SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Nyamitako anatamanisha sana lile sambwandaMsambwanda ule........ Dah
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyamitako anatamanisha sana lile sambwandaMsambwanda ule........ Dah
si alisema ni kati ya vijana wachache wanaokula BATA nchini, haya bata hilo sasa ahangaike nalo,Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa.
Hana raha kwa sababu hana mamlaka yoyote tena ya kumfanya afanye vitu vya kuonekana. Makonda kaondokewa na Godfather.
Makonda anatajwatajwa na watu kuwa kwa matendo yake anaweza kuwa zaidi ya Sabaya. Hata Sabaya aliwahi kumtaja kwa sifa Makonda.
Pale Sabaya alipotaka hela kwa nguvu toka kwa wafanyabiashara na kuwadhihaki kuwa "mtajua wenyewe cha kusema kama ni ujambazi au Makonda Style".
Leo hii Sabaya cha Mtoto kwa Makonda,Sabaya Yuko nyuma ya nondo,je Makonda anajisikiaje?
Makonda aliweza kwenda clouds Usiku kibabe na Special force,
Makonda alikua anapigiwa salute,Makonda alikua anaingia nyumba nyeupe vile apendavyo,
Alikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.
Lakini sasa haijulikani Yuko wapi,anafanya nini.
Alikua governor aliishi kifahari ofisini Hadi nyumbani.
Alilalamikiwa Sana lakini hakuguswa,waliomshitaki waiiadhibiwa wao. Hata Waziri wa mambo ya nje wa USA alivyomtuhumu lakini hakuondolewa. Tena tuhuma nzito kabisa za kunyang'anya haki za watu za kuishi lakini hakuondolewa.
Asante Sana TISS kwa kumpigia fix Kisha akaenda kugombea ubunge akashindwa na aliporudi akakuta kiti chake kakaa mwingine.
Leo hii Makonda ana hofu,sijua kama Bado Pasi yake anayo au kakabidhi.
Makonda alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya mara tu baada ya kumzaba vibao Waziri Mkuu mstaafu anaeheshimiwa na watu wengi mzee Warioba.
Makonda akawa Mkuu wa Mkoa,
Akafanya mengi mazuri na mengine sio mazuri.
Akataja wauza na watumia madawa ya kulevya,
Akamtaja mtoto wa aliemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ,Mbowe,Gwaji boi na wengine wengi.
Makonda akataja wanaume waliotelekeza watoto,akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.
Makonda alikua na mengi bana mengine mtaongezea.
Sasa kwa hali ya kawaida Makonda hawezi kuwa na raha, kwa sababu hana mahali pa kufanya mambo ya kuonekana.
Lakini kubwa zaidi ni jinsi anayolinganishwa na jambazi sugu sabaya.nasema jambazi kwa sababu Mahakama tayari imethibitisha hilo.
Mungu fundi.
Ngoja wakafumue ....ndaAmekwiishaaaa
Subiri utakaposikia Makonda kala teuzi ndio utawafahamu vizuri CCM.
Tizama hii... Aliyenyooshewa kidole alipo sasa na yeye alipo... This life..!!
Huyo ndio yeye😆hivi huyu anayefokewa hapa si ndio Katibu Mkuu CCM sasa hivi?
KabisaNdiyo stahili yake hiyo.
Wenyewe wamasema.. Life Sucks..Dunia Inazunguka
Ndiwoohivi huyu anayefokewa hapa si ndio Katibu Mkuu CCM sasa hivi?
Ye yupo juu ya nature?Wote wanaomsema kaka wa watu kwa kumtuhumu hawfahamu vyema huyu kaka, wanaomjua vyema hutoona wanaandika wanachoandika baadhi ya watu humu jamvini
Picha ya kihindi.
For sure Mungu fundi. Maisha yetu yametawaliwa na sifa na kiburi, uroho wa mali na madaraka. Mara nyingi mwisho mbaya hutokea kwale walio abuse nafasi na madaraka yao. Tujifunze kuishi kwa kuheshimu walio chini yetu ili tunaposhuka au kuporomoka wasikitike badala ya kushangiliaKatika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa.
Hana raha kwa sababu hana mamlaka yoyote tena ya kumfanya afanye vitu vya kuonekana. Makonda kaondokewa na Godfather.
Makonda anatajwatajwa na watu kuwa kwa matendo yake anaweza kuwa zaidi ya Sabaya. Hata Sabaya aliwahi kumtaja kwa sifa Makonda.
Pale Sabaya alipotaka hela kwa nguvu toka kwa wafanyabiashara na kuwadhihaki kuwa "mtajua wenyewe cha kusema kama ni ujambazi au Makonda Style".
Leo hii Sabaya cha Mtoto kwa Makonda,Sabaya Yuko nyuma ya nondo,je Makonda anajisikiaje?
