Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa

Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa

Naomba nikusahihishe kidogo hapa.
Mh Makonda hakumshambulia Mzee Warioba. Ni mpango mkakati ulikuwa umepangwa ili kumharibia Makonda.

Ni kwamba zile fujo hazikutokea kwa bahati mbaya, zilikuwa zimepangwa kabla ya mkutano na wajanja wachache ambao walijua fika kabisa kuwa fujo hizo zitakapotokea, lazima Mh. Makonda akili yake itakuwa ni kumuwahi Mzee Warioba kwa ajili ya kumkinga ili asidhurike. Kwa hiyo kuna watu walikuwa wamejiandaa kwa ajili ya kumfanyia timing hiyo kwamba pindi atakapoonekana tu anaanza kuchukua uelekeo wa kwenda kumsaidia mzee Warioba, task force hiyo itumie nguvu za ziada za kum-bump na kumsukumiza Mh. Makonda ili akambamize Mzee Warioba badala ya kumuokoa. Hii nchi nyie bado haijaifahamu vizuri

Makonda hawezi kuwa mtu wa Kikwete na Magufuli, halafu wakati huo huo tena akawa adui wa Jaji Warioba, na mwenye kudhihirsha uadui huo kwenye umati wa watu; hiki kitu hakipo hapa duniani
Haiingii akilini mwangu. Unataka kusema Kikwete alikuwa anakubaliana na Jaji Warioba kwenye suala la katiba?

Kama kuna genge lilitumwa kumdhibiti Jaji ni nani yuko nyuma ya genge hilo kama haikuwa CCM, na ni nani Mwenyekiti wa CCM wakati huo kama sio Kikwete. Usitake tuamini kuna wahuni waliamua wamvamie Jaji bila kibali kutoka juu. No one can dare!

We come into conclusion that. Kikwete hakutaka katiba mpya, Jaji Warioba alitaka katika mpya hivyo alikuwa kinyume na Kikwete, waliomvamia Jaji hatujui walitumwa na nani ila Makonda mmoja wapo alipewa ukuu wa wilaya na Kikwete.
 
Haiingii akilini mwangu. Unataka kusema Kikwete alikuwa anakubaliana na Jaji Warioba kwenye suala la katiba?

Kama kuna genge lilitumwa kumdhibiti Jaji ni nani yuko nyuma ya genge hilo kama haikuwa CCM, na ni nani Mwenyekiti wa CCM wakati huo kama sio Kikwete. Usitake tuamini kuna wahuni waliamua wamvamie Jaji bila kibali kutoka juu. No one can dare!

We come into conclusion that. Kikwete hakutaka katiba mpya, Jaji Warioba alitaka katika mpya hivyo alikuwa kinyume na Kikwete, waliomvamia Jaji hatujui walitumwa na nani ila Makonda mmoja wapo alipewa ukuu wa wilaya na Kikwete.
Kikwete kama Rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM kwa wakati huo, hakuwa na haja ya kumdhibiti Mzee Warioba kwa njia za kijinga na kihuni namna hii, assuming angekuwa kweli na nia hiyo. Kiwete alikuwa ana vyombo vyote vyaa dola na Serikali yote mkononi mwake, alikuwa anakosa nini cha kumfanya Jaji anyamaze hadi atumie mbinu ya kitoto namna hii?
Unamuonaje Mh JK, do you think he is as low as this? Mind you, he is also a qualified army officer. Akili nyingi tu imetulia kichwani, hawezi kufanya ujinga wa namna hii
 
Jana tu nimekutana naye mjini Hana ata stress, Mnaomjadili ndio mnaonekana na Stress [emoji28][emoji28]
 
Kikwete kama Rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM kwa wakati huo, hakuwa na haja ya kumdhibiti Mzee Warioba kwa njia za kijinga na kihuni namna hii, assuming angekuwa kweli na nia hiyo. Kiwete alikuwa ana vyombo vyote vyaa dola na Serikali yote mkononi mwake, alikuwa anakosa nini cha kumfanya Jaji anyamaze hadi atumie mbinu ya kitoto namna hii?
Unamuonaje Mh JK, do you think he is as low as this? Mind you, he is also a qualified army officer. Akili nyingi tu imetulia kichwani, hawezi kufanya ujinga wa namna hii
Kudhibiti si lazima utumie nguvu kama kwa Dr. Ulimboka. Lengo ni kuzuia mchakato wa katiba ambao leading figure ni Nani Warioba na hapo hakuwa na haja kutumia nguvu nyingi kupambana na mzee wa watu.

