Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa

Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa

Msambwanda ule........ Dah
Aisee
20210721_080223.jpg
 
Kumekucha Mashoga wamepata nafasi ya kulipa kisasi
 
Bashite na baba yake ushamba na ulimbukeni ndio vilikuwa vinawasumbua waliona dunia yote ni mali yao na wameiweka mkononi.
 
Naona Nape amesema anaandaa kuweka ripoti ya uchunguzi wa uvamizi wa studio za clouds uliofanywa na makonda pamoja na viambatanisho vyake.

 
Tofauti na tuhuma za clouds ni kitu gani kingine alifanya makonda cha kuwatesa watu naona umeelezea ila mwnyewe huna kitu cha kumtuhumu na issue ya clouds nu kampuni kubwa ile mbona haijamfyngulia mashtaka hadi leo mpaka wakili wa kujitegemea ndo afungua mashtaka yanayohusu taasisi nyingine

Makonda angekua na malalamiko kutoka kwa wananchi jamhuri ingemfungulia mashtaka ila hana malalamiko na mwananchi yeyote tofauti na vigogo aliokua anawasema sema kwa mabaya kila siku

Sabaya ametesa watu wazi wazi huwezi mfananisha na konda boy
Watesi wake aliwaua ama kuwalawiti, ni ngumu kujitokeza kuanzisha kesi.
 
Huyu jamaaa kama akienda Jela Miezi mi2 tu lazima Manyapara wamtie...Mimb..a
 
Subiri utakaposikia Makonda kala teuzi ndio utawafahamu vizuri CCM.
hilo hata mimi naliwaza sana. tujiandae kisaikolojia pale ccm itakapotufanyia ''sapuraizi'' ya kufungia mwaka kwa kumzawadia makonda cheo kikubwa serikalini.

hiyo itakuwa sawa na kutupiga ni kitu kizito kichwani.

NB
historia ndani ya ccm inaonyesha wale wanaongoza kwa kufanya matukio ya ukandamizaji na ukiukwaji wa haki, ndio wanao zawadiwa vyeo vikubwa zaidi.

nakumbuka enzi za jk mwigulu alikuwa very hostile kwa upinzani. ali facilitate matukio mengi ya kuwashughulikia.
 
Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa.

Hana raha kwa sababu hana mamlaka yoyote tena ya kumfanya afanye vitu vya kuonekana. Makonda kaondokewa na Godfather.

Makonda anatajwatajwa na watu kuwa kwa matendo yake anaweza kuwa zaidi ya Sabaya. Hata Sabaya aliwahi kumtaja kwa sifa Makonda.

Pale Sabaya alipotaka hela kwa nguvu toka kwa wafanyabiashara na kuwadhihaki kuwa "mtajua wenyewe cha kusema kama ni ujambazi au Makonda Style".

Leo hii Sabaya cha Mtoto kwa Makonda,Sabaya Yuko nyuma ya nondo,je Makonda anajisikiaje?

Makonda aliweza kwenda clouds Usiku kibabe na Special force,
Makonda alikua anapigiwa salute,Makonda alikua anaingia nyumba nyeupe vile apendavyo,

Alikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.

Lakini sasa haijulikani Yuko wapi,anafanya nini.

Alikua governor aliishi kifahari ofisini Hadi nyumbani.

Alilalamikiwa Sana lakini hakuguswa,waliomshitaki waiiadhibiwa wao. Hata Waziri wa mambo ya nje wa USA alivyomtuhumu lakini hakuondolewa. Tena tuhuma nzito kabisa za kunyang'anya haki za watu za kuishi lakini hakuondolewa.

Asante Sana TISS kwa kumpigia fix Kisha akaenda kugombea ubunge akashindwa na aliporudi akakuta kiti chake kakaa mwingine.

Leo hii Makonda ana hofu,sijua kama Bado Pasi yake anayo au kakabidhi.

Makonda alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya mara tu baada ya kumzaba vibao Waziri Mkuu mstaafu anaeheshimiwa na watu wengi mzee Warioba.

