Katika hili, nafikiri marehemu Ruge hakuwa mstaarabu

Haya mambo hutakiwi kuyasema mbele ya jamii inayowaza kut.ombana kama sehemu ya mafanikio. Jamii ambayo mtu anawaza atafute hela ili awe na mademu wakali na awabadilishe kama nguo. Huo utaratibu uko nchi ambazo z
Upo sawa lakini Bill Clinton hakuachia ngazi alikamilisha miaka yake 8 na hii ni baada ya impeachment kufeli.
 
Aisee!! Bahati mbaya Jamii yetu hata bado haioni kuwa pedophilia ni kitu kibaya. Fikiria Kanumba alivyoanza kutembea na Lulu!?
 
He suppressed musicians and fir skirt wearers, he didn't spare any, and under duress! He was a cannibal and Dudubaya was frank enough to open Ruges skeleton cupboard, and no wonder government had no case against him! Diamond is only one of few with human heart!
 
Sioni tatizo, mtu kutoka na mfanyakazi wake, kumuoa mfanyakazi wake. Kwani huko majuu ndio hakuna mabosi waliokula wafanyakazi wao!??

Hizo ni levels tu, kuna watu wanakula beki tatu za nyumbani kwao mpaka mimba au kuoa kabisa😂
Kwa ulaya hiyo ni kashfa kubwa sana,wazungu hawana ujinga kwa maadili bosi wa CNN alikuwa anakula staff wake ikamcost
Waziri mkuu wa England kajiuzulu kwa kosa ambalo bongo tungeona ni la kawaida
 
Hayakubaliki wapi wakati musk juzi juzi tu hapa mfanyakazi wake wa kwenye kampuni ya neuro link kamzalia mtoto
 
Kwa ulaya hiyo ni kashfa kubwa sana,wazungu hawana ujinga kwa maadili bosi wa CNN alikuwa anakula staff wake ikamcost
Waziri mkuu wa England kajiuzulu kwa kosa ambalo bongo tungeona ni la kawaida
Labda kwa wanasiasa si watu binafsi Musk 2 weeks ago mfanyakazi wake wa kampuni ya neuro link kamzalia mtoto
 
Hata mabosi wanaowataka mademu wanaoomba kazi sio kwamba hao mademu wanakuwa mabikira, ila Ni kitendo kibaya.
 
Ukifatilia maisha ya watu sana utapishana na maisha yako,
So lengo lako ni lipi kuanzisha huu Uzi?????
Mkiwa nyuma ya keyboard mnajifanya wasafi sana
Ukifatilia maisha ya watu sana utapishana na maisha yako,
So lengo lako ni lipi kuanzisha huu Uzi?????
Mkiwa nyuma ya keyboard mnajifanya wasafi sana
Kila mtu ana uchafu wake. Ila uchafu wako ukiuweka wazi lazima watu watasema hata ukiwa marehemu. Hakuna malaika hapa.
 
Duuh! Nikajua wewe ndiye Ruge mwenyewe. Ndio nakumbuka jamaa marehemu Sasa.
 
Kama dada yako au Mama yako kaliwa , utatafuta mwingine!? Nacheeeka Kama mazuri vile.
 
Ni ujinga wao/makubaliano yao, wote aliotembea nao hawakuwa watoto, mabinti wana hulka ya kupenda vikubwa, marehemu naye alikuwa binadamu kama ulivyo wewe kwan shida iko wapi akipendana na wadada?
Kama mabinti wana hulka , inashindikana vipi na huyo jamaa naye kuwa na hulka ya kuwala anaotaka kuwasaidia?
 
Upo sawa lakini Bill Clinton hakuachia ngazi alikamilisha miaka yake 8 na hii ni baada ya impeachment kufeli.
Clinton alikuwa impeached tazama vizuri kumbukumbu zako. Zoezi lilicheleweshwa kutokana na shambulizi la kigaidi ila impeachment ilitokea. Usihesabu miaka aliyokuwepo, ilifanyika amebakiza miezi michache amalize term
 
Anold Schwarzenegger alimpa mimba beki tatu wake wakafanya iwe siri. Huyu kazaliwa hamjui baba ili walinde career yake ya uigizaji na politics. Miaka 13 baadae ndio Anold alikuja admit waziwazi na yenyewe ni kujilipua kwamba Joseph Baena ni mwanae (hatumii hata jina la baba).

Ingejulikana mapema ingevuruga mipango yake. Mkewe aliamuacha hapo hapo baada ya kujulishwa
 
HV hizi habari za marehemu alikuwa anatumia MBAAZI zina ukweli wowote?

Kama.n kwel basi nenga n zaid ya komando kipensi
Ila nyie waja jaman, khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…