Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa

Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa

Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa.

Hana raha kwa sababu hana mamlaka yoyote tena ya kumfanya afanye vitu vya kuonekana. Makonda kaondokewa na Godfather.

Makonda anatajwatajwa na watu kuwa kwa matendo yake anaweza kuwa zaidi ya Sabaya. Hata Sabaya aliwahi kumtaja kwa sifa Makonda.

Pale Sabaya alipotaka hela kwa nguvu toka kwa wafanyabiashara na kuwadhihaki kuwa "mtajua wenyewe cha kusema kama ni ujambazi au Makonda Style".

Leo hii Sabaya cha Mtoto kwa Makonda,Sabaya Yuko nyuma ya nondo,je Makonda anajisikiaje?

Makonda aliweza kwenda clouds Usiku kibabe na Special force,
Makonda alikua anapigiwa salute,Makonda alikua anaingia nyumba nyeupe vile apendavyo,

Alikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.

Lakini sasa haijulikani Yuko wapi,anafanya nini.

Alikua governor aliishi kifahari ofisini Hadi nyumbani.

Alilalamikiwa Sana lakini hakuguswa,waliomshitaki waiiadhibiwa wao. Hata Waziri wa mambo ya nje wa USA alivyomtuhumu lakini hakuondolewa. Tena tuhuma nzito kabisa za kunyang'anya haki za watu za kuishi lakini hakuondolewa.

Asante Sana TISS kwa kumpigia fix Kisha akaenda kugombea ubunge akashindwa na aliporudi akakuta kiti chake kakaa mwingine.

Leo hii Makonda ana hofu,sijua kama Bado Pasi yake anayo au kakabidhi.

Makonda alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya mara tu baada ya kumzaba vibao Waziri Mkuu mstaafu anaeheshimiwa na watu wengi mzee Warioba.

Makonda akawa Mkuu wa Mkoa,
Akafanya mengi mazuri na mengine sio mazuri.

Akataja wauza na watumia madawa ya kulevya,
Akamtaja mtoto wa aliemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ,Mbowe,Gwaji boi na wengine wengi.

Makonda akataja wanaume waliotelekeza watoto,akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.

Makonda alikua na mengi bana mengine mtaongezea.

Sasa kwa hali ya kawaida Makonda hawezi kuwa na raha, kwa sababu hana mahali pa kufanya mambo ya kuonekana.

Lakini kubwa zaidi ni jinsi anayolinganishwa na jambazi sugu sabaya.nasema jambazi kwa sababu Mahakama tayari imethibitisha hilo.

Mungu fundi.
si alisema ni kati ya vijana wachache wanaokula BATA nchini, haya bata hilo sasa ahangaike nalo,

Haya sasa kwa pilato tarehe 3, ama lah omba maza akuokoe ili dpp aifute.
 
Hii ni kweli isingekuwa ni ule ukiherehere wa uesi na hangaya kupenda vya wajomba, makondakta angekuwa ameshakula shavu muda kwa mama.
Subiri utakaposikia Makonda kala teuzi ndio utawafahamu vizuri CCM.
 
Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa.

Hana raha kwa sababu hana mamlaka yoyote tena ya kumfanya afanye vitu vya kuonekana. Makonda kaondokewa na Godfather.

Makonda anatajwatajwa na watu kuwa kwa matendo yake anaweza kuwa zaidi ya Sabaya. Hata Sabaya aliwahi kumtaja kwa sifa Makonda.

Pale Sabaya alipotaka hela kwa nguvu toka kwa wafanyabiashara na kuwadhihaki kuwa "mtajua wenyewe cha kusema kama ni ujambazi au Makonda Style".

Leo hii Sabaya cha Mtoto kwa Makonda,Sabaya Yuko nyuma ya nondo,je Makonda anajisikiaje?

Makonda aliweza kwenda clouds Usiku kibabe na Special force,
Makonda alikua anapigiwa salute,Makonda alikua anaingia nyumba nyeupe vile apendavyo,

Alikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.

Lakini sasa haijulikani Yuko wapi,anafanya nini.

Alikua governor aliishi kifahari ofisini Hadi nyumbani.

Alilalamikiwa Sana lakini hakuguswa,waliomshitaki waiiadhibiwa wao. Hata Waziri wa mambo ya nje wa USA alivyomtuhumu lakini hakuondolewa. Tena tuhuma nzito kabisa za kunyang'anya haki za watu za kuishi lakini hakuondolewa.

Asante Sana TISS kwa kumpigia fix Kisha akaenda kugombea ubunge akashindwa na aliporudi akakuta kiti chake kakaa mwingine.

Leo hii Makonda ana hofu,sijua kama Bado Pasi yake anayo au kakabidhi.

Makonda alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya mara tu baada ya kumzaba vibao Waziri Mkuu mstaafu anaeheshimiwa na watu wengi mzee Warioba.

Makonda akawa Mkuu wa Mkoa,
Akafanya mengi mazuri na mengine sio mazuri.

