Katika maisha, nimejifunza kuwa mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa

Ubaya ubaya tu km una Risiti na IMEI namba mtafute mtu mpange aende polisi ajifanye kaibiwa simu halafu mnamtarget kwa huyo Demu akome kuringa Huo ni Ufwala
 
Waooooo like your name KWISHA na umekwishaaa kweli kweli.

Am sorry my Brother, kachukue simu yako ila kama Tecno au Infinix muachie itamlipukia hiyo, ila kama ni Samsung au IPhone chukuaaaaaaa.
Naunga mkono hoja
 
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji3577][emoji3577]
 
Labda demu yupo kwenye kipindi cha matazamio. Ana wanaume kama wawili ww wa 3. Vumilia tuu
 
Weka hapa tukipakue kiongozi
Hatari sana hiki kitabu, uwe unawaletea vijana sio wanawapa tu wanawake vitu kijinga, na akimaliza hicho asome flirt like a pro. Cha huyo huyo dominic mann nafikiri atakuwa amepiga hatua kubwa kwenye maswala ya wanawake.
 
Mimi nilichukua simu yangu. Risiti niliandika jina langu, wakati namkabidhi simu sikumpa risiti wala box.
Nilimchakata sana. Alipoanza kujifanya yupo busy na usaliti nikafuata simu yangu
 
Wahuni sio watu, unamnunulia mpenzi wako simu halafu simu hio hio anaitumia kumpigia mpenzi wake. Maisha hayajawahi kuwa faire.

Halafu kuna kenge itasema mwanamke mpe
pesa au vitu anatulia vizuri.
Ndo mana juzi kunademu nimempa lift kesho yake nikala mzigo akijua mi ni bonge la bwana nilimsugua usiku kucha kwa fuja nika mpakia boda asubuhi na 5k mkononi ndo alipie boda hapo hapo yaan kanilaani laana zote mamaeee... Si wachekeagi kwenye hela
 
Ukome siku ingine kugawa sm
 
mkuu nasubiri utuambie uliyoyakuta kwenye iyo simu
 
Pole sana bora yako wewe laki 3 mimi wangu bi mkubwa wake alilazwa muhimbili sewa haji private akaniambia nikiwa kama mchumba wake ambae ndio future yake uko mbele nimuazime laki5 tano aongezee kwenye kulipia bili za pale hospital lohhhhh kumbe napigwa changa la macho nikampa 650k kumbe kuna bwana ake kapata kazi za kwenda congo na malori sasa iyo sehemu aliyopata kazi kumbe HR anataka 400k kama rushwa ndio jamaa apewe nafasi jamaa akampigia demu wake ambae ndio alikuwa mchumba wangu demu akamuambia usijali ngoja niitafute iyo hela ndio nikapigwa na kitu kizito kichwani na hela yote akatumiwa jamaa yaani 400k kama rushwa 250k iliyobaki ni kama pocket money kwa muda atakao kuwa uko congo ..nikaja kugundua kuwa yule bi mkubwa wake alikuwa adaiwi ata mia na hospital ana mtoto wake mkubwa wa kiume alimkatia bima kubwa kwaiyo bima ililipia kila kitu.. nilichokuja kumfanyia sijui kama atakuja kunisahau kenge yule
 
Ndo mana juzi kunademu nimempa lift kesho yake nikala mzigo akijua mi ni bonge la bwana nilimsugua usiku kucha kwa fuja nika mpakia boda asubuhi na 5k mkononi ndo alipie boda hapo hapo yaan kanilaani laana zote mamaeee... Si wachekeagi kwenye hela
Bora umejikwepesha na gharama za kupoteza muda na hela nyingi zaidi.
 
Hahahahahah haya ndio yale yale nayosemea. Unakuwa na mpenzi wako ilihali nae ana mpenzi wake kwahio ngoma inogile. Unahudumia raia asiyejulikana kwa mgongo wa mchumba wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…