Katika Empire zote zilizowahi kuwepo duniani, Roman Empire bado inaendelea kutawala

Ujinga ujinga tu.
 
Mbona inakuwa mbishi. Roman Empire na Holy Roman Empire ni Empire mbili tofauti. Roman Empire ninya kirumi au Italy ya Leo na Holy Roman Empire ni Kikatoliki ndo yenye Jesuits kama shirika la kijasusi la Kikatoli ambayo ndo yenye Holy Roman Empire.
Haiwezekani kutofautisha Roman Empire na Holy Roman Empire, ni kitu kimoja, ni sawa na Knight Templa na Knight of Malta.
 
Hahaha watu kwa mbaali wakajua raia wanafanya tafrija kule..

Niliwahi kumsoma Father Malachi Martin kwenye kitabu cha The Jesuits nilimwelewa sana.
Walivyoona rangi nyeupe wakajua watu wanafanya party 😁

Tukio lingine ambalo Jesuits walihusika ni shambulio la Pearl harbour,
 
Roman Empire ilivyosambaratika ilisha jumla. Hao Majesuit unaowasema ni wa Roma ya Kidini (Holy Roman Empire) ya Kijerumani. Lakini Roman empire ya Rumi, but ya Kijerumani
Ya Kijerumani kivipi na wakati mwanzilishi wake ni St. Ignatius of Loyola na makao

Makuu yapo Italia.
 
Ya Kijerumani kivipi na wakati mwanzilishi wake ni St. Ignatius of Loyola na makao

Makuu yapo Italia.
Holy Roman Empire haijaongozwa na Rumi na wala Makao makuu yake hayajawahi kuwa Italy. Ni Dola yenye kufuata misingi ya Kikatoliki na Dola hii ndo Dola iliyokaa madarakani Kwa miaka zaidi ya 900. Kwa vile inafuata misingi ya Kidini basi watawala wake walikuwa wakisimikwa Kidini na walikuwa na kiapo utii Kwa papa na Kanisa Katoliki. Jesuit kimsingi siyo ya Holy Roman Empire. Jesuit ni ya Wakatoliki yaani ya Papa wa Kikakoliti na maana hadi Leo wapo kama shirika la Kikatoliki
 
Biblia inatambua Empire 6 zilizotawala dunia na kwamba kuna empire moja ya mwisho inakuja. Ufunuo 17:9-12. Empires hizo ni

1. Egypt
2. Asyria
3. Babylon
4. Persian
5. Greece
6. Roman
Kwa mujibu wa Maandiko ya hapo juu kuna ufalme mmoja wa 7 ambaye utadumu muda mchache kisha utakuja ule wa mwisho utakaodhibiti dunia yote. Na utaongozwa na shetani kwa kumtumia mtu mmoja ambaye Biblia inamuita Antichrist. Kwasasa dunia ipo kwenye Transition ya kuelekea kwenye muundo wa mataifa au pande 10 za dunia na hiyo ndiyo itaitwa "New World order" Hii ndiyo itadumu muda mchache kabla ya kuundwa kwa "One world order" chini ya Antichrist!
 
Acha kunilisha maneno hakuna sehemu nilipo sema kuwa sababu ya umasikini na uharifu wao unasababishwa na ukatoliki wao bali nime toa takwimu ili muache kulisha watu matango poli.
Kanisa katoliki lina ushawishi sehemu ambapo kuwa wafuasi wake wengi tu na si hizi tumba zenu mnazo ongea hapa eti waroma wanatawala dunia.

Kwanini uziunganishe Amerika ya kusini na kaskazini hali ya kuwa ni mabara mawili tofauti.
Wakatoliki walioko kaskazini mwa Amerika wanachangia asilimia ndogo sana ya wakatoliki duniani.

Weka takwimu za America ya kusini peke yake alafu ujumlishe na takwimu kutoka Africa tuone kama haifiki %70 ya wakatoliki wote duniani.
 
Kuna mdau ametoa takwimu za Wakatoliki. Bara lenye Wakatoliki wengi zaidi ni North America ikifuatiwa na South America, followed by Europe, Asia then Afrika.
Aliye kudanganya nani?
Amerika ya kusini ina %50 ya wakatoliki wote duniani.
 
Nimekupata vizuri kwa kuitenganisha Holy Roman empire na Society of Jesus (Jesuits)
 
Hawawezi kufika hiyo 70% kwa sababu Ulaya na Asia ina Wakatoliki wengi pia.
 
Mbona inakuwa mbishi. Roman Empire na Holy Roman Empire ni Empire mbili tofauti. Roman Empire ninya kirumi au Italy ya Leo na Holy Roman Empire ni Kikatoliki ndo yenye Jesuits kama shirika la kijasusi la Kikatoli ambayo ndo yenye Holy Roman Empire.
Vijana baada ya kuchanganyikiwa wanaishia kuchanganya madesa.
 
Nchi pekee yenye wakatoliki wengi barani Asia ni Ufilipino nyingine zina idadi ndogo sana ya wakatoliki.
India pia ina wakatoliki wengi kwa percentage ya population ni ndogo lakini

Kumbuka ina watu wengi kama 1.4 billions. Nawanaongezeka kwa kasi hata nchi za kiarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…