Akataja wauza na watumia madawa ya kulevya,
Akamtaja mtoto wa aliemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ,Mbowe,Gwaji boi na wengine wengi.

Makonda akataja wanaume waliotelekeza watoto,akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.

Makonda alikua na mengi bana mengine mtaongezea.

Sasa kwa hali ya kawaida Makonda hawezi kuwa na raha, kwa sababu hana mahali pa kufanya mambo ya kuonekana.

Lakini kubwa zaidi ni jinsi anayolinganishwa na jambazi sugu sabaya.nasema jambazi kwa sababu Mahakama tayari imethibitisha hilo.

Mungu fundi.
For sure Mungu fundi. Maisha yetu yametawaliwa na sifa na kiburi, uroho wa mali na madaraka. Mara nyingi mwisho mbaya hutokea kwale walio abuse nafasi na madaraka yao. Tujifunze kuishi kwa kuheshimu walio chini yetu ili tunaposhuka au kuporomoka wasikitike badala ya kushangilia
 
Kupambana kujenga uchumi wake na wa 'taifa' hakumumzuii kutoa maoni yake kuukumbusha umma kuwa watu waishi kwa umakini kwa it's very likely waja wengi huvuma wanachokipanda yaani ukitenda maovi kuna uwezekano mkubwa ukavuna maovu kama hukumu ya Sabaya ambayo ni malipo ya maovu aliyotenda. View attachment 2026126
Unaweza kutuambia maovu ya mtu na kutudhibitishia au wewe ni mtaamu wa kusimulia baada ya kusimuliwa.....Zingitia muda ni mali.....acha vyombo husika vitimize wajibu wake...,
 
You must be very stupid, hii ni forum huru na kutoa maoni hapa hakuzuii vyombo husika kufanya kazi zake professionally.
Fanya yako kwa kuzingatia muda wako, kwa kuwa haunisaidii kutunza familia yangu issue ya muda kuwa mali haswa 'muda wangu' on this case it's none of your business.
Mahakama inafanya yake na waliokutwa na hatia wameshakula mvua ambazo ni stahiki yao, yajayo yanafurahisha.
Muda ndo msema kweli uko too imotional.....usipànic relax
 
Mtoto_wa_kiume_unaogopa_Mahakama%3F_Toka_huko_uliko_jificha_brother._Tutakuweka_makofi!.jpg
 
Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa.

Hana raha kwa sababu hana mamlaka yoyote tena ya kumfanya afanye vitu vya kuonekana. Makonda kaondokewa na Godfather.

Makonda anatajwatajwa na watu kuwa kwa matendo yake anaweza kuwa zaidi ya Sabaya. Hata Sabaya aliwahi kumtaja kwa sifa Makonda.

Pale Sabaya alipotaka hela kwa nguvu toka kwa wafanyabiashara na kuwadhihaki kuwa "mtajua wenyewe cha kusema kama ni ujambazi au Makonda Style".

Leo hii Sabaya cha Mtoto kwa Makonda,Sabaya Yuko nyuma ya nondo,je Makonda anajisikiaje?

Makonda aliweza kwenda clouds Usiku kibabe na Special force,
Makonda alikua anapigiwa salute,Makonda alikua anaingia nyumba nyeupe vile apendavyo,

Alikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.

Lakini sasa haijulikani Yuko wapi,anafanya nini.

Alikua governor aliishi kifahari ofisini Hadi nyumbani.

Alilalamikiwa Sana lakini hakuguswa,waliomshitaki waiiadhibiwa wao. Hata Waziri wa mambo ya nje wa USA alivyomtuhumu lakini hakuondolewa. Tena tuhuma nzito kabisa za kunyang'anya haki za watu za kuishi lakini hakuondolewa.

Asante Sana TISS kwa kumpigia fix Kisha akaenda kugombea ubunge akashindwa na aliporudi akakuta kiti chake kakaa mwingine.

Leo hii Makonda ana hofu,sijua kama Bado Pasi yake anayo au kakabidhi.

Makonda alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya mara tu baada ya kumzaba vibao Waziri Mkuu mstaafu anaeheshimiwa na watu wengi mzee Warioba.

Makonda akawa Mkuu wa Mkoa,
Akafanya mengi mazuri na mengine sio mazuri.

Akataja wauza na watumia madawa ya kulevya,
Akamtaja mtoto wa aliemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ,Mbowe,Gwaji boi na wengine wengi.

Makonda akataja wanaume waliotelekeza watoto,akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.

Makonda alikua na mengi bana mengine mtaongezea.

Sasa kwa hali ya kawaida Makonda hawezi kuwa na raha, kwa sababu hana mahali pa kufanya mambo ya kuonekana.

Lakini kubwa zaidi ni jinsi anayolinganishwa na jambazi sugu sabaya.nasema jambazi kwa sababu Mahakama tayari imethibitisha hilo.

