Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kwa hiyo vitani unapaswa kwenda mbelembele kama mjingamjinga?Mjanja gan anaishi kwenye mashimo kama panya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo vitani unapaswa kwenda mbelembele kama mjingamjinga?Mjanja gan anaishi kwenye mashimo kama panya
Pole sana mkuu.Anajiona mwamba kamkurupusha Assad na yeye halali vile vile waasi hawaaminiki kajipa kazi ya kuharibu silaha wale watamgeuka tuu atake asitake nyie subirini
Upo wapi kwa sasaMimi hiyo inanitosha kaka nitakuwa nakuludishia 50 kila baada ya mwezi mmoja miezi kumi nitamaliza deni
Weee kijana soma kwanza au ushamaliza....😀Oya kaka unatisha kutukumbushia Kila mda
Hata kama sio leo wala kesho hilo litatokea tuu watagombana Israel na Syria hii mpya Mark itPole sana mkuu.
Ritz ,Malaria 2 ,FaizaFoxy ,Kosugi ,mdogoyeAmani kwenu watumishi
Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua
Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa
Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa
Huyu jamaa harudigi nyuma
IQ kubwa sana
Bibi sio mtata ni hali tu ya mashariki ya kati. Kuna huyu Putin.Amani kwenu watumishi
Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua
Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa
Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa
Huyu jamaa harudigi nyuma
IQ kubwa sana
Marked it!Hata kama sio leo wala kesho hilo litatokea tuu watagombana Israel na Syria hii mpya Mark it
Huyu Jolani ni mwepesi kutunguliwa zaidi ya walioko kwenye jina lakoKuna chuma kimeungia pale Syria kinaitwa jolan lazima benja ateme bungo
Gen z wapo kila mwaka ni namba tu za miaka ya watu kubadilikaAmani kwenu watumishi
Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua
Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa
Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa
Huyu jamaa harudigi nyuma
IQ kubwa sana
Jpm mlaini tu na mwoga sana alikuaNaona wewe gen z humjui JPM vizuri huyo jamaa angekuwa na uchumi mkubwa kama wa marekani, sidhani kama dunia hii ingekuwa salama kwa wakosoaji wake🤣🤣
" Hiiiiii au nasema uongo ndugu zangu"
Kwa hiyo ule ukali aliokuwa akitu actia ilikuwa ni nini?Jpm mlaini tu na mwoga sana alikua
Naunga mkono hoja.Amani kwenu watumishi
Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua
Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa
Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa
Huyu jamaa harudigi nyuma
IQ kubwa sana
si lolote si chochote yule ni kibaraka tu. Israel imejitwalia eneo syria hebu ajaribu kuikoromea israeli kama kweli ni mbabeKuna chuma kimeungia pale Syria kinaitwa jolan lazima benja ateme bungo
Daah upo wapi maeneo gani. SasaNiko dar es salaam kaka yangu
Nisaidie ndugu
Nipo magomen ndugu hapa mapipaDaah upo wapi maeneo gani. Sasa
Poa takuchek soon ngoja nifatilie kesi ya kijana wangu hapaNipo magomen ndugu hapa mapipa
Sawa rafiki yangu nisaidie sanaPoa takuchek soon ngoja nifatilie kesi ya kijana wangu hapa