Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Hiyo Legacy itakusaidia nini ukishakufa?Kufa kupo pale pale, la muhimu ni legacy gani umeacha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo Legacy itakusaidia nini ukishakufa?Kufa kupo pale pale, la muhimu ni legacy gani umeacha.
Wasikutishe uyo kiumbe ayupogoInasemekana huenda wanapigana na zirail mtoa roho.
Duuh pole sana aiseeeInatia sana huzuni.
Umenikumbusha kisa cha marehemu bibi yangu aliyefariki 2015.
Alifariki Jumatatu saa 2 asubuhi.
Jana yake Jumapili nilikesha Coco beach, piga sana pombe.
Inafika asubuhi saa 1, napigiwa simu bibi ananiita.
Kufika pale, kila mtu ananiambia bibi yako yuko hoi, anakuita.
Nafika chumbani na pombe pombe zangu bibi akaniambia nimpakate, nikampakata.
Akasema unanuka pombe na kwanini jana hujaenda kanisani.
Aliniambia maneno 3 tu.
Moja, acha pombe,
Pili, usiache kwenda kanisani na jambo la 3 ni siri yangu.
Baada ya pale akanipa funguo kisha akaniambia nakukabidhi huu funguo, tafuta mlango unaoingia funguo hii.
Baada ya pale nikaita watu huku nimempakata.
Akatabasamu, akafumba macho mwenyewe kisha akakata roho.
Aloooo.....sitasahau.
Bibi yangu alikuwa kipenzi changu sana sana sana.
Asante.Daaah
Duuh pole sana aiseee
1-Pombe
2-Ibada
3-..............
Basi naogopa tu.Wasikutishe uyo kiumbe ayupogo
Pombe sijaacha mpwa.Umeweza kuacha pombe mpwa?
Hakuna, ukweli mchungu sana. We will all be gone.Hvi mpaka 2080
Kuna mtu humu atakua ametoboa kweli.....
Mi nikiwazaga hivo tuu naishiwa nguvu 🤔🤔🤔🤔🙌🙌🙌🙌
Kwani ukimchinja kuku akiwa kwenye sufuria unamkaangaa anaumia,😂 ndo sawa na wew ukiwa ndichi funza wanakumega bila hurumaBasi naogopa tu.
Ule ukimya wa kaburi na michanga ile...🤧🤧🤧
Mkumbuke sana kwa maombi..Nimeuguza mtu mpaka kanifia mikononi.
Alikuwa anatapatapa huku anasema anaogopa sana, anasema eti kuna watu wako kwa mbali anawaona wanamsubiri.
Daaah na jf sijui itakuwepo pia....Hakuna, ukweli mchungu sana. We will all be gone.
Fanya sana Ibada, kufa kupo na maisha ya hakika yapo Aakhera.Ila tuacheni utani.
Mie mwenzenu naogopa sana kufa.
La tatu ilikuwa mjukuu wangu acha uzinziInatia sana huzuni.
Umenikumbusha kisa cha marehemu bibi yangu aliyefariki 2015.
Alifariki Jumatatu saa 2 asubuhi.
Jana yake Jumapili nilikesha Coco beach, piga sana pombe.
Inafika asubuhi saa 1, napigiwa simu bibi ananiita.
Kufika pale, kila mtu ananiambia bibi yako yuko hoi, anakuita.
Nafika chumbani na pombe pombe zangu bibi akaniambia nimpakate, nikampakata.
Akasema unanuka pombe na kwanini jana hujaenda kanisani.
Aliniambia maneno 3 tu.
Moja, acha pombe,
Pili, usiache kwenda kanisani na jambo la 3 ni siri yangu.
Baada ya pale akanipa funguo kisha akaniambia nakukabidhi huu funguo, tafuta mlango unaoingia funguo hii.
Baada ya pale nikaita watu huku nimempakata.
Akatabasamu, akafumba macho mwenyewe kisha akakata roho.
Aloooo.....sitasahau.
Bibi yangu alikuwa kipenzi changu sana sana sana.
Ee MUNGU tujalie mwisho mwemaFanya sana Ibada, kufa kupo na maisha ya hakika yapo Aakhera.
Huko hakuna ujanja ujanja, vile ulivyoishi hapa ndivyo utakavyoishi huko.
Wajanja ,werevu, wababe sana, wasafi sana ,wachafu mno , wasafi, Waumini hawa wote waliishi na tayar wamerejea kwa mola wao
Wakiingoja siku ngumu zaidi katika uhai wa mwanadamu na maisha Mabaya/ Mazuri zaid baada ya siku ya Kiyama.
alowafanyia hyo sensa ni nanHii itukumbushe kuwa hii Dunia tunapita, na itusaidie kupunguza kama sio kuacha kabisa kiburi na kujipa umuhimu.
Waliowahi kuishi na kuondoka ni wengi zaidi ya waliopo leo, na kila mmoja kwa wakati wake alikuwa na umuhimu wake.
Hivyo nafasi ya wewe kuishi leo isikufanye ufikiri kuwa ni ya kipekee sana, utaondoka siku moja na watakuja wengine. Maisha yataendelea vizuri tu bila uwepo wako.
Hii nimekumbushwa na huyu kijana wangu mkubwa, nami nikaona niwakumbushe.
Ncha Kali.
Ilikuwa siri ya ile funguoLa tatu ilikuwa mjukuu wangu acha uzinzi
Yaani nitafanya mema ili nijiandie hazina mbinguniFanya sana Ibada, kufa kupo na maisha ya hakika yapo Aakhera.
Huko hakuna ujanja ujanja, vile ulivyoishi hapa ndivyo utakavyoishi huko.
Wajanja ,werevu, wababe sana, wasafi sana ,wachafu mno , wasafi, Waumini hawa wote waliishi na tayar wamerejea kwa mola wao
Wakiingoja siku ngumu zaidi katika uhai wa mwanadamu na maisha Mabaya/ Mazuri zaid baada ya siku ya Kiyama.
Amina.Mkumbuke sana kwa maombi..