kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
- Thread starter
- #21
Mimi hiyo inanitosha kaka nitakuwa nakuludishia 50 kila baada ya mwezi mmoja miezi kumi nitamaliza deniMmh laki tano mbona kama haitoshi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hiyo inanitosha kaka nitakuwa nakuludishia 50 kila baada ya mwezi mmoja miezi kumi nitamaliza deniMmh laki tano mbona kama haitoshi mkuu
Amina Abalikiwe sanaRoho ya MUNGU ipo pamoja naye
Wakijichanganya atawachinjaAnajiona mwamba kamkurupusha Assad na yeye halali vile vile waasi hawaaminiki kajipa kazi ya kuharibu silaha wale watamgeuka tuu atake asitake nyie subirini
InshallahKuna chuma kimeungia pale Syria kinaitwa jolan lazima benja ateme bungo
Nani kasema Israel haina uchumi mkubwa? Kaulize vizuriNaona wewe gen z humjui JPM vizuri huyo jamaa angekuwa na uchumi mkubwa kama wa marekani, sidhani kama dunia hii ingekuwa salama kwa wakosoaji wake🤣🤣
" Hiiiiii au nasema uongo ndugu zangu"
Syria Ambayo ameingia bila kupata upinzani. Na amechukua eneo la Mlima Goran ambalo ilikuw kijiwe cha Hezbollah na Hamass kuishambulia Israel. Na pale Goran wataeka Kambi kubwa ya kijeshi baada ya hakutakuwa na Makundi ya Kigaidi tena Middle East. Siku za Ayyatollah wa Iran zinahesabika.Kuna chuma kimeungia pale Syria kinaitwa jolan lazima benja ateme bungo
Mjinga yoyote ukimpa silaha anaweza kuea ruthless, same to Kim Jong Un, Rodrigo duterte so nothing special about huyo Netanyahu. Kuna msemo unasema " never underestimate a fool with a big gun"Amani kwenu watumishi
Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua
Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa
Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa
Huyu jamaa harudigi nyuma
IQ kubwa sana
Vipi kesi yake ya kutoa rushwa na ufisadi inasikilizwa lini tena? Au tunasubiri vita ziishe turudi mahakamani?Leo kesema kwenye hotuba kuwa atakaye tana kuidhuru Israel anamkata mikono.. hahaha kesema Alianza kutafuna Iran pale wa na proxy zake tokea ile October 7 hatua kwa hatua hadi sasa wapo hoi na ndio sababu ya kuanguka kwa Assad ze Simba
Ritz anamfahamu huyu Netanyau mara kadhaa amekuwa akielezewa amelipuliwa na Hamas au Hizbullah kesho yake anaibuka tena. Ameshindikana. Mataifa yametoa matamko mengi dhidi yake na mahakama za Kimataifa ila hajali anaendelea kugonga tu wenzie. Ni mbishi na akiamua ameamua.Amani kwenu watumishi
Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua
Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa
Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa
Huyu jamaa harudigi nyuma
IQ kubwa sana
Mbona uzi upo makini sana. Umekukwaza nini sheikh wanguNingekuwa Payge kuna nyuzi ningezifuta kama hii ujinga mwingi mno
Umakini wa huu uzi uko wapi?Mbona uzi upo makini sana. Umekukwaza nini sheikh wangu
Sheikh wangu Ameandika vitu vya msingi sana kuhusu huyo mwamba katili,mbabe,wa mipango asiyerudi nyuma no matter what.Umakini wa huu uzi uko wapi?
But Netanyau ni very smart na ame prove kuwa ni smart sana. Kilichotokea Syria kimenisikitisha. Iran ipo tu ina chechemea. Huyu jamaa ni very smart.Mjinga yoyote ukimpa silaha anaweza kuea ruthless, same to Kim Jong Un, Rodrigo duterte so nothing special about huyo Netanyahu. Kuna msemo unasema " never underestimate a fool with a big gun"
😀Oya kaka unatisha kutukumbushia Kila mdaTufanyeni kazi vijana wenzangu
Si kweli.@WebabuRitzFaizafoxyKimsboyMalaria wamekataa.Amani kwenu watumishi
Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua
Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa
Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa
Huyu jamaa harudigi nyuma
IQ kubwa sana