Makonda aliweza kwenda clouds Usiku kibabe na Special force,
Makonda alikua anapigiwa salute,Makonda alikua anaingia nyumba nyeupe vile apendavyo,
Alikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.
Lakini sasa haijulikani Yuko wapi,anafanya nini.
Alikua governor aliishi kifahari ofisini Hadi nyumbani.
Alilalamikiwa Sana lakini hakuguswa,waliomshitaki waiiadhibiwa wao. Hata Waziri wa mambo ya nje wa USA alivyomtuhumu lakini hakuondolewa. Tena tuhuma nzito kabisa za kunyang'anya haki za watu za kuishi lakini hakuondolewa.
Asante Sana TISS kwa kumpigia fix Kisha akaenda kugombea ubunge akashindwa na aliporudi akakuta kiti chake kakaa mwingine.
Leo hii Makonda ana hofu,sijua kama Bado Pasi yake anayo au kakabidhi.
Makonda alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya mara tu baada ya kumzaba vibao Waziri Mkuu mstaafu anaeheshimiwa na watu wengi mzee Warioba.
Makonda akawa Mkuu wa Mkoa,
Akafanya mengi mazuri na mengine sio mazuri.
Akataja wauza na watumia madawa ya kulevya,
Akamtaja mtoto wa aliemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ,Mbowe,Gwaji boi na wengine wengi.
Makonda akataja wanaume waliotelekeza watoto,akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.
Makonda alikua na mengi bana mengine mtaongezea.
Sasa kwa hali ya kawaida Makonda hawezi kuwa na raha, kwa sababu hana mahali pa kufanya mambo ya kuonekana.
Lakini kubwa zaidi ni jinsi anayolinganishwa na jambazi sugu sabaya.nasema jambazi kwa sababu Mahakama tayari imethibitisha hilo.
Mungu fundi.
Unaweza kutuambia maovu ya mtu na kutudhibitishia au wewe ni mtaamu wa kusimulia baada ya kusimuliwa.....Zingitia muda ni mali.....acha vyombo husika vitimize wajibu wake...,Kupambana kujenga uchumi wake na wa 'taifa' hakumumzuii kutoa maoni yake kuukumbusha umma kuwa watu waishi kwa umakini kwa it's very likely waja wengi huvuma wanachokipanda yaani ukitenda maovi kuna uwezekano mkubwa ukavuna maovu kama hukumu ya Sabaya ambayo ni malipo ya maovu aliyotenda. View attachment 2026126
Muda ndo msema kweli uko too imotional.....usipànic relaxYou must be very stupid, hii ni forum huru na kutoa maoni hapa hakuzuii vyombo husika kufanya kazi zake professionally.
Fanya yako kwa kuzingatia muda wako, kwa kuwa haunisaidii kutunza familia yangu issue ya muda kuwa mali haswa 'muda wangu' on this case it's none of your business.
Mahakama inafanya yake na waliokutwa na hatia wameshakula mvua ambazo ni stahiki yao, yajayo yanafurahisha.
Inasikitisha sanahamna cha kumfanya makonda .........hizo ni akili za bavicha
Sijaelewa bado, tafadhali rudia. 😂Msambwanda ule........ Dah
Magufuli hakuwa "Godfather" wa Makonda bali ni Kikwete ndiye aliyempaisha kuwa mkuu wa wilaya. Wakati Makonda anamshambulia mzee Warioba pale Ubungo plaza kuhusu katiba mpya, aliyekuwa mwenyekti wa CCM ni Kikwete, na pamoja na vurugu hizo, bado Kikwete huyo akampandisha kuwa mkuu wa wilaya ya kinondoni. Magufuli kamkuta akiwa mkuu wa wilaya hivyo kumfanya mkuu wa mkoa alimpa promotion tu.Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa.
Hana raha kwa sababu hana mamlaka yoyote tena ya kumfanya afanye vitu vya kuonekana. Makonda kaondokewa na Godfather.
Makonda anatajwatajwa na watu kuwa kwa matendo yake anaweza kuwa zaidi ya Sabaya. Hata Sabaya aliwahi kumtaja kwa sifa Makonda.
Pale Sabaya alipotaka hela kwa nguvu toka kwa wafanyabiashara na kuwadhihaki kuwa "mtajua wenyewe cha kusema kama ni ujambazi au Makonda Style".
Leo hii Sabaya cha Mtoto kwa Makonda,Sabaya Yuko nyuma ya nondo,je Makonda anajisikiaje?
Makonda aliweza kwenda clouds Usiku kibabe na Special force,
Makonda alikua anapigiwa salute,Makonda alikua anaingia nyumba nyeupe vile apendavyo,
Alikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.
Lakini sasa haijulikani Yuko wapi,anafanya nini.
