Uchaguzi 2020 Katika majimbo ya Uchaguzi 264, Lissu kwa mwezi mzima wa kampeni katembelea majimbo 17 bado majimbo 257 ambayo CCM tupo

Uchaguzi 2020 Katika majimbo ya Uchaguzi 264, Lissu kwa mwezi mzima wa kampeni katembelea majimbo 17 bado majimbo 257 ambayo CCM tupo

Ukweli unaowatoa nyongo wapambe wake ni kwamba, hata akifikia majimbo yote, hawezi shinda, hawezi na hatoweza, ninauhakika 100%

Amejitahidi Sana, atapata Kura 1.m

Labda Chadema wakiongeza matusi mara Ishirini zaidi ya hayo wanayotukana mitandaoni sasa
 
Huko nyie mlipoenea vipi hali ya umaskini wa wananchi,

Zaidi ya miaka 50 ya uhuru bado mnatoa ahadi za Maji,Barabara,Afya.

Piga chini ccm.
 
Wale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu

Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa Hadi Uchaguzi mkuu ufike

Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio Siri yetu ya Kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli

Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji

Na uzuri ni kwamba unaweza ukatembelea Majimbo 17 ukaeleweka na Watanzania wengi kuliko aliyetembelea Majimbo 264 na akapuuzwa sana tu.
 
Wale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu

Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa Hadi Uchaguzi mkuu ufike

Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio Siri yetu ya Kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli

Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji
Lissu anakutesa sana.kwani MWALIMU yuko Pemba
 
Haya bhana...
IMG_20200923_130436.jpg
 
Hana akili hizo
Hapo umemzungumzia Lissu as individual halafu unamlinganisha na CCM kama chama kwa ujumla kitu ambacho siyo sahihi ingefaa umlinganishe Lissu na mgombea mwenzie Magufuli ili ufanye analysis vizuri mpk sasa wamecover kiasi gani toka wameanza. Maana siyo kwamba Chadema nao wamerelax kwa maana ya chama nao wapo site
 
Unafikiri wananchi ni matomaso hadi wamuone ndio wampigie kura. Hata mkifanya hujuma za kumfukia shimoni bado atapita. Roho mbaya zenu ndio zimewaponza mwaka huu
 
Nipo Kilimanjaro, Magufuli anakubalika huku, nitahifadhi hii comment yangu nitarudi Tena, wachaga Sasa sisi tunamtaka Magu na atashinda lissu. Nadhani Katika sehemu ambayo upinzani wataumia Sana Ni mkoa wa Kilimanjaro, hawatapa Jimbo hata moja. Nani anataka ndugu zao kuenguliwa Katika position kubwa kubwa na kutengwa na raisi, tunajuta yaani
Wewe ni mchaga Pori tuliza mshono
 
Wale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu

Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa Hadi Uchaguzi mkuu ufike

Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio Siri yetu ya Kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli

Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji
magufuli katembea majimbo mangapi
 
Nipo Kilimanjaro, Magufuli anakubalika huku, nitahifadhi hii comment yangu nitarudi Tena, wachaga Sasa sisi tunamtaka Magu na atashinda lissu. Nadhani Katika sehemu ambayo upinzani wataumia Sana Ni mkoa wa Kilimanjaro, hawatapa Jimbo hata moja. Nani anataka ndugu zao kuenguliwa Katika position kubwa kubwa na kutengwa na raisi, tunajuta yaani
Umeona Wahaya walivyomkataa jiwe. Piga picha kwa Wachaga sasa.
 
Nitaendelea kuchagua chama tawala kwa maendeleo binafsi na ya nchi nzima, hao wanaofanya mipasho wasubiri miaka ijayo wakijaliwa
 
Back
Top Bottom