Katika Empire zote zilizowahi kuwepo duniani, Roman Empire bado inaendelea kutawala

Katika Empire zote zilizowahi kuwepo duniani, Roman Empire bado inaendelea kutawala

Kutawala ni nini na Empire ni Nini ? Au habari ya Rise and Fall of Roman Empire ilikupita Kando ? Au leo hii zile West African Empires ambazo zote zilikuwa zinabadilishana na kutawala palepale tuchague moja tuseme ipo mpaka leo...
Je mpaka sasa ukoloni upo duniani au haupo?
 
Alipaswa kufanya zaidi
Wakati wake uliitwa wakati wa ukapa maisha yalikuwa magumu sana huku akibinafsisha (uza) taasisi na mashirika ya umma kwa kigezo Cha uwekezaji
Ulikuwa ni wa Ukapa sababu aliamua kukusanya pesa kutoka mikononi wa watu na kuzipeleka treasury. Zilipofika hazina akazitumia kulipa madeni ya ndani a nje. Kumbuka kuwa tulikoa je ulitaka tusirudishe mikopo? Wafanyakazi wa serikalini hawakuwa na hadhi, ni wakati wa Mkapa watu walianza ku feel hadhi ya kuajiriwa serikalini. Walilipwa madeni mbalimbali yakiwemo malimbikizo ya mishahara. Wakaanza kulipwa mishahara ndani muda. Wafanyabiashara ambao walizoea kuishi kijanja huku kodi hawalipi ndiyo wakaanza kuiimba wimbo wa 'Ukapa'.
Ni wakati wa Mkapa watu wakaanza kujenga nyumba za maana za kuishi, ni wakatti huo Mbezi beach na Mikocheni na Msasani zikafunguka hasa kwa kujengeka. Watu wakaiona thamani ya hela, Jiji likaanza kuwa safi.

Tuliokuwa Dar miaka hiyo tunakatisha tunatembea huki posta tunakwepa vinyesi vya wahindi ambavyo wamevifunga kwenye mifuko ya Rambo na kuvitupa barabarani. Jiji lilikuwa linanuka hasa na hakuna wa kufanya usafi.
Wakati wa Mkapa yote yalirekebishwa
Japo alihubiri ukweli na uwazi lakini ndio kipindi ambacho Ulimwengu alipitia wakati mgumu sana
Suala la barabara wakati wa kikwete ndio zilisambaa zaidi kuliko wakati wa Mkapa.
Mkapa aliacha beacon za Uchumi ziiwa itact, Kikwete aliwahi kukiri kwamba, kwenye swala la barabara Mkapa alacha Pesa yote ya miradi ya barabara iliyotekelezwa katika kipindi chake na hata hazia alikuta pesa ya kutosha.
Hawa warumi ndio wamesababisha hadi Sasa asilimia kubwa ya watanzania wanaamini Bora kutawaliwa na muislam kuliko mkristo(huu ni ukweli unaouma) kwa sababu ya ubinafsi wao
Hapa mtaani yuko mwenyekiti ni mrumi dah🙌🙌🙌🙌mtaa wa jirani yupo sio mrumi 👏👏👏👏ila ndio hivyo warumi fanyieni kazi ubinafsi ni mkubwa sana
Hizi ni story tu ambazo mkishasimuliwa wasikilizajimnaitikia Aamin na nyinyi mnazibeba kwenda kusimuliwa.
Nchi zenu ni za hovyo, watu wa hovyo halafu mkiwapa madaraka wanaishia kufanya mambo ya hovyo, baada ya hapo badala mlaumiane, mkosoane na kujfuza ili mjijenge, mnatufata vitu vya kufikirika ili mvilaumu. Katiba hamtaki ibadilishwe mnataka kulaumu vitu vya kufikirika. Mnaandaa uchaguzi, halafu mnauharibu wenyewe huku watu wakitekwa na kuawa, bado mnarudi vijiweni kulaumu vya kufikirika.
Kumbe tatizo la watanzania siyo CCM na serikali yake bali ni Warumi.
Acha CCM iendelee kuwanyeeni vichwan
 
Kutawala watu kiimani za dini haimanishi bado utawala wako ni superior,empire kutawala maana yake ni kuongoza kiuchumi na kijesho na sio nadharia zako za kiimani.
USA leo ndio mtawala wa Dunia,anaweza akaamua akafanya kama wenzie kuanzisha imani zao binafsi,kama alivyofanya England kuuukataa imani za kiromani na kuanzisha Uangilikana.
Mbona hiyo Imani ya England haikupata nguvu zaidi ya Roma iliyo dunia nzima

Mtu kukutawala sio kiuchumi n kijeshi tuu, hata kifikra hasa kwa sasa
ni aina ya utawala yenye nguvu sana.
 
