezi kupata majibu ya changamoto za leo hii mwaka 2023 kwa kutumia kiwango cha upeo cha mwaka 2000.
 
Wasome Kwa niaba ya wananchi watusaidie kung’amua iwapo kutakuwa na hila/mapungufu yoyote mapema.

Kufanya hivyo ni sehemu ya kumtumikia Mungu pia.
 
Usikariri maisha jaribu kufikiria na kuitazama dunia katika ushindani wa kisasa. Huwezi kupata majibu ya changamoto za leo hii mwaka 2023 kwa kutumia kiwango cha upeo cha mwaka 2000.
Kwa mtu mjinga kama wewe dunia yako inaishia kwa DP World, hujui kuwa kuna dunia zaidi ya hao waarabu? Dunia yako unayoiona ni kulamba sehemu chafu za hao wanaokujaza tumbo, huna akili hata ndogo ya kujua Tanzania ya kesho ni ya mTanzania mwenyewe mwenye heshima na uwezo wa kufanya mambo makubwa?

Naona unayo akili ya kitumwa sana wewe.
 
DP World anao utaalam na uzoefu wa end to end logistics chain, huo ni utendaji wa kisasa kabisa wa masuala ya bandari kisasa.
Kwa uwezo wa kufikiri ulio nao wewe hapo ndipo akili yako ilipoishia; kuwa mwarabu ndiye pekee mwenye uwezo huo. Hili pekee linakuondolea heshima ya kujibisfana na mimi. Kwa sababu upeo wako ni mfinyu sana.
Hapo ulipo, na shule yako ndogo sana unapoelezwa hayo uliyokaririshwa unaona kuwa hicho ni kitu kikubwa sana kisichoweza kufanywa na watu wengine.
Unaleta vimaneno hapa vya kukariri tu "...uzoefu wa end to end logistics chain..." kwa mtu maamuma kama wewe unaona hilo ni jambo linaloweza kufanywa na hao waarabu pekee. Kama huo siyo ujuha, tuuite kitu gani?
Ni kwa sababu huelewi chochote katika mambo mengi ndiyo maana unashangaa shangaa tu juu ya kila kitu.
Mawakili wapumbavu kama akina Hamza, wewe unawaita wabobezi, kumbe ni malimbukeni tu.
Kazi yako ni kushangaa shangaa tu mambo unayoelezwa kwa juu juu na kuwa 'impressed' hata bila kujua undani wake ni nini.

Nimekwisha kusoma kama kitabu na kukuona tapeli tu anayesubiri kutupiwa makombo.
 
Wengi wetu tukiambiwa kuhusu bandari tunadhani ni kwa maana ile ya kizamani. Hatujui kabisa kwa kina masuala ya LandLord Port na namna yanavyoweza kuusaidia uchumi wetu.

Wewe Kalamu kila mtu unamuona mwizi tu lakini Samia ni rais mwenye kushaurika sana haswa anapokutana na wataalam wenye uwezo wa kujenga hoja zenye maono.
"....landlord Port..."; vimaneno vya kipuuzi hivi. Huyo Samia anasikiliza watu matapeli, majizi, na kusahau kwamba nchi hii tunao watu wenye uwezo wa kufanya kazi ile kwa ufanisi kabisa.
Msukumo wenu hapa ni ufisadi tu, hakuna zaidi ya hilo.
Hii bandari moja tu nchi nzima ya watu milioni zaidi ya 60 inashindikana vipi kuiendesha kwa ufanisi. Miaka yote hii baada ya uhuru, bado watu wenye akili za kitegemezi na kitapeli kama nyinyi, bado mnaona haiwezekani nchi kuiendesha bandari yake kwa ufanisi?

Mbaya zaidi, badala ya kufanya jitihada za kujijengea uwezo, mnakwenda kuuza mali ya waTanzania moja kwa moja? Huu ni uongozi wa kijinga namna gani huu? Samia kaweka rekodi mbaya sana ambayo haitafikiwa na kiongozi mwingine yeyote. Tena ashukuru sana kama ataachwa aondoke bila kuwekwa hatiani kwa utapeli wa namna hii anaoushiriki hapa.
 
Huu hapa mwaliko kutoka kwa Samia. Inasikitisha na kughafirisha sana.
IMG-20231027-WA0008.jpg
 
Katibu wa TEC Padre Dr. Kitima amesema Maaskofu wanahitaji kuusoma mkataba, walikuwepo watatu na walipoitwa hawakuambiwa kuna nini ila walichosikia ni kuwa Maoni ya Wananchi yamezingatiwa.

Maaskofu walikuwa wanawasemea Wananchi na "Walichosikia" maoni ya Wananchi yamezingatiwa, amesema.

Naye Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema muda ukifika mkataba utapelekwa kwenye Kamati ya Bunge.

View attachment 2794455
Barua ya mwaliko
Wamezoa kupewa baasha za kachi, ndo maana hakuhoji hafla ndogo gani? Yeye alikua uhusiano gani na serikali mpaka imwalike yeye kama yeye sio tasisi.
 
Wamezoa kupewa baasha za kachi, ndo maana hakuhoji hafla ndogo gani? Yeye alikua uhusiano gani na serikali mpaka imwalike yeye kama yeye sio tasisi.

Acha Matusi …..sio viongozi wote wa dini wanategemea hizi bahasha…Bali wanatii mamlaka , unaweza vipi kupewa Mwaliko na Rais na Amiri Jeshi mkuu muache kuhudhuria???
Kosa kubwa limefanywa kutumia uwepo wao kujenga taswira kuwa …wanakubaliana nayo …kuanzia hotuba hadi nyimbo za wasaniii zililenga kuwaaminisha watu kuwa ,’ Hata waliokuwa wanapinga mkataba Leo wamekuja”” …….Mialiko haikusema kuna shughuli ya mkataba ilitaja tu kuna hafla maalum……na huwezi kuanza kuhoji
 
That will never happen.

SERVICE people are YES PEOPLE.

Too brave to kupasua tofali but FEARING of nasty Politicians.

Never will happen.
...Niger na Gabon Wameweza ! Tuombe Mungu mioyo Yao ifunuliwe....
 
Acha Matusi …..sio viongozi wote wa dini wanategemea hizi bahasha…Bali wanatii mamlaka , unaweza vipi kupewa Mwaliko na Rais na Amiri Jeshi mkuu muache kuhudhuria???
Kosa kubwa limefanywa kutumia uwepo wao kujenga taswira kuwa …wanakubaliana nayo …kuanzia hotuba hadi nyimbo za wasaniii zililenga kuwaaminisha watu kuwa ,’ Hata waliokuwa wanapinga mkataba Leo wamekuja”” …….Mialiko haikusema kuna shughuli ya mkataba ilitaja tu kuna hafla maalum……na huwezi kuanza kuhoji
Sasa wange ambia kwamba kuna kusain mkataba wasinge enda??? Wengemgomea Amir jeshi mkuu, nyie mgejua jinsi viongozi wa dini wanavo kua corrupt na wanafiki hata usinge watetea kabisa.
 
Nielewe vizuri, maana naona huelewi. Kama ni "wivu" juu ya Tanzania, sina lolote la kujutia, hasa kutokana na matendo ya watu wa hovyo kama nyinyi, siwezi kamwe kunyamaza.
DP World keshapewa mkataba wa miaka 30, ikiwa tutafika huko basi tutakuwa vikongwe vinavyotembelea fimbo, wewe endelea na makelele yako ya humu jukwaani.
 
Back
Top Bottom