Uchaguzi 2020 Katika majimbo ya Uchaguzi 264, Lissu kwa mwezi mzima wa kampeni katembelea majimbo 17 bado majimbo 257 ambayo CCM tupo

Uchaguzi 2020 Katika majimbo ya Uchaguzi 264, Lissu kwa mwezi mzima wa kampeni katembelea majimbo 17 bado majimbo 257 ambayo CCM tupo

Wale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu

Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa Hadi Uchaguzi mkuu ufike

Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio Siri yetu ya Kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli

Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji
Akili matope,kwa hiyo hayo majimbo yaliyobaki chadema hawana mgombea na ni CCM pekee mko huko.Na km chadema ina wagombea huko hawapigi kampeni.
Pili kati ya majimbo yote JPM keshapiga kampeni ktk majimbo mangapi ili tufanye ulinganisho kati yake na Lissu.
 
Wale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu

Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa Hadi Uchaguzi mkuu ufike

Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio Siri yetu ya Kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli

Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji
Wewe sasa hivi ndio kiongozi wa timu ya propaganda humu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Uko kama kuku mtetea. Halafu unaanzisha threads ambazo zinaonesha kabisa wewe na kambi yako na waliowatuma mmepanic mazima. Salama yenu ni kumuacha Lissu apambane kivyake, maana chadema ilishakufa tangu 2015.
 
Magufuli yeye katembea mangapi hadi sasa tangu aanze 2015 hadi leo 2020?!
 
Hapo umemzungumzia Lissu as individual halafu unamlinganisha na CCM kama chama kwa ujumla kitu ambacho siyo sahihi ingefaa umlinganishe Lissu na mgombea mwenzie Magufuli ili ufanye analysis vizuri mpk sasa wamecover kiasi gani toka wameanza. Maana siyo kwamba Chadema nao wamerelax kwa maana ya chama nao wapo site
Huyu amepagawa maana hawakutarajia haya wanayoyaona kwa macho ya nyama. Kila baada ya dk 10 anaanzisha thread tofauti tofauti kuhusu Lissu.
 
Magufuli katembelea mangapi?
Wale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu

Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa Hadi Uchaguzi mkuu ufike

Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio Siri yetu ya Kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli

Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji
 
Nipo Kilimanjaro, Magufuli anakubalika huku, nitahifadhi hii comment yangu nitarudi Tena, wachaga Sasa sisi tunamtaka Magu na atashinda lissu. Nadhani Katika sehemu ambayo upinzani wataumia Sana Ni mkoa wa Kilimanjaro, hawatapa Jimbo hata moja. Nani anataka ndugu zao kuenguliwa Katika position kubwa kubwa na kutengwa na raisi, tunajuta yaani

Kura za Urais nakubaliana na wewe, kwa ubunge kuna Jimbo upinzani wanachukua, ila uchaguzi huu ni mgumu sana Kilimanjaro kwa Upinzani. Na hata wachangiaji wenye asili ya Kilimanjaro tunao zungumzia uchaguzi mkuu tumepungua sana humu.
 
Mkoa wa Pwani (3)
Kibaha
Bagamoyo
Chalinze

Mkoa morogoro (6)
Mjini
Kusini
Kusini mashariki
Ifakara
Kilombero
Mikumi

Iringa (6)
Isimani
Mjini
Mufindi kusini
Mufindi kaskazn
(Ruaha/)
Ilula

Njombe (4)
Njombe
Lupembe
Wanging'ombe/makambako

Mkoa mbeya (4)
Mbarali
Mjini
Mbeya vijijini
Rungwe

Mkoa songwe (4)
Mbozi
Vwawa
Tunduma
Songwe

Mkoa Rukwa (3)
Sumbawanga mjini
Sumbawanga vijijini
(Nkasi)

Mkoa katavi (4)
Tanganyika
Mpanda vijjn
Mpanda mjini

Mkoa kigoma (6+)
Kigoma mjn
Kigoma kusini
Kigoma kaskazini
Kasulu
Muhambwe
Kibondo

Mkoa kagera (8)
Bukoba mjini
Bukoba vijijn
Muleba kusini
Muleba kaskazin
Kyerwa
Ngara
Misenyi
Karagwe

Geita (2)
Geita
Buchosa

Jumlisha namba kwenye mabano
Halafu jumlisha na ule uzinduzi wa kanda zote 10 Tz nzima

Usipotoshe umma


Amekula Maharage ya wapi !.
 
Wale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu

Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa Hadi Uchaguzi mkuu ufike

Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio Siri yetu ya Kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli

Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji
Mvuto unao onekana ni kwamba haitaji kufika kila mahali CCM ilipofika. Yajayo yatashangaza sio CCM tu bali Dunia.
 
