kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
Tofautisha kati ya IQ na mabavu mkuuNaona wewe gen z humjui JPM vizuri huyo jamaa angekuwa na uchumi mkubwa kama wa marekani, sidhani kama dunia hii ingekuwa salama kwa wakosoaji wake🤣🤣
Kwa hiyo yule mwamba alikuwa ni mzee wa mabavu pasipo IQ🤣🤣Tofautisha kati ya IQ na mabavu mkuu
Kazi zikwap sasaTufanyeni kazi vijana wenzangu
Yule shida nguvu nyingi akili kisodaNaona wewe gen z humjui JPM vizuri huyo jamaa angekuwa na uchumi mkubwa kama wa marekani, sidhani kama dunia hii ingekuwa salama kwa wakosoaji wake🤣🤣
" Hiiiiii au nasema uongo ndugu zangu"
Kazi zipo mkuu ukiwa na mtaji kama wa milion 5 hv kazi zipo mkuuKazi zikwap sasa
Mtaji wa million tano nitaupataje huo mtajiKazi zipo mkuu ukiwa na mtaji kama wa milion 5 hv kazi zipo mkuu
Sasa mkuu si ishu kazi. Mfano ukiwa na hiyo unafanya biashara tuu chapMtaji wa million tano nitaupataje huo mtaji
PutinAmani kwenu watumishi
Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua
Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa BENJAMIN NETANYAHU ndo mtata zaid kwa sasa
Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa
Huyu jamaa harudigi nyuma
IQ kubwa sana
Unaishi wapi wewe nduguSasa mkuu si ishu kazi. Mfano ukiwa na hiyo unafanya biashara tuu chap
Sikiliza ndgu au achana na pesa yote hiyo ..Unaishi wapi wewe ndugu
Huku mtaan watu tumepigika ndugu wewe acha tu
Ndugu yangu nikopeshe hata laki tano tuSikiliza ndgu au achana na pesa yote hiyo ..
Unajua unaweza fanya biashara hata ya library kwa mtaji wa million 2 tuu
Sasa hapo unaposema kazi hakuna nastuka mkuu.
Unanishangaza
Wacha ajichanganye nyau 😸😸asepe na kichwa cha samaki, awaulize watu wa karibu na Nasrallah kama waliwahi waza kama kiongozi wao wa kuogopwa angeliwa kichwa na nyau😸Kuna chuma kimeungia pale Syria kinaitwa jolan lazima benja ateme bungo
Roho ya MUNGU ipo pamoja nayeAmani kwenu watumishi
Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua
Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa
Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa
Huyu jamaa harudigi nyuma
IQ kubwa sana
Mmh laki tano mbona kama haitoshi mkuuNdugu yangu nikopeshe hata laki tano tu