Katika harakati za uhuru wa Palestine Wakristo wa kipalestina kazi yao nini? Mbona Waislam wa kipalestina wamechachamaa zaidi ?

Katika harakati za uhuru wa Palestine Wakristo wa kipalestina kazi yao nini? Mbona Waislam wa kipalestina wamechachamaa zaidi ?

Kuna watu ni mapoyoyo sana.
Hao wasilamu wanataka hata kumfuta Ziraili huko Israel.
Sasa huyo mkristo wa Palestina si mnyonge tu.
 
Gaza ni mji wa Christian and Jews Muslim walivamia na kuujaza sensa ya mwaka 1978 mji ulikuwa na raia 174,885 in total jews,Christian,Islam and Druze

Mwaka 2017 Gaza ilikuwa na Wakristo elfu 3 kwa sasa wengi wameuliwa na Hamas ili mji uwe wa kiislam hawazidi buku wanachukiwa kwa kusoma vizuri na wengine wanasepa.

Gaza ni Israel na ipo huru tokea kujiendesha tokea IDF walipoondoka ila chini ya ulinzi wa mipaka baina ya IDF na Egypt kosa ni Hamas kuja na katiba yao eti Waisrael wote waondoke from river to the sea... na ugaidi ukazidi... Christian wapo na amani uhuru upi tena wao wadai na upo israel.. full democrasia. tatizo Uislam hautaki non muslim
Mtu akiufuata uislamu mbinguni asahau maana uislamu unahamasisha mauaji na uovu kwa wasio waislamu.
 
Kama hao Wakiristo ni Design ya Malasusa unategemea nini???
 
Kama hao Wakiristo ni Design ya Malasusa unategemea nini???
 
Kele Israel wakristo wapo kama digidigi hawatakiwi na wayahudi Wala waislam wapo wapo tu
 
Kele Israel wakristo wapo kama digidigi hawatakiwi na wayahudi Wala waislam wapo wapo tu
Mashariki ya kati hakuna wakristo design ya wa huku tuliozoea wengi ni orthodox na wakijichanganya huwezi jua maana wengi wana mila sawa tofauti na ukristo wa kimagharibi ulioenea sehemu nyingi
 
Back
Top Bottom