Katika kizazi hiki cha Z generation Benjamini Netanyau ndiyo kiongozi mtata na mtukutu zaid kumshudia

Katika kizazi hiki cha Z generation Benjamini Netanyau ndiyo kiongozi mtata na mtukutu zaid kumshudia

Kwamba kupambana na failed states ni smartness? Mtu smart alafu amedakwa akihonga sidhani kama unajua unachoongea.

Kingine Russia anampa silaha Iran na Hezbollah, kwanini hamgusi Russia? Ndio ujue anapambana na mataifa madogo tu ila hana ubavu wa kupambana na mataifa size yake. Ni suala la muda tu siku atamchokoza Russia au China na ndio itakua mwisho wake.
Naona kama umepaniki sana sheikh wangu. Tatizo nini lakini?kunywa maji tulia kidogo. Benjamin Netanyau is one of the very best and smart leaders ukanda ule alichokifanya. Sisi tumevurugika sana. Syria, Iran, Hizbu, Hamas. The man is very smart. Just calm down usipaniki ukisoma ukiwa na utulivu ukafikiria pia bila mihemko utagundua. Failed hiyo vipi?ikishinda inakuwa state ikishindwa failed state?kunywa maji mengi sheikh wangu. Haya mambo hayataki hasira
 
Amani kwenu watumishi

Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua

Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa

Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa

Huyu jamaa harudigi nyuma

IQ kubwa sana


Ex Sarayet Metkal. Baba yake alikuwa zionist hatari na msomi.
Kaka yake alikufa kwenye operation ya Entebbe mwaka 1976.
Yeye alichangia sana Yitzhak Rabin kupigwa risasi na Yigal Amir kwa amsha amsha zake za kupinga peace process na wapalestina.
Sasa hivi ameibadili Middle East kwa jinsi ilivyompendeza.
Mwenye wivu ajinyonge
 
Back
Top Bottom