Mungu fundi.
Magufuli hakuwa "Godfather" wa Makonda bali ni Kikwete ndiye aliyempaisha kuwa mkuu wa wilaya. Wakati Makonda anamshambulia mzee Warioba pale Ubungo plaza kuhusu katiba mpya, aliyekuwa mwenyekti wa CCM ni Kikwete, na pamoja na vurugu hizo, bado Kikwete huyo akampandisha kuwa mkuu wa wilaya ya kinondoni. Magufuli kamkuta akiwa mkuu wa wilaya hivyo kumfanya mkuu wa mkoa alimpa promotion tu.
 
Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa.

Hana raha kwa sababu hana mamlaka yoyote tena ya kumfanya afanye vitu vya kuonekana. Makonda kaondokewa na Godfather.

Makonda anatajwatajwa na watu kuwa kwa matendo yake anaweza kuwa zaidi ya Sabaya. Hata Sabaya aliwahi kumtaja kwa sifa Makonda.

Pale Sabaya alipotaka hela kwa nguvu toka kwa wafanyabiashara na kuwadhihaki kuwa "mtajua wenyewe cha kusema kama ni ujambazi au Makonda Style".

Leo hii Sabaya cha Mtoto kwa Makonda,Sabaya Yuko nyuma ya nondo,je Makonda anajisikiaje?

Makonda aliweza kwenda clouds Usiku kibabe na Special force,
Makonda alikua anapigiwa salute,Makonda alikua anaingia nyumba nyeupe vile apendavyo,

Alikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.

Lakini sasa haijulikani Yuko wapi,anafanya nini.

Alikua governor aliishi kifahari ofisini Hadi nyumbani.

Alilalamikiwa Sana lakini hakuguswa,waliomshitaki waiiadhibiwa wao. Hata Waziri wa mambo ya nje wa USA alivyomtuhumu lakini hakuondolewa. Tena tuhuma nzito kabisa za kunyang'anya haki za watu za kuishi lakini hakuondolewa.

Asante Sana TISS kwa kumpigia fix Kisha akaenda kugombea ubunge akashindwa na aliporudi akakuta kiti chake kakaa mwingine.

Leo hii Makonda ana hofu,sijua kama Bado Pasi yake anayo au kakabidhi.

Makonda alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya mara tu baada ya kumzaba vibao Waziri Mkuu mstaafu anaeheshimiwa na watu wengi mzee Warioba.

Makonda akawa Mkuu wa Mkoa,
Akafanya mengi mazuri na mengine sio mazuri.

Akataja wauza na watumia madawa ya kulevya,
Akamtaja mtoto wa aliemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ,Mbowe,Gwaji boi na wengine wengi.

Makonda akataja wanaume waliotelekeza watoto,akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.

Makonda alikua na mengi bana mengine mtaongezea.

Sasa kwa hali ya kawaida Makonda hawezi kuwa na raha, kwa sababu hana mahali pa kufanya mambo ya kuonekana.

Lakini kubwa zaidi ni jinsi anayolinganishwa na jambazi sugu sabaya.nasema jambazi kwa sababu Mahakama tayari imethibitisha hilo.

Mungu fundi.
KARMA IS THE BITCH !!
 
Magufuli hakuwa "Godfather" wa Makonda bali ni Kikwete ndiye aliyempaisha kuwa mkuu wa wilaya. Wakati Makonda anamshambulia mzee Warioba pale Ubungo plaza kuhusu katiba mpya, aliyekuwa mwenyekti wa CCM ni Kikwete, na pamoja na vurugu hizo, bado Kikwete huyo akampandisha kuwa mkuu wa wilaya ya kinondoni. Magufuli kamkuta akiwa mkuu wa wilaya hivyo kumfanya mkuu wa mkoa alimpa promotion tu.
Naomba nikusahihishe kidogo hapa.
Mh Makonda hakumshambulia Mzee Warioba. Ni mpango mkakati ulikuwa umepangwa ili kumharibia Makonda.

Ni kwamba zile fujo hazikutokea kwa bahati mbaya, zilikuwa zimepangwa kabla ya mkutano na wajanja wachache ambao walijua fika kabisa kuwa fujo hizo zitakapotokea, lazima Mh. Makonda akili yake itakuwa ni kumuwahi Mzee Warioba kwa ajili ya kumkinga ili asidhurike. Kwa hiyo kuna watu walikuwa wamejiandaa kwa ajili ya kumfanyia timing hiyo kwamba pindi atakapoonekana tu anaanza kuchukua uelekeo wa kwenda kumsaidia mzee Warioba, task force hiyo itumie nguvu za ziada za kum-bump na kumsukumiza Mh. Makonda ili akambamize Mzee Warioba badala ya kumuokoa. Hii nchi nyie bado haijaifahamu vizuri

Makonda hawezi kuwa mtu wa Kikwete na Magufuli, halafu wakati huo huo tena akawa adui wa Jaji Warioba, na mwenye kudhihirsha uadui huo kwenye umati wa watu; hiki kitu hakipo hapa duniani
 
Back
Top Bottom