Makonda akawa Mkuu wa Mkoa,
Akafanya mengi mazuri na mengine sio mazuri.

Akataja wauza na watumia madawa ya kulevya,
Akamtaja mtoto wa aliemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ,Mbowe,Gwaji boi na wengine wengi.

Makonda akataja wanaume waliotelekeza watoto,akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.

Makonda alikua na mengi bana mengine mtaongezea.

Sasa kwa hali ya kawaida Makonda hawezi kuwa na raha, kwa sababu hana mahali pa kufanya mambo ya kuonekana.

Lakini kubwa zaidi ni jinsi anayolinganishwa na jambazi sugu sabaya.nasema jambazi kwa sababu Mahakama tayari imethibitisha hilo.

Mungu fundi.
Ana ngozi ngumu huyo jamaa ohooooi we muone hivi tu. Uzuri ni kuwa alishawai ye mwenyewe kusema hilo.
 
Madaraka, usipojua kuyatumia vizuri, huzalisha ushetani. Lakini pengine unakuwa tayari na ushetani, ila madaka yanakupa nyezo za kutimiza ushetani wako.
 
Katika hali ya kawaida Makonda hana raha kabisa.

Hana raha kwa sababu hana mamlaka yoyote tena ya kumfanya afanye vitu vya kuonekana. Makonda kaondokewa na Godfather.

Makonda anatajwatajwa na watu kuwa kwa matendo yake anaweza kuwa zaidi ya Sabaya. Hata Sabaya aliwahi kumtaja kwa sifa Makonda.

Pale Sabaya alipotaka hela kwa nguvu toka kwa wafanyabiashara na kuwadhihaki kuwa "mtajua wenyewe cha kusema kama ni ujambazi au Makonda Style".

Leo hii Sabaya cha Mtoto kwa Makonda,Sabaya Yuko nyuma ya nondo,je Makonda anajisikiaje?

Makonda aliweza kwenda clouds Usiku kibabe na Special force,
Makonda alikua anapigiwa salute,Makonda alikua anaingia nyumba nyeupe vile apendavyo,

Alikua anaweza kutoa amri kwa baadhi ya watu wasionekane Dar es salaam.

Lakini sasa haijulikani Yuko wapi,anafanya nini.

Alikua governor aliishi kifahari ofisini Hadi nyumbani.

Alilalamikiwa Sana lakini hakuguswa,waliomshitaki waiiadhibiwa wao. Hata Waziri wa mambo ya nje wa USA alivyomtuhumu lakini hakuondolewa. Tena tuhuma nzito kabisa za kunyang'anya haki za watu za kuishi lakini hakuondolewa.

Asante Sana TISS kwa kumpigia fix Kisha akaenda kugombea ubunge akashindwa na aliporudi akakuta kiti chake kakaa mwingine.

Leo hii Makonda ana hofu,sijua kama Bado Pasi yake anayo au kakabidhi.

Makonda alichaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya mara tu baada ya kumzaba vibao Waziri Mkuu mstaafu anaeheshimiwa na watu wengi mzee Warioba.

Makonda akawa Mkuu wa Mkoa,
Akafanya mengi mazuri na mengine sio mazuri.

Akataja wauza na watumia madawa ya kulevya,
Akamtaja mtoto wa aliemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ,Mbowe,Gwaji boi na wengine wengi.

Makonda akataja wanaume waliotelekeza watoto,akamtaja
Waziri Mkuu mstaafu Lowasa na watu wengine.

Makonda alikua na mengi bana mengine mtaongezea.

Sasa kwa hali ya kawaida Makonda hawezi kuwa na raha, kwa sababu hana mahali pa kufanya mambo ya kuonekana.

Lakini kubwa zaidi ni jinsi anayolinganishwa na jambazi sugu sabaya.nasema jambazi kwa sababu Mahakama tayari imethibitisha hilo.

Mungu fundi.
IMG-20211118-WA0018.jpg
Screenshot_20211116-191648.jpg
 
Back
Top Bottom