Katika Kukuza Lugha Yetu Adhimu ya Kiswahili Kimataifa, Mnaonaje Rais Samia, Atumie Kiswahili, Kulihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa?

Kiswahili ni lugha ya hovyo sana na ndio maana watz wengi ni WA hovyo pia!
 
Kiswahili ni muongoni mwa lugha zenye hadhi kubwa hapa duniani, hivyo tutumie lugha yetu katika kuutangaza utamaduni wetu Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…