Katika Dunia yenye takribani watu Bilioni 8 leo, zaidi ya watu Bilioni 110 wamewahi kuishi na kufa


View: https://youtube.com/watch?v=q_dRsLRYhn8&si=2yfnObSZdHsyqFAM
 
Umeacha kunywa pombe kama bibi alivyotaka?
 
je uliupata huo mlango?

na pombe uliacha au ndio sote tutakufa?
 
Acha kabisa.
Sijajua ni nini?
Huwa nakunywa mara moja moja.
Je, nimevunja masharti?
Kama alisema uache ni kweli umevunja masharti.
Angesema upunguze ungekuwa upo upo sahihi.
Ila siyo mbaya hiyo ya mara moja moja.
 
Kama alisema uache ni kweli umevunja masharti.
Angesema upunguze ungekuwa upo upo sahihi.
Ila siyo mbaya hiyo ya mara moja moja.
Sasa hiyo mara moja yenyewe saza niulize inakuwaje..πŸ˜„
Naweza kunywa na nikalewa wiki nzima.
Yaani, pombe nakunywa Jumamosi, ila mpaka Jumatano bado nahisi iko kichwani.
 
je uliupata huo mlango?

na pombe uliacha au ndio sote tutakufa?
Nimepunguza, sio kama kipindi kile.

Mlango sijaupata, ila nimeulizia kwa watu wazima kwetu, wamesema huenda ni huko kwetu kijijini.
Na kila nikienda, nashindwa kuupata, maana nyumba za koo zetu zipo nyingi na mbaya zaidi tumetapakaa kuanzia Tanga, Tabora, Dar,na kwingineko.
Najionea kuchoka tu.
 
Nimeuguza mtu mpaka kanifia mikononi.
Alikuwa anatapatapa huku anasema anaogopa sana, anasema eti kuna watu wako kwa mbali anawaona wanamsubiri.
Hata huko anapoenda ataishi kwa KUTAPATAPA vile vile.

Alitakiwa atuliee tu, alikuwa anaogopa asichokijua.

Fear of the unknown is the greater threat than the actual threat itself.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…