Unasema hawezi fanya hivyo kwa njia za kijinga? Sasa hiyo njia ya kijinga ndio iko more effective kukiko hizo za kuteka watu na kung'oa kucha. Angefanya vinginevyo hapa usingekuwa unapinga, kafanya vile ndio maana unaona ni utoto hawezi fanya. Unachaguaje thug kumpa ukuu wa wilaya bila kumjua
 
Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa.

Hana raha kwa sababu hana mamlaka yoyote tena ya kumfanya afanye vitu vya kuonekana. Makonda kaondokewa na Godfather.

Makonda anatajwatajwa na watu kuwa kwa matendo yake anaweza kuwa zaidi ya Sabaya. Hata Sabaya aliwahi kumtaja kwa sifa Makonda.

Pale Sabaya alipotaka hela kwa nguvu toka kwa wafanyabiashara na kuwadhihaki kuwa "mtajua wenyewe cha kusema kama ni ujambazi au Makonda Style".

Leo hii Sabaya cha Mtoto kwa Makonda,Sabaya Yuko nyuma ya nondo,je Makonda anajisikiaje?

Makonda aliweza kwenda clouds Usiku kibabe na Special force,
Makonda alikua anapigiwa salute,Makonda alikua anaingia nyumba nyeupe vile apendavyo,

Alikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.

Lakini sasa haijulikani Yuko wapi,anafanya nini.

Alikua governor aliishi kifahari ofisini Hadi nyumbani.

Alilalamikiwa Sana lakini hakuguswa,waliomshitaki waiiadhibiwa wao. Hata Waziri wa mambo ya nje wa USA alivyomtuhumu lakini hakuondolewa. Tena tuhuma nzito kabisa za kunyang'anya haki za watu za kuishi lakini hakuondolewa.

Asante Sana TISS kwa kumpigia fix Kisha akaenda kugombea ubunge akashindwa na aliporudi akakuta kiti chake kakaa mwingine.

Leo hii Makonda ana hofu,sijua kama Bado Pasi yake anayo au kakabidhi.

Makonda alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya mara tu baada ya kumzaba vibao Waziri Mkuu mstaafu anaeheshimiwa na watu wengi mzee Warioba.

Makonda akawa Mkuu wa Mkoa,
Akafanya mengi mazuri na mengine sio mazuri.

Akataja wauza na watumia madawa ya kulevya,
Akamtaja mtoto wa aliemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ,Mbowe,Gwaji boi na wengine wengi.

Makonda akataja wanaume waliotelekeza watoto,akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.

Makonda alikua na mengi bana mengine mtaongezea.

Sasa kwa hali ya kawaida Makonda hawezi kuwa na raha, kwa sababu hana mahali pa kufanya mambo ya kuonekana.

Lakini kubwa zaidi ni jinsi anayolinganishwa na jambazi sugu sabaya.nasema jambazi kwa sababu Mahakama tayari imethibitisha hilo.

Mungu fundi.
BAVICHA subirini hukumu ya Gaidi Mbowe ndo akili itawaingia
 
Naomba nikusahihishe kidogo hapa.
Mh Makonda hakumshambulia Mzee Warioba. Ni mpango mkakati ulikuwa umepangwa ili kumharibia Makonda.

Ni kwamba zile fujo hazikutokea kwa bahati mbaya, zilikuwa zimepangwa kabla ya mkutano na wajanja wachache ambao walijua fika kabisa kuwa fujo hizo zitakapotokea, lazima Mh. Makonda akili yake itakuwa ni kumuwahi Mzee Warioba kwa ajili ya kumkinga ili asidhurike. Kwa hiyo kuna watu walikuwa wamejiandaa kwa ajili ya kumfanyia timing hiyo kwamba pindi atakapoonekana tu anaanza kuchukua uelekeo wa kwenda kumsaidia mzee Warioba, task force hiyo itumie nguvu za ziada za kum-bump na kumsukumiza Mh. Makonda ili akambamize Mzee Warioba badala ya kumuokoa. Hii nchi nyie bado haijaifahamu vizuri

Makonda hawezi kuwa mtu wa Kikwete na Magufuli, halafu wakati huo huo tena akawa adui wa Jaji Warioba, na mwenye kudhihirsha uadui huo kwenye umati wa watu; hiki kitu hakipo hapa duniani
Kwa hiyo wewe mlikuwa na Makonda na manajua zaidi. Sisi tuliona aliyengoza fujo zile ni Makonda, ila kama mlikuwa na mpango wenu wenu tofauti kabisa basi sawa.
 
Back
Top Bottom