Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Kijana kazingua sana daaahSawa rafiki yangu nisaidie sana
Kijana ana kesi gan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana kazingua sana daaahSawa rafiki yangu nisaidie sana
Kijana ana kesi gan
Smart kivipi? Kutumia aggression ndio smartness? Hata kichaa ukimpa silaha anaweza tu kuvamia nchi yoyote na kuipiga doesn't need smartness.But Netanyau ni very smart na ame prove kuwa ni smart sana. Kilichotokea Syria kimenisikitisha. Iran ipo tu ina chechemea. Huyu jamaa ni very smart.
Woga ule. Alimwajibisha nani na alijazana na mafisadi na yeye alikuaga fisadi tuKwa hiyo ule ukali aliokuwa akitu actia ilikuwa ni nini?
Pole sana tumuombee unakuta na umri nao unachangiaKijana kazingua sana daaah
Defence mechanism 🤣🤣Woga ule. Alimwajibisha nani na alijazana na mafisadi na yeye alikuaga fisadi tu
Alikua litakataka sana. Mshenzile yule. Traaaash lileDefence mechanism 🤣🤣
😂 😂 😂 😂 Acha utani mkuu!Kuna chuma kimeungia pale Syria kinaitwa jolan lazima benja ateme bungo
Kesi za ICC unafahamu ni watu wangapi wamewahi kupewa? Wala si issue. Kama anachokozwa acha awachape, wachapane. Jamaa yupo smart sana na amefanikiwa angalau kulipiza mauaji ya watu wake ambao wameuawa. Ufisadi waliwahi kudakwa hadi akina kikwete, akina rostam, akina manji. Na je imemuathiri vipi?Smart kivipi? Kutumia aggression ndio smartness? Hata kichaa ukimpa silaha anaweza tu kuvamia nchi yoyote na kuipiga doesn't need smartness.
Pia Angekua smart asingepewa kesi za ICC wala kudakwa kwenye ufisadi.
Obama,pekee kama RAIS wa Dunia ,amekili hilo kwamba katika Uongozi wake ,hakuna mtu mtukutu kama Benjamin mkikubaliana hili yeye anaitikia tu matokeo ni tofautiAmani kwenu watumishi
Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua
Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa
Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa
Huyu jamaa harudigi nyuma
IQ kubwa sana
Sahihi kabsa! Pembeni yake awepo Bashite na upande mwingine SabayaNaona wewe gen z humjui JPM vizuri huyo jamaa angekuwa na uchumi mkubwa kama wa marekani, sidhani kama dunia hii ingekuwa salama kwa wakosoaji wake🤣🤣
" Hiiiiii au nasema uongo ndugu zangu"
Safi sanaKesi za ICC unafahamu ni watu wangapi wamewahi kupewa? Wala si issue. Kama anachokozwa acha awachape, wachapane. Jamaa yupo smart sana na amefanikiwa angalau kulipiza mauaji ya watu wake ambao wameuawa. Ufisadi waliwahi kudakwa hadi akina kikwete, akina rostam, akina manji. Na je imemuathiri vipi?
Ungejuwa usingesema bila Mossad hao jamaa wasingepata nchi achakabisa hawata kohowa hata kidogo stay tuneKuna chuma kimeungia pale Syria kinaitwa jolan lazima benja ateme bungo
We hujitambui, umesema ni smart ndio nakuuliza kama angekua smart angetoa rushwa wazi wazi hadi akadakwa kirahisi. Eti anawapa favor kwa kutumia sheria kabisa ili gazeti limsifie alafu unamuita smart?Kesi za ICC unafahamu ni watu wangapi wamewahi kupewa? Wala si issue. Kama anachokozwa acha awachape, wachapane. Jamaa yupo smart sana na amefanikiwa angalau kulipiza mauaji ya watu wake ambao wameuawa. Ufisadi waliwahi kudakwa hadi akina kikwete, akina rostam, akina manji. Na je imemuathiri vipi?
Bila Mossad? Kila kitu ni kuwasifia hao wahuni. Sema Kama sio urusi kuingilia wasingepata fursa.Ungejuwa usingesema bila Mossad hao jamaa wasingepata nchi achakabisa hawata kohowa hata kidogo stay tune
Naona kama umepaniki sana sheikh wangu. Tatizo nini lakini?kunywa maji tulia kidogo. Benjamin Netanyau is one of the very best and smart leaders ukanda ule alichokifanya. Sisi tumevurugika sana. Syria, Iran, Hizbu, Hamas. The man is very smart. Just calm down usipaniki ukisoma ukiwa na utulivu ukafikiria pia bila mihemko utagundua.We hujitambui, umesema ni smart ndio nakuuliza kama angekua smart angetoa rushwa wazi wazi hadi akadakwa kirahisi. Eti anawapa favor kwa kutumia sheria kabisa ili gazeti limsifie alafu unamuita smart?
Ungesema ni mbabe na mkorofi it makes sense ila sio smart. Huwezi toa rushwa kishamba hivyo unajiiya smart. Hao kina Kikwete na Rostam ni smart ndio maana hata kupata ushahidi dhidi ya ufisadi wao ni ngumu!!
Anyway kamtetee mahakamani
![]()
Netanyahu's trial for alleged corruption centers on these three cases
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu will testify in court for the first time, facing charges of bribery, fraud and breach of trust in three separate affairsabcnews.go.com
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Salamaleko shekhWe hujitambui, umesema ni smart ndio nakuuliza kama angekua smart angetoa rushwa wazi wazi hadi akadakwa kirahisi. Eti anawapa favor kwa kutumia sheria kabisa ili gazeti limsifie alafu unamuita smart?
Ungesema ni mbabe na mkorofi it makes sense ila sio smart. Huwezi toa rushwa kishamba hivyo unajiiya smart. Hao kina Kikwete na Rostam ni smart ndio maana hata kupata ushahidi dhidi ya ufisadi wao ni ngumu!!
Anyway kamtetee mahakamani
![]()
Netanyahu's trial for alleged corruption centers on these three cases
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu will testify in court for the first time, facing charges of bribery, fraud and breach of trust in three separate affairsabcnews.go.com
Kwamba kupambana na failed states ni smartness? Mtu smart alafu amedakwa akihonga sidhani kama unajua unachoongea.Naona kama umepaniki sana sheikh wangu. Tatizo nini lakini?kunywa maji tulia kidogo. Benjamin Netanyau is one of the very best and smart leaders ukanda ule alichokifanya. Sisi tumevurugika sana. Syria, Iran, Hizbu, Hamas. The man is very smart. Just calm down usipaniki ukisoma ukiwa na utulivu ukafikiria pia bila mihemko utagundua.
Mie sio sheikh, ni mkristo nayejitambua. Mbona Mandela na Nyerere ni wakristo ila wanaipinga Israel.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Salamaleko shekh
Naona umepanik