Katika kizazi hiki cha Z generation Benjamini Netanyau ndiyo kiongozi mtata na mtukutu zaid kumshudia

kiss daniel

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
758
Reaction score
2,062
Amani kwenu watumishi

Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua

Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa

Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa

Huyu jamaa harudigi nyuma

IQ kubwa sana
 
Baraka na laana vyote vinamuandama

Hatari sana
 
Putin
Kim Jong Un
 
Unaishi wapi wewe ndugu

Huku mtaan watu tumepigika ndugu wewe acha tu
Sikiliza ndgu au achana na pesa yote hiyo ..
Unajua unaweza fanya biashara hata ya library kwa mtaji wa million 2 tuu

Sasa hapo unaposema kazi hakuna nastuka mkuu.
Unanishangaza
 
Sikiliza ndgu au achana na pesa yote hiyo ..
Unajua unaweza fanya biashara hata ya library kwa mtaji wa million 2 tuu

Sasa hapo unaposema kazi hakuna nastuka mkuu.
Unanishangaza
Ndugu yangu nikopeshe hata laki tano tu
 
Anajiona mwamba kamkurupusha Assad na yeye halali vile vile waasi hawaaminiki kajipa kazi ya kuharibu silaha wale watamgeuka tuu atake asitake nyie subirini
 
Roho ya MUNGU ipo pamoja naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…