Katika Dunia yenye takribani watu Bilioni 8 leo, zaidi ya watu Bilioni 110 wamewahi kuishi na kufa

Katika Dunia yenye takribani watu Bilioni 8 leo, zaidi ya watu Bilioni 110 wamewahi kuishi na kufa

Daaah
Inatia sana huzuni.
Umenikumbusha kisa cha marehemu bibi yangu aliyefariki 2015.
Alifariki Jumatatu saa 2 asubuhi.
Jana yake Jumapili nilikesha Coco beach, piga sana pombe.
Inafika asubuhi saa 1, napigiwa simu bibi ananiita.
Kufika pale, kila mtu ananiambia bibi yako yuko hoi, anakuita.
Nafika chumbani na pombe pombe zangu bibi akaniambia nimpakate, nikampakata.
Akasema unanuka pombe na kwanini jana hujaenda kanisani.
Aliniambia maneno 3 tu.
Moja, acha pombe,
Pili, usiache kwenda kanisani na jambo la 3 ni siri yangu.
Baada ya pale akanipa funguo kisha akaniambia nakukabidhi huu funguo, tafuta mlango unaoingia funguo hii.
Baada ya pale nikaita watu huku nimempakata.
Akatabasamu, akafumba macho mwenyewe kisha akakata roho.
Aloooo.....sitasahau.
Bibi yangu alikuwa kipenzi changu sana sana sana.
Duuh pole sana aiseee
1-Pombe
2-Ibada
3-..............
 
Ila tuacheni utani.
Mie mwenzenu naogopa sana kufa.
Fanya sana Ibada, kufa kupo na maisha ya hakika yapo Aakhera.
Huko hakuna ujanja ujanja, vile ulivyoishi hapa ndivyo utakavyoishi huko.
Wajanja ,werevu, wababe sana, wasafi sana ,wachafu mno , wasafi, Waumini hawa wote waliishi na tayar wamerejea kwa mola wao
Wakiingoja siku ngumu zaidi katika uhai wa mwanadamu na maisha Mabaya/ Mazuri zaid baada ya siku ya Kiyama.
 
Inatia sana huzuni.
Umenikumbusha kisa cha marehemu bibi yangu aliyefariki 2015.
Alifariki Jumatatu saa 2 asubuhi.
Jana yake Jumapili nilikesha Coco beach, piga sana pombe.
Inafika asubuhi saa 1, napigiwa simu bibi ananiita.
Kufika pale, kila mtu ananiambia bibi yako yuko hoi, anakuita.
Nafika chumbani na pombe pombe zangu bibi akaniambia nimpakate, nikampakata.
Akasema unanuka pombe na kwanini jana hujaenda kanisani.
Aliniambia maneno 3 tu.
Moja, acha pombe,
Pili, usiache kwenda kanisani na jambo la 3 ni siri yangu.
Baada ya pale akanipa funguo kisha akaniambia nakukabidhi huu funguo, tafuta mlango unaoingia funguo hii.
Baada ya pale nikaita watu huku nimempakata.
Akatabasamu, akafumba macho mwenyewe kisha akakata roho.
Aloooo.....sitasahau.
Bibi yangu alikuwa kipenzi changu sana sana sana.
La tatu ilikuwa mjukuu wangu acha uzinzi
 
Fanya sana Ibada, kufa kupo na maisha ya hakika yapo Aakhera.
Huko hakuna ujanja ujanja, vile ulivyoishi hapa ndivyo utakavyoishi huko.
Wajanja ,werevu, wababe sana, wasafi sana ,wachafu mno , wasafi, Waumini hawa wote waliishi na tayar wamerejea kwa mola wao
Wakiingoja siku ngumu zaidi katika uhai wa mwanadamu na maisha Mabaya/ Mazuri zaid baada ya siku ya Kiyama.
Ee MUNGU tujalie mwisho mwema
 
Hii itukumbushe kuwa hii Dunia tunapita, na itusaidie kupunguza kama sio kuacha kabisa kiburi na kujipa umuhimu.

Waliowahi kuishi na kuondoka ni wengi zaidi ya waliopo leo, na kila mmoja kwa wakati wake alikuwa na umuhimu wake.

Hivyo nafasi ya wewe kuishi leo isikufanye ufikiri kuwa ni ya kipekee sana, utaondoka siku moja na watakuja wengine. Maisha yataendelea vizuri tu bila uwepo wako.

Hii nimekumbushwa na huyu kijana wangu mkubwa, nami nikaona niwakumbushe.

Ncha Kali.
alowafanyia hyo sensa ni nan
 
Fanya sana Ibada, kufa kupo na maisha ya hakika yapo Aakhera.
Huko hakuna ujanja ujanja, vile ulivyoishi hapa ndivyo utakavyoishi huko.
Wajanja ,werevu, wababe sana, wasafi sana ,wachafu mno , wasafi, Waumini hawa wote waliishi na tayar wamerejea kwa mola wao
Wakiingoja siku ngumu zaidi katika uhai wa mwanadamu na maisha Mabaya/ Mazuri zaid baada ya siku ya Kiyama.
Yaani nitafanya mema ili nijiandie hazina mbinguni
 
Back
Top Bottom