Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Yeah kina "Tiberius Augustus".Wakina Julius Caesar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah kina "Tiberius Augustus".Wakina Julius Caesar.
Baadae wakaja wakina Benito Musolin.Yeah kina "Tiberius Augustus".
Sasa unacho bisha ni kitu gani?Ulivyo fala hata kusoma haujui unakimbilia kuuliza utimamu wa mtu. Wewe unaweza kuhoji utimamu wangu mimi? Rudia kusoma hicho nilichokiweka hapo halafu rudi juu zaidi ulipoanzia.
Kila kitu nimeweka na maelezo yapo wazi, lakini bado uaonyesha ufinyu wako wa akili ulivyo.
Kwa kukusaidia tu, ulicho quote ni muendelezo wa nchi nilizozitaja ambapo kwa Afrika nilikuwekea takwimu za nchi ya Congo pekee.
Siku nyingine uwe unasoma kuelewa badala ya kusoma ili ubishe
Hujui kuwa papa ni kiongozi wa nchi hivyo anapewa heshima kwa itifaki za kuserikali?Pia hajaona pia Papa akienda huko Uarabuni anavyopokelewa kama mfalme.
Ni Trump tu au Rais yeyote anayechaguliwa marekani lazima akasalimie Vatican ndipo aanze kazi?Angalia kanisa Katoliki, Vatican ni kila kitu, Trump ataenda kupasalimia ndipo aanza kazi.
Napataje hiki kitabu MkuuJesuits sio watu wazuri hata kidogo, nilifahamu mambo yao mengi kupitia hicho kitabu, hawa sio watu wa kawaida ni zaidi ya psychopath
View attachment 3163807View attachment 3163808
Warumi ni watu wa kaziAlipaswa kufanya zaidi
Wakati wake uliitwa wakati wa ukapa maisha yalikuwa magumu sana huku akibinafsisha (uza) taasisi na mashirika ya umma kwa kigezo Cha uwekezaji
Japo alihubiri ukweli na uwazi lakini ndio kipindi ambacho Ulimwengu alipitia wakati mgumu sana
Suala la barabara wakati wa kikwete ndio zilisambaa zaidi kuliko wakati wa Mkapa
Hawa warumi ndio wamesababisha hadi Sasa asilimia kubwa ya watanzania wanaamini Bora kutawaliwa na muislam kuliko mkristo(huu ni ukweli unaouma) kwa sababu ya ubinafsi wao
Hapa mtaani yuko mwenyekiti ni mrumi dah🙌🙌🙌🙌mtaa wa jirani yupo sio mrumi 👏👏👏👏ila ndio hivyo warumi fanyieni kazi ubinafsi ni mkubwa sana
Sasa unacho bisha ni kitu gani?
Yakuwa sio kweli kuwa America ya kusini na Africa ndo sehemu yenye wakatoliki wengi kuliko sehemu nyingine au ?
Ww ndo kilaza kwa sababu mm nimeweka takwimu za jumla ya population ya wakatoliki wote duniani lakini ww unaniletea takwimu za nchi moja moja.
nimekutengenezea kila kitu , kilichobaki kwa jinsi unavyojibu unaonyesha ufinyu wako wa namna ya kusoma na ku interprete data.Kwa hiyo kwa sababu Uturuki ni taifa lenye waisilam wengi basi ndo kielelezo cha Ulaya kuwa na waisilam wengi kuliko Asia au Africa?
Mkuu mimi nilipata AmazonNapataje hiki kitabu Mkuu
Ukoloni upo..Je mpaka sasa ukoloni upo duniani au haupo?
Ni kwamba Hadi Leo wanakusanya Hela za watu mbalimbali Kutoka mataifa mbalimbali Duniani.Tuambie sasa kati ya Marekani, wayahudi,na Roman katoliki nani mtawala wa dunia maana leo mnamsema huyu kesho mnamsema huyu sasa mnataka tuwaeleweje?
Acheni tabia ya kilishana matango poli Roma haitawali dunia bali ina ushawishi sehemu ambapo kuna wafuasi wake wengi.
Aya Niambie mashariki ya kati,Ulaya mashariki,Asia ya kati,Asia ya mashariki hata hapo Africa ya kaskazini papa ana nguvu gani?
Hapo Rwanda si kagame kafunga mamia ya parokia za kikatoliki huyo papa kamfanya nini.
Mwaka jana nchini Nikaragwa mamia ya mapadili na maasikofu walitia ndani baada ya kungilia majukumu ya serikali na papa hakufanya chochote.
Hapa Tz serikali ya CCM ndo inayo walea ili kuwatumia kwenye masilahi yake lakini wakiamuwa kuteketeza na kuviuwa hivyo vitaasisi vyenu ni chapu na haraka na papa hana uwezo wa kufanya chochote.
Wanakusanya wapi?Ni kwamba Hadi Leo wanakusanya Hela za watu mbalimbali Kutoka mataifa mbalimbali Duniani.
Hii kimantiki ipoje?
Huwajui Jesuits wewe sio?Hakuna cha Roman empire sasa acheni kudanganyana.
Wachambuzi wanauangalia Muungano wa EU kama kurejea kwa Roman EmpireNdio empire pekee ambayo haijapindiliwa. Badala yake, ndio empire pekee iliyogawanyika. Jitihada zote za kuiunganisha zinagonga mwamba
Watakwambia ni conspiracy theories tu hizo wakati hata Captain Smith alikuwa ni miongoni mwao.Usiingize mambo ya imani kwenye haya mambo, Jesuits ni adui wa kila mmoja sio wasabato tu.
Siku ukijua ni nani waliohusika kuzamisha meli ya Titanic ndyo utaua Jesuits Ni watu wa aina gani.
Machoko mnapenda kutaja mabasha zenu kila Mara!bila kusahau msikiti wa sheikh mutallahb watapinga
Captain Smith alipewa maagizo aendeshe meli kwa Speed kubwa bila kujali hatari ya eneo walilokuwa wanapita.Watakwambia ni conspiracy theories tu hizo wakati hata Captain Smith alikuwa ni miongoni mwao.
Kwasababu haiwezekani kabisa Captain mwenye experience ya miaka 25 kupita eneo hilo na ukapewa telegram muda wote kuhusu hali mbaya mbele bado ukomae meli iende full ahead.Captain Smith alipewa maagizo aendeshe meli kwa Speed kubwa bila kujali hatari ya eneo walilokuwa wanapita.
Mwisho na yeye ali commit suicide kwa kile kilicho dhaniwa kwamba ni msongo wa mawazo juu ya ukatili ule aliofanya.