jong afrikaanse
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 556
- 830
Ni katika hali ya upumbavu tu, ndio kijana unaeanza game ya ndoa unaweza kuoa msimbe. However, kwa wagane waliofiwa na wake zao huku wakiwa na watoto tayari inaweza kuwa ni option nzuri.Je unaweza kuoa mwanamke mwenye mtoto.
Swali la kijinga sana.Kwani ukioa mwanamke mwenye mtoto atakuwa anakubebesha huyo mtoto?Acha utoto.Je unaweza kuoa mwanamke mwenye mtoto.
HahahahaWanaoleka, hata wake za watu kuna marijali wanawatoa kwa wanaume zao na kuwaoa mpaka mume mtu anapata sukari na presha kwa kunyang'anywa mke aliyezaa nae watoto. Ni wewe tu na nguvu zako.
mwanaume suruali na dhaifu hana uthubutu wa kufanya hivyo ispokua mwanaume kamili na anaejiamini vilivyo ndie pekee aweza kuoa mwanamke bila kujali ana watoto ama laa🐒Je unaweza kuoa mwanamke mwenye mtoto.
Mkuu, Single mother ukimpenda usijibane bane, kama una wasiwasi na baba mtoto na wewe mpe mimba kama nne au tano hivi halafu tulia mtazame. Vita ni vita.Single Mother Raha uwe una mla tu Kwa Ku enjoy
HahahahaMkuu, Single mother ukimpenda usijibane bane, kama una wasiwasi na baba mtoto na wewe mpe mimba kama nne au tano hivi halafu tulia mtazame. Vita ni vita.
Hahaha, mkuu, ukizaa na binti wanaume wengine watakuogopa kama unavyowaogopa? Au ukilega wanaweka ndani hata kama bado unamtaka?Kuoa Single mother ni kujitakia hatari kubwa sana maishani, unaanza kubeba mzigo wa mtoto ambaye sio wako na kulea mtoto na mama
Na unaweza kumuoa ikiwa mwanamume aliyemzalisha huyo mwanamke hayuko hai tena yaani ni marehemu na tatizo kubwa liko kwenye saikolojia ya huyo mwanamke, kwani ukimkwaza kidogo tu atamkumbuka aliyemzalisha na kuanza kumkumbuka na kama mzazi mwenzie yuko hai, hapo ni balaa kubwa kwani wataendeleza mapenzi yao kama kawaida.
In short, epuka Single mother kama ukimwi
Na nzur kabisa,wanawake wazuri na wenye akili kichwani wengi sahv ni singo maza,hapo ndo patamuvijana mnataka ndoa,ila single maza ndo wametapakaa sokoni😂😂 mbona mtajutaaaa na bado
🤣Una maneno🙌Unaoa na faida yàke, unaanza na bao la mwenzako.
Niambie kosa la mtoto hadi unawaza ushetani huu.Kama atakubali tumuue huyo mtoto
Kwa ajili ya ndoa?Kama atakubali tumuue huyo mtoto
Ujana,akikua ataachaNiambie kosa la mtoto hadi unawaza ushetani huu.