Mlimba
Mikumi
Kilosa
Kilombero
Iringa Mjini
Isimani
Kilolo
Ilula
Mafinga
Mufindi
Njombe
Makambako
Mbeya Mjini
Mbeya Vijijini
Mbozi
Tunduma
Momba
Sumbawanga Mjini
Kwela
Kibondo
Mpanda
Ujiji
Kigoma Buhambwe
Karagwe
Ngara
Bukoba
Biharamuro
Buchosa
Mbagala
Kawe
Arusha
Nyamagana
Dodoma
Mtwara Mjini
Mjini Magharibi etc etc.


Je, hayo yamefika mangapi?
 
Wale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu

Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa Hadi Uchaguzi mkuu ufike

Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio Siri yetu ya Kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli

Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji
Kinachokuuma ni nini hapo?
 
Kwa sababu huna akili ndio maana unaona Losu katembea majimbo 17. Hugo Meko ametembea majimbo mangapi?

Salumu Mwalimu katembea mangapi au usaidiwe kuhesabu?
 
Wale mnaopiga kelele kuwa Lisu kamaliza kazi mnaota Lisu mwezi mzima Hadi Sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 October tumuonyeshe Cha mtema kuni Lisu

Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa Hadi Uchaguzi mkuu ufike

Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio Siri yetu ya Kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli

Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji
Tofautisha kampeni na fiesta ,,,,Mana Kuna watu wanapita kuwanadi wasanii tu. Napita.
Lisu anafanya kampeni.
 
Nawapongeza chadema nimeona leo wameanza kampeni ya nyumba hadi nyumba huku mbeya
 
Wale mnaopiga kelele kuwa Lissu kamaliza kazi mnaota Lissu mwezi mzima hadi sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 Oktoba tumuonyeshe cCha mtema kuni Lissu

Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa hadi Uchaguzi mkuu ufike

Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio siri yetu ya kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli

Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji
Magufuli katembelea majimbo mangapi?
 
Wale mnaopiga kelele kuwa Lissu kamaliza kazi mnaota Lissu mwezi mzima hadi sasa kahutubia kampeni majimbo Tena mijini 17 wakati jumla ya majimbo ya Uchaguzi Tanzania yako 264 Kuna majimbo 257 hajakanyaga sisi CCM tuko kote huko tunadunda Kama kawa tukisubiri kwa nderemo na vifijo tarehe 28 Oktoba tumuonyeshe cCha mtema kuni Lissu

Mwezi mzima majimbo 17!!! Tumebakiza mwezi mmoja wa kampeni hata aende kwa spidi ipi aweza ishia majimbo 35 tu jumla awamu hii ya pili majimbo 222 hataweza kuyafikia kabisa hadi Uchaguzi mkuu ufike

Ushindi wa CCM hauepukiki hiyo ndio siri yetu ya kwanza sisi tuna cover kote hatuachi mahali kuanzia mjini Hadi vijijini vichakani utakuta bendera ya CCM hewani ikipepea na picha za chagua Magufuli

Tambo zote za Chadema mitandaoni humu ni za hayo majimbo 17 aliyopita Lisu Tena kwenye vimiji

Tusisahau pia kwamba raisi Magufuli na mgombea wa CCM aliishaitembelea Tanzania ndani ya miaka mitano ya utawala wake.

Ndo maana sasa hivi kwenye kampeni wakaamua kupeana majukumu ya kutembelea majimbo yalobakia ili kuweka msisitizo.

Ila ni ukweli kwamba Chadema nao wanajitahidi kuzungukia majimbo fulani ambayo wao wanayaona ni ya kimkakati.

Lakini bado hawajawafikia CCM kwenye suala ya kufukiza majimbo kwa ubani wake maalum wa kampeni.
 
Hapo umemzungumzia Lissu as individual halafu unamlinganisha na CCM kama chama kwa ujumla kitu ambacho siyo sahihi ingefaa umlinganishe Lissu na mgombea mwenzie Magufuli ili ufanye analysis vizuri mpk sasa wamecover kiasi gani toka wameanza. Maana siyo kwamba Chadema nao wamerelax kwa maana ya chama nao wapo site
Nakubali chandema viongozi wao kuanzia katika Kanda husika wapo wanapiga kazi usiku na mchana
 
mbona wakati wa kutafuta wadhamini katembea mikoa 17ni kampeni Tosha na ukichanganya majimbo wakati ukitembea mkoa mmoja baadhi ya majimbo ya karibu lazima yalete wawakilishi
 
Back
Top Bottom