paschal Burra
JF-Expert Member
- Jul 1, 2021
- 374
- 332
Huu uzi umeandikwa na mla ngada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo clip itakuwa hujaifahamu. Mleta hiyo clip.anasema kuwa huyo aliyekuwa ananyooshewa kidole na kupewa onyo kwa sasa ni Katibu Mkuu wa CCM. Kawa bosi wake Makonda x1000Binafsi sioni tatizo kubwa kwenye hii clip....naona tujikite kwenye zile za uvamizi wa kituo na mauzauza mengine.
Aisee..Tumpe muda aendelee kutubu
Binti mbona umekua mkali ghafla? unaulizia hela zangu halafu unakua mkali? tulia haya mambo hayahitaji hasira.Kamvalishe mamako afu umlete kwangu nimpe tamu kuliko ya babako
Umenishtua mkuu. Basha nini mzee 🤣🤣Msambwanda ule........ Dah
Kwa hiyo ukiwa damdam na mkuu ruksa kufanya uhalifuMakonda na mama damdam. Wewe ndelea kudemka tuu
Tunza hii... Hata kwa Sabaya, kuna mwana flani hivi humu JF kila siku alikuwa anakuja na UZI kuonyesha Sabaya atachomoka...!!! lakini mwisho wa siku tumeyaona... WANASEMA BORA UPOTEZE HIRIZI KULIKO KUFIWA NA MGANGAhamna cha kumfanya makonda .........hizo ni akili za bavicha
Ha haaa ila awamu ya 5 kulikuwa na vutuko sana. Now nchi imezubaaHakuna mtu unakula bata kama Mimi,hizi kauli zake jamaa alikua kituko kweli
hahahahaUsipo oga marufuku kaingia dar
Mkitifuana jwenye nyumba yenu mnajificha Bavicha,mkome hayo ya kwenu ya kwetu katiba mpyahamna cha kumfanya makonda .........hizo ni akili za bavicha
Nakumbuka hiiAlikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.
Paul Makonda apiga marufuku 'watu wachafu' kwenda mjini Dar es Salaam
https://www.bbc.com/swahili/habari-49151974
Kama anavyojivimbisha kichwa kwenye video clip hii;Bashite na baba yake ushamba na ulimbukeni ndio vilikuwa vinawasumbua waliona dunia yote ni mali yao na wameiweka mkononi.
Umeongea kinafiki tu...miTanzabia mpo kuangalia tu mabaya yampate fulani,shenzi kabisaKatika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa.
Hana raha kwa sababu hana mamlaka yoyote tena ya kumfanya afanye vitu vya kuonekana. Makonda kaondokewa na Godfather.
Makonda anatajwatajwa na watu kuwa kwa matendo yake anaweza kuwa zaidi ya Sabaya. Hata Sabaya aliwahi kumtaja kwa sifa Makonda.
Pale Sabaya alipotaka hela kwa nguvu toka kwa wafanyabiashara na kuwadhihaki kuwa "mtajua wenyewe cha kusema kama ni ujambazi au Makonda Style".
Leo hii Sabaya cha Mtoto kwa Makonda,Sabaya Yuko nyuma ya nondo,je Makonda anajisikiaje?
Makonda aliweza kwenda clouds Usiku kibabe na Special force,
Makonda alikua anapigiwa salute,Makonda alikua anaingia nyumba nyeupe vile apendavyo,
Alikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.
Lakini sasa haijulikani Yuko wapi,anafanya nini.
Alikua governor aliishi kifahari ofisini Hadi nyumbani.
Alilalamikiwa Sana lakini hakuguswa,waliomshitaki waiiadhibiwa wao. Hata Waziri wa mambo ya nje wa USA alivyomtuhumu lakini hakuondolewa. Tena tuhuma nzito kabisa za kunyang'anya haki za watu za kuishi lakini hakuondolewa.
Asante Sana TISS kwa kumpigia fix Kisha akaenda kugombea ubunge akashindwa na aliporudi akakuta kiti chake kakaa mwingine.
Leo hii Makonda ana hofu,sijua kama Bado Pasi yake anayo au kakabidhi.
Makonda alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya mara tu baada ya kumzaba vibao Waziri Mkuu mstaafu anaeheshimiwa na watu wengi mzee Warioba.
Makonda akawa Mkuu wa Mkoa,
Akafanya mengi mazuri na mengine sio mazuri.
Akataja wauza na watumia madawa ya kulevya,
Akamtaja mtoto wa aliemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ,Mbowe,Gwaji boi na wengine wengi.
Makonda akataja wanaume waliotelekeza watoto,akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.
Makonda alikua na mengi bana mengine mtaongezea.
Sasa kwa hali ya kawaida Makonda hawezi kuwa na raha, kwa sababu hana mahali pa kufanya mambo ya kuonekana.
Lakini kubwa zaidi ni jinsi anayolinganishwa na jambazi sugu sabaya.nasema jambazi kwa sababu Mahakama tayari imethibitisha hilo.
Mungu fundi.
Kama anavyojivimbisha kichwa kwenye video clip hii;
Naweza kukubaliana na wewe kua pengine Makonda hatashtakiwa(maana kufungwa mpaka apatikane na hatia kama Sabaya)Humjui vizuri makonda, yote yaliyoandikwa hapa dhidi yake ukweli unaweza kuwa ni 1% the rest ni uongo. Na hatokuja kufungwa kama wengi mnavyodhani, tunza hii sms kwa kumbukumbu [emoji6]
Lowassa hajawahi kustaafu cheo chochote, uwaziri mkuu alishinikizwa na bunge kujiuzulu, ubunge aliuacha kwa tamaa ya uraisi.akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.
Ni sawa ila nimeshakutana nayo mara kadhaa ikitumika kama kuonesha uovu wa Jamaa...ili hali kwa maoni yangu alichokifanya hapo ni mambo ya kawaida tu ya Viongozi.Hiyo clip itakuwa hujaifahamu. Mleta hiyo clip.anasema kuwa huyo aliyekuwa ananyooshewa kidole na kupewa onyo kwa sasa ni Katibu Mkuu wa CCM. Kawa bosi wake Makonda x1000
Kumbe na wewe ni mpuuzi hivi?Binti mbona umekua mkali ghafla? unaulizia hela zangu halafu unakua mkali? tulia haya mambo hayahitaji hasira.