Alikua governor aliishi kifahari ofisini Hadi nyumbani.
Alilalamikiwa Sana lakini hakuguswa,waliomshitaki waiiadhibiwa wao. Hata Waziri wa mambo ya nje wa USA alivyomtuhumu lakini hakuondolewa. Tena tuhuma nzito kabisa za kunyang'anya haki za watu za kuishi lakini hakuondolewa.
Asante Sana TISS kwa kumpigia fix Kisha akaenda kugombea ubunge akashindwa na aliporudi akakuta kiti chake kakaa mwingine.
Leo hii Makonda ana hofu,sijua kama Bado Pasi yake anayo au kakabidhi.
Makonda alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya mara tu baada ya kumzaba vibao Waziri Mkuu mstaafu anaeheshimiwa na watu wengi mzee Warioba.
Makonda akawa Mkuu wa Mkoa,
Akafanya mengi mazuri na mengine sio mazuri.
Akataja wauza na watumia madawa ya kulevya,
Akamtaja mtoto wa aliemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ,Mbowe,Gwaji boi na wengine wengi.
Makonda akataja wanaume waliotelekeza watoto,akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.
Makonda alikua na mengi bana mengine mtaongezea.
Sasa kwa hali ya kawaida Makonda hawezi kuwa na raha, kwa sababu hana mahali pa kufanya mambo ya kuonekana.
Lakini kubwa zaidi ni jinsi anayolinganishwa na jambazi sugu sabaya.nasema jambazi kwa sababu Mahakama tayari imethibitisha hilo.
Mungu fundi.
KARMA IS THE BITCH !!Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa.
Hana raha kwa sababu hana mamlaka yoyote tena ya kumfanya afanye vitu vya kuonekana. Makonda kaondokewa na Godfather.
Makonda anatajwatajwa na watu kuwa kwa matendo yake anaweza kuwa zaidi ya Sabaya. Hata Sabaya aliwahi kumtaja kwa sifa Makonda.
Pale Sabaya alipotaka hela kwa nguvu toka kwa wafanyabiashara na kuwadhihaki kuwa "mtajua wenyewe cha kusema kama ni ujambazi au Makonda Style".
Leo hii Sabaya cha Mtoto kwa Makonda,Sabaya Yuko nyuma ya nondo,je Makonda anajisikiaje?
Makonda aliweza kwenda clouds Usiku kibabe na Special force,
Makonda alikua anapigiwa salute,Makonda alikua anaingia nyumba nyeupe vile apendavyo,
Alikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.
Lakini sasa haijulikani Yuko wapi,anafanya nini.
Alikua governor aliishi kifahari ofisini Hadi nyumbani.
Alilalamikiwa Sana lakini hakuguswa,waliomshitaki waiiadhibiwa wao. Hata Waziri wa mambo ya nje wa USA alivyomtuhumu lakini hakuondolewa. Tena tuhuma nzito kabisa za kunyang'anya haki za watu za kuishi lakini hakuondolewa.
Asante Sana TISS kwa kumpigia fix Kisha akaenda kugombea ubunge akashindwa na aliporudi akakuta kiti chake kakaa mwingine.
Leo hii Makonda ana hofu,sijua kama Bado Pasi yake anayo au kakabidhi.
Makonda alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya mara tu baada ya kumzaba vibao Waziri Mkuu mstaafu anaeheshimiwa na watu wengi mzee Warioba.
Makonda akawa Mkuu wa Mkoa,
Akafanya mengi mazuri na mengine sio mazuri.
Akataja wauza na watumia madawa ya kulevya,
Akamtaja mtoto wa aliemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ,Mbowe,Gwaji boi na wengine wengi.
Makonda akataja wanaume waliotelekeza watoto,akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.
Makonda alikua na mengi bana mengine mtaongezea.
Sasa kwa hali ya kawaida Makonda hawezi kuwa na raha, kwa sababu hana mahali pa kufanya mambo ya kuonekana.
Lakini kubwa zaidi ni jinsi anayolinganishwa na jambazi sugu sabaya.nasema jambazi kwa sababu Mahakama tayari imethibitisha hilo.
Mungu fundi.
Naomba nikusahihishe kidogo hapa.Magufuli hakuwa "Godfather" wa Makonda bali ni Kikwete ndiye aliyempaisha kuwa mkuu wa wilaya. Wakati Makonda anamshambulia mzee Warioba pale Ubungo plaza kuhusu katiba mpya, aliyekuwa mwenyekti wa CCM ni Kikwete, na pamoja na vurugu hizo, bado Kikwete huyo akampandisha kuwa mkuu wa wilaya ya kinondoni. Magufuli kamkuta akiwa mkuu wa wilaya hivyo kumfanya mkuu wa mkoa alimpa promotion tu.