Ila wagaratia mna mambo ya ajabu sana, mara mtuambie kuwa Wayahudi ndo wana tawala dunia ,mara waroma ndo wanatawala dunia mara Marekani ndo inatawala dunia sasa kushike lipi?
%70 ya wakatoliki duniani ni kutoka Africa na America ya kusini na ndo mabara yaliyo jaa umasikini na uharibifu kuliko sehemu yeyote ulimwenguni.
 
Ulikuwa ni wa uapa sababu aliama kukusanya pesa kutoka mikononi wa watu na kuzipeleka treasury. Zilipofika hazina akazitumia kulipa madeni ya ndani a nje. Kumbuka kuwa tulikoa je ulitaka tusirudishe mikopo? Wafanyakazi wa serikalini hawakuwa na hadhi, ni wakati wa Mkapa watu walianza ku feel hadhi ya kuajiriwa serikalini. Walilipwa madeni mbalimbali yakiwemo malimbikizo ya mishahara. Wakaanza kulipwa mishahara ndani muda. Wafanyabiashara ambao walizoea kuishi kijanja huku kodi hawalipi ndiyo wakaanza kuiimba wimbo wa 'Ukapa'.
Ni wakati wa Mkapa watu wakaanza kujenga nyumba za maana za kuishi, ni wakatti huo Mbezi beach na Mikocheni na Msasani zikafunguka hasa kwa kujengeka. Watu wakaiona thamani ya hela, Jiji likaanza kuwa safi. Tuliokuwa Dar miaka hiyo tunakatisha tunatembea huki posta tunakwepa vinyesi vya wahindi ambavyo wamevifunga kwenye mifuko ya Rambo na kuvitupa barabarani. Jiji lilikuwa linanuka hasa na hakuna wa kufanya usafi.
Wakati wa Mkapa yote yalirekebishwa

Mkapa aliacha beacon za Uchumi ziiwa itact, Kikwete aliwahi kukiri kwamba, kwenye swala la barabara Mkapa alacha Pesa yote ya miradi ya barabara iliyotekelezwa katika kipindi chake na hata hazia alikuta pesa ya kutosha.

Hizi ni story tu ambazo mkishasimuliwa wasikilizajimnaitikia Aamin na nyinyi mnazibeba kwenda kusimuliwa.
Nchi zenu ni za hovyo, watu wa hovyo halafu mkiwapa madaraka wanaishia kufanya mambo ya hovyo, baada ya hapo badala mlaumiane, mkosoane na kujfuza ili mjijenge, mnatufata vitu vya kufikirika ili mvilaumu. Katiba hamtaki ibadilishwe mnataka kulaumu vitu vya kufikirika. Mnaandaa uchaguzi, halafu mnauharibu wenyewe huku watu wakitekwa na kuawa, bado mnarudi vijiweni kulaumu vya kufikirika.
Kumbe tatizo la watanzania siyo CCM na serikali yake bali ni Warumi.
Acha CCM iendelee kuwanyeeni vichwan
Mkuu umeeleza vizuri sana na kwali bado tusafari ndefu kupata

Katiba mpya na CCM kuondoka kwa sababu watu bado wa na fikra
duni sana.
 
Je mpaka sasa ukoloni upo duniani au haupo?
Ukoloni Mamboleo upo ni kama unauliza hivi duniani kuna Usawa ? Jibu ni kwamba Law of Nature au kama ndugu zetu wahindi wanavyosema

Matsya Nyaya (Sanskrit: मात्स्यन्याय; IAST: mātsyanyāya) is an ancient Indian philosophy which refers to the principle of the Law of Fish. It is described as the fundamental law of nature explained by the proverb of the big fish devouring the smaller fish, hence strong devour the weak. It can be equated to the 'Law of the Jungle'.


1732778214056.png
By the way nikifuata logic yako ukiongelea Ukoloni hakuna Sehemu iliyofanya Colonilization kama British Empire sasa hapo swali linakuja was British a Roman Empire by another Name ?
 
