Katika Empire zote zilizowahi kuwepo duniani, Roman Empire bado inaendelea kutawala

Katika Empire zote zilizowahi kuwepo duniani, Roman Empire bado inaendelea kutawala

THE NIGHTMARE OF ROME....NEPOLIONE BONAPARTE (THE CONQUEROR).

History ni tamu Sanaa..hasa hasa ukiiishi au kusimuliwa na wajuvi.
 
Ww umetaja nchi moja moja mimi nimetaja population kwa ujumla.

Hata Nigeria na Ethiopia ndo nchi zenye watu wengi kuliko zote barani Africa lakini tukipiga Total ya watu walioko Africa nzima watu ya Nigeria na Ethiopia wanakuwa ni asilia ndogo sana ya waafrica.
Kwa mujibu wa hizo data nilizokupa ipo hivi;

Kwa kuzifungamanisha nchi na mabara zitokazo.

South America: Brazil (116.1M), Colombia (39.0M) → 155.1M

North America: Mexico (93.0M), United States (69.5M) → 162.5M

Asia: The Philippines (94.0M) → 94.0M

Europe: Italy (46.8M), France (42.2M), Poland (33.1M), Spain (28.8M) → 150.9M

Africa: Democratic Republic of the Congo (76.5M) → 76.5M


------xxxxx------xxxxx-----xxxxxx---

Bara lenye Wakatolki wengi;

North America: 162.5 million

South America: 155.1 million

Europe: 150.9 million

Asia: 94.0 million

Africa: 76.5 million
 
Tuambie sasa kati ya Marekani, wayahudi,na Roman katoliki nani mtawala wa dunia maana leo mnamsema huyu kesho mnamsema huyu sasa mnataka tuwaeleweje?

Acheni tabia ya kilishana matango poli Roma haitawali dunia bali ina ushawishi sehemu ambapo kuna wafuasi wake wengi.
Aya Niambie mashariki ya kati,Ulaya mashariki,Asia ya kati,Asia ya mashariki hata hapo Africa ya kaskazini papa ana nguvu gani?
Hapo Rwanda si kagame kafunga mamia ya parokia za kikatoliki huyo papa kamfanya nini.
Mwaka jana nchini Nikaragwa mamia ya mapadili na maasikofu walitia ndani baada ya kungilia majukumu ya serikali na papa hakufanya chochote.
Hapa Tz serikali ya CCM ndo inayo walea ili kuwatumia kwenye masilahi yake lakini wakiamuwa kuteketeza na kuviuwa hivyo vitaasisi vyenu ni chapu na haraka na papa hana uwezo wa kufanya chochote.
Vizuri umeamua kukiri upofu wako. Kuhusu hoja zako rudia kusoma kati ya nilichoandika na hoja zako halafu tafakari upya ni nani anatakiwa kutoa jibu
 
Ila wagaratia mna mambo ya ajabu sana, mara mtuambie kuwa Wayahudi ndo wana tawala dunia ,mara waroma ndo wanatawala dunia mara Marekani ndo inatawala dunia sasa kushike lipi?
%70 ya wakatoliki duniani ni kutoka Africa na America ya kusini na ndo mabara yaliyo jaa umasikini na uharibifu kuliko sehemu yeyote ulimwenguni.
Ukita kujua nguvu ya ukatoliki muulize Samia alifuata nini Vatican eneo lisilozidi mji wa chalinze ?
 
Kama waroma( Vatican ) tuliweza kupenyeza mfumo wa kalenda unaowezesha kujua muda na tarehe ; Hii ni dalili kuwa wakatoliki ( Vatican) tuna nguvu ya kuitawala dunia . Mfumo wa Gregorian-kalenda ndo unatumiwa na nchi nyingi duniani leo na kesho ikiwemo marekani.
 
Ukita kujua nguvu ya ukatoliki muulize Samia alifuata nini Vatican eneo lisilozidi mji wa chalinze ?
Kumbe ww ni ndina hao wakatoliki si walikuwa wsnaupinga mkataba wa bandari?
Sasa mbona Samia aliupitisha na hawakumfanya chochote.
Alafu kumbe hujui kuwa Vatican ni nchi hivyo Samia kukutana na papa alikutana naye kwa ajili masuala ya kuserikali na sio nchi.
 
Ukita kujua nguvu ya ukatoliki muulize Samia alifuata nini Vatican eneo lisilozidi mji wa chalinze ?
Kumbe ww ni ndina hao wakatoliki si walikuwa wsnaupinga mkataba wa bandari?
Sasa mbona Samia aliupitisha na hawakumfanya chochote.
Alafu kumbe hujui kuwa Vatican ni nchi hivyo Samia kukutana na papa alikutana naye kwa ajili masuala ya kuserikali na sio nchi.
 
Kwa mujibu wa hizo data nilizokupa ipo hivi;

Kwa kuzifungamanisha nchi na mabara zitokazo.

South America: Brazil (116.1M), Colombia (39.0M) → 155.1M

North America: Mexico (93.0M), United States (69.5M) → 162.5M

Asia: The Philippines (94.0M) → 94.0M

Europe: Italy (46.8M), France (42.2M), Poland (33.1M), Spain (28.8M) → 150.9M

Africa: Democratic Republic of the Congo (76.5M) → 76.5M


------xxxxx------xxxxx-----xxxxxx---

Bara lenye Wakatolki wengi;

North America: 162.5 million

South America: 155.1 million

Europe: 150.9 million

Asia: 94.0 million

Africa: 76.5 million
Mkuu uko sawa kweli kichwani?ebu angalia tena takwimu zako ulizo ziweka.
Ya kwamba Africa ina wakatoliki million 76 tu hivi una akili kweli au naongea na kilaza hapa?
Wakatoliki walioko Tz,kenya na uganda,na Zambia tu wanazidi million 76 sembuse Africa nzima?

Hapa duniani kuna zaidi ya wakatoliki bilion 1.3 na bara la kwanza kuwa na wakatoliki wengi ni America kusini alafu ina fuata Africa.

Lakini kwa mujibu wa takwimu zako ni kuwa wakatoliki hawafiki hata milion 500 hapa duniani.
 
Mkuu uko sawa kweli kichwani?ebu angalia tena takwimu zako ulizo ziweka.
Ya kwamba Africa ina wakatoliki million 76 tu hivi una akili kweli au naongea na kilaza hapa?
Wakatoliki walioko Tz,kenya na uganda,na Zambia tu wanazidi million 76 sembuse Africa nzima?

Hapa duniani kuna zaidi ya wakatoliki bilion 1.3 na bara la kwanza kuwa na wakatoliki wengi ni America kusini alafu ina fuata Africa.

Lakini kwa mujibu wa takwimu zako ni kuwa wakatoliki hawafiki hata milion 500 hapa duniani.
Ulivyo fala hata kusoma haujui unakimbilia kuuliza utimamu wa mtu. Wewe unaweza kuhoji utimamu wangu mimi? Rudia kusoma hicho nilichokiweka hapo halafu rudi juu zaidi ulipoanzia.
Kila kitu nimeweka na maelezo yapo wazi, lakini bado uaonyesha ufinyu wako wa akili ulivyo.
Kwa kukusaidia tu, ulicho quote ni muendelezo wa nchi nilizozitaja ambapo kwa Afrika nilikuwekea takwimu za nchi ya Congo pekee.

Siku nyingine uwe unasoma kuelewa badala ya kusoma ili ubishe
 
Back
Top Bottom