TozzyMay
JF-Expert Member
- Dec 30, 2023
- 482
- 1,787
Kupitia MakanisaWanakusanya wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupitia MakanisaWanakusanya wapi?
Alafu kuna matajiri na watu mashuhuri kama JMorgan wali cancel safari masaa machache kabla safari haijaanza.Kwasababu haiwezekani kabisa Captain mwenye experience ya miaka 25 kupita eneo hilo na ukapewa telegram muda wote kuhusu hali mbaya mbele bado ukomae meli iende full ahead.
Holy Roman Empire ndo German na ndo ambayo impacts za utawala wake inaendelea hadi Leo hii. Wengi wanafikuri Holy Roman Empire ndo Italy ya Leo. It's big NoBritish ni global kweli maana effect yake hadi Sasa inaendelea kusumbua.
Sijaona German empire au ndio inawekwa kwenye ottoman empire!?
Roman Empire ilivyosambaratika ilisha jumla. Hao Majesuit unaowasema ni wa Roma ya Kidini (Holy Roman Empire) ya Kijerumani. Lakini Roman empire ya Rumi, but ya KijerumaniSahihi kabisa, Roman Empire bado inatawala na mipango yao au think tank ni upande wa Black pope (Jesuits).
Jesuits haijaanza leo bali enzi za Roman empire, Jesuits ni kikosi maalum kwaajili ya kukabiliana na wapinzani wa Roman empire na tawala zake.Roman Empire ilivyosambaratika ilisha jumla. Hao Majesuit unaowasema ni wa Roma ya Kidini (Holy Roman Empire) ya Kijerumani. Lakini Roman empire ya Rumi, but ya Kijerumani
Lete Maneno......Roman Empire ilivyosambaratika ilisha jumla. Hao Majesuit unaowasema ni wa Roma ya Kidini (Holy Roman Empire) ya Kijerumani. Lakini Roman empire ya Rumi, but ya Kijerumani
Wachambuzi wanauangalia Muungano wa EU kama kurejea kwa Roman Empire
Hata Mimi nafikiri hivyo kuwa Italy ndio Rumi na je kama sio Rumi makao makuu ya Roman empire yalikuwa wapi na viongozi wake origin Yao ilikuwa ipi kwa muktadha wa ramani ya sasaHoly Roman Empire ndo German na ndo ambayo impacts za utawala wake inaendelea hadi Leo hii. Wengi wanafikuri Holy Roman Empire ndo Italy ya Leo. It's big No
Ni kweli ila wabinafsi sanaWarumi ni watu wa kazi
Kuna mdau ametoa takwimu za Wakatoliki. Bara lenye Wakatoliki wengi zaidi ni North America ikifuatiwa na South America, followed by Europe, Asia then Afrika.Mkuu uko sawa kweli kichwani?ebu angalia tena takwimu zako ulizo ziweka.
Ya kwamba Africa ina wakatoliki million 76 tu hivi una akili kweli au naongea na kilaza hapa?
Wakatoliki walioko Tz,kenya na uganda,na Zambia tu wanazidi million 76 sembuse Africa nzima?
Hapa duniani kuna zaidi ya wakatoliki bilion 1.3 na bara la kwanza kuwa na wakatoliki wengi ni America kusini alafu ina fuata Africa.
Lakini kwa mujibu wa takwimu zako ni kuwa wakatoliki hawafiki hata milion 500 hapa duniani.
Makao ya Roman Empire yalikuwa Rome, Italy na baadaye Constantine akahamishia Constanipole ambayo ndo Instambul ya Uturiki ya Leo.Hata Mimi nafikiri hivyo kuwa Italy ndio Rumi na je kama sio Rumi makao makuu ya Roman empire yalikuwa wapi na viongozi wake origin Yao ilikuwa ipi kwa muktadha wa ramani ya sasa
Hahaha watu kwa mbaali wakajua raia wanafanya tafrija kule..Alafu kuna matajiri na watu mashuhuri kama JMorgan wali cancel safari masaa machache kabla safari haijaanza.
Pia baada ya meli kuanza kuzama, walipiga fataki la kutoa ishara ya hatari lakini ajabu fataki liliwaka au kulipuka kwa rangi nyeupe badala ya nyekundu kama ishara ya hatari. Nani alibadili fataki na kwa lengo gani?
Ujinga tu.Huwajui Jesuits wewe sio?
Hata waungane dunia imekwisha watupa mkono sasa dunia inaelekea Asia.Wachambuzi wanauangalia Muungano wa EU kama kurejea kwa Roman Empire
Mbona inakuwa mbishi. Roman Empire na Holy Roman Empire ni Empire mbili tofauti. Roman Empire ninya kirumi au Italy ya Leo na Holy Roman Empire ni Kikatoliki ndo yenye Jesuits kama shirika la kijasusi la Kikatoli ambayo ndo yenye Holy Roman Empire.Jesuits haijaanza leo bali enzi za Roman empire, Jesuits ni kikosi maalum kwaajili ya kukabiliana na wapinzani wa Roman empire na tawala zake.
Jesuits ipo chini ya Black pope ambaye sio rahisi kumsikia akitajwa kama white pope. Ndyomaana anaitwa Black pope kwani ana operate gizani.
Research.......
Huu uzi umebadilishwa? Nilitaka kuchangia pale kwenye jedwali la hizo Empires lakini nashangaa imepotea!Kutawala watu kiimani za dini haimanishi bado utawala wako ni superior,empire kutawala maana yake ni kuongoza kiuchumi na kijesho na sio nadharia zako za kiimani.
USA leo ndio mtawala wa Dunia,anaweza akaamua akafanya kama wenzie kuanzisha imani zao binafsi,kama alivyofanya England kuuukataa imani za kiromani na kuanzisha Uangilikana.
pumbavuMachoko mnapenda kutaja mabasha zenu kila Mara!