Ila wagaratia mna mambo ya ajabu sana, mara mtuambie kuwa Wayahudi ndo wana tawala dunia ,mara waroma ndo wanatawala dunia mara Marekani ndo inatawala dunia sasa kushike lipi?
%70 ya wakatoliki duniani ni kutoka Africa na America ya kusini na ndo mabara yaliyo jaa umasikini na uharibifu kuliko sehemu yeyote ulimwenguni.
Nimekuletea hiyo usome il uweze kuelimika. Next time unapoongelea kuhusu Wagalatia basi uwe unajua kwamba kumbe Ottoman Empire ndiyo Wagalatia ambapo sasa hivi ndiyo inaitwa Uturuki
IMG-20241128-WA0015.jpg
 
Ukoloni Mamboleo upo ni kama unauliza hivi duniani kuna Usawa ? Jibu ni kwamba Law of Nature au kama ndugu zetu wahindi wanavyosema

Matsya Nyaya (Sanskrit: मात्स्यन्याय; IAST: mātsyanyāya) is an ancient Indian philosophy which refers to the principle of the Law of Fish. It is described as the fundamental law of nature explained by the proverb of the big fish devouring the smaller fish, hence strong devour the weak. It can be equated to the 'Law of the Jungle'.

By the way nikifuata logic yako ukiongelea Ukoloni hakuna Sehemu iliyofanya Colonilization kama British Empire sasa hapo swali linakuja was British a Roman Empire by another Name ?

Ndio nilikujibu kwenye swali lako la rise and fall of Roman Empire kwa sababu hata

Ukoloni ulikuwa abolished lakini unaendelea in another forms na hivyo hivyo
hata kutawala sio kijeshi tuu hata kifikra nakadhalika.
 
Alipaswa kufanya zaidi
Wakati wake uliitwa wakati wa ukapa maisha yalikuwa magumu sana huku akibinafsisha (uza) taasisi na mashirika ya umma kwa kigezo Cha uwekezaji
Japo alihubiri ukweli na uwazi lakini ndio kipindi ambacho Ulimwengu alipitia wakati mgumu sana
Suala la barabara wakati wa kikwete ndio zilisambaa zaidi kuliko wakati wa Mkapa
Hawa warumi ndio wamesababisha hadi Sasa asilimia kubwa ya watanzania wanaamini Bora kutawaliwa na muislam kuliko mkristo(huu ni ukweli unaouma) kwa sababu ya ubinafsi wao
Hapa mtaani yuko mwenyekiti ni mrumi dah
 
Ww umetaja nchi moja moja mimi nimetaja population kwa ujumla.

Hata Nigeria na Ethiopia ndo nchi zenye watu wengi kuliko zote barani Africa lakini tukipiga Total ya watu walioko Africa nzima watu ya Nigeria na Ethiopia wanakuwa ni asilia ndogo sana ya waafrica.
 
Nimekuletea hiyo usome il uweze kuelimika. Next time unapoongelea kuhusu Wagalatia basi uwe unajua kwamba kumbe Ottoman Empire ndiyo Wagalatia ambapo sasa hivi ndiyo inaitwa Uturuki
View attachment 3164033
Tuambie sasa kati ya Marekani, wayahudi,na Roman katoliki nani mtawala wa dunia maana leo mnamsema huyu kesho mnamsema huyu sasa mnataka tuwaeleweje?

Acheni tabia ya kilishana matango poli Roma haitawali dunia bali ina ushawishi sehemu ambapo kuna wafuasi wake wengi.
Aya Niambie mashariki ya kati,Ulaya mashariki,Asia ya kati,Asia ya mashariki hata hapo Africa ya kaskazini papa ana nguvu gani?
Hapo Rwanda si kagame kafunga mamia ya parokia za kikatoliki huyo papa kamfanya nini.
Mwaka jana nchini Nikaragwa mamia ya mapadili na maasikofu walitia ndani baada ya kungilia majukumu ya serikali na papa hakufanya chochote.
Hapa Tz serikali ya CCM ndo inayo walea ili kuwatumia kwenye masilahi yake lakini wakiamuwa kuteketeza na kuviuwa hivyo vitaasisi vyenu ni chapu na haraka na papa hana uwezo wa kufanya chochote.
 
Back
Top Bottom