Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Kwa hiyo mtu akisema nilikuwa nikifaidika kumuabudu "Brian Deacon" unataka kusema kitu kimehalalishwa? Nenda kaombewe kwa Mwamposa akili ikukae sawa.

Galatians 5:2​

New International Version​

2 Mark my words! I, Paul, tell you that if you let yourselves be circumcised,(A) Christ will be of no value to you at all.
Mpinge muhammad
Yeye ndie Alie waambia wachukue mademu siku tatu tupa kule unachukua mwingine

Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
 
Nimekupa muendelezo wa hadith ili uelewe. Makafiri mtaelewa tu.
...`Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful). (Sahih Al Bukhari 5119)


Galatians 5:2​

New International Version​

2 Mark my words! I, Paul, tell you that if you let yourselves be circumcised,(A) Christ will be of no value to you at all.
Hatupo kwa Ali tupo kwa Muhammad , embu eleza kwa nini Allah aliruhusu huu umalaya wa mutah
 
Mpinge muhammad
Yeye ndie Alie waambia wachukue mademu siku tatu tupa kule unachukua mwingine

Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
Naona kafiri kichwa chako kigumu kuelewa. Hiyo hadith kwa nini hauweki hadi mwisho


...Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
Sahih al-Bukhari


Ngoja nikuwekee Mungu kwenye biblia karuhusu kuua hadi vitoto vichanga. Nioneshe ilipotenguliwa wasiuliwe? Mi kwenye mutah nimekuonesha kwenye hiyo hiyo hadith


1 SAMUEL 15:3

Now go and smite Amalek and utterly destroy all that they have, and spare them not; but slay both man and woman, infant and suckling, ox and sheep, camel and ass.’”
 
Naona kafiri kichwa chako kigumu kuelewa. Hiyo hadith kwa nini hauweki hadi mwisho


...Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
Sahih al-Bukhari


Ngoja nikuwekee Mungu kwenye biblia karuhusu kuua hadi vitoto vichanga. Nioneshe ilipotenguliwa wasiuliwe? Mi kwenye mutah nimekuonesha kwenye hiyo hiyo hadith


1 SAMUEL 15:3

Now go and smite Amalek and utterly destroy all that they have, and spare them not; but slay both man and woman, infant and suckling, ox and sheep, camel and ass.’”
Issue sio cancelled ,embu eleza kwa nini Allah aliruhusu umalaya wa mutah na Aya ya 4:24 inasema kula House girl, kula mke wa mtu,kula binamu , kula mwanamke yoyote na mlipe

Issue ya kuua watoto Allah ndie alianzisha

Musa alienda na jamaa wakamuua mtoto ili Allah amfundishe Musa mtoto ambae baadae angekuwa kafiri anatakiwa achinjwe
18:80. Ama yule kijana niliye muuwa, baba yake na mama yake walikuwa ni Waumini. Tulikuwa tunajua kuwa angeli ishi angeli kuwa ndio sababu ya ukafiri wao

Nuhu anamwambia Allah ua kila kiumbe mpaka watoto wachanga wa makafiri

71:26. Na Nuh'u akasema: Mola wangu Mlezi! Usimwache juu ya ardhi mkaazi wake yeyote katika makafiri!
 
Issue sio cancelled ,embu eleza kwa nini Allah aliruhusu umalaya wa mutah na Aya ya 4:24 inasema kula House girl, kula mke wa mtu,kula binamu , kula mwanamke yoyote na mlipe

Issue ya kuua watoto Allah ndie alianzisha

Musa alienda na jamaa wakamuua mtoto ili Allah amfundishe Musa mtoto ambae baadae angekuwa kafiri anatakiwa achinjwe
18:80. Ama yule kijana niliye muuwa, baba yake na mama yake walikuwa ni Waumini. Tulikuwa tunajua kuwa angeli ishi angeli kuwa ndio sababu ya ukafiri wao

Nuhu anamwambia Allah ua kila kiumbe mpaka watoto wachanga wa makafiri

71:26. Na Nuh'u akasema: Mola wangu Mlezi! Usimwache juu ya ardhi mkaazi wake yeyote katika makafiri!
Ulitaka makafiri wabaki ili iweje wakati wameletewa hoja za dhahiri? Asante kwa kutambua kumbe maandiko ya King James Version yamekuja juzi juzi.

Paulo anasema ukiwa hauna govi Kristo anakuwa hana thamani kwako.

Galatians 5:2
New International Version

2 Mark my words! I, Paul, tell you that if you let yourselves be circumcised,(A) Christ will be of no value to you at all.
 
Ulitaka makafiri wabaki ili iweje wakati wameletewa hoja za dhahiri? Asante kwa kutambua kumbe maandiko ya King James Version yamekuja juzi juzi.

Paulo anasema ukiwa hauna govi Kristo anakuwa hana thamani kwako.​

Galatians 5:2​

New International Version​

2 Mark my words! I, Paul, tell you that if you let yourselves be circumcised,(A) Christ will be of no value to you at all.
Nimeshakumaliza , embu Kiri kwanza Allah ndie muanzilishi wa kuua watoto, alafu nakupa fundisho biblia ni kitabu ambacho unatakiwa usome sura nzima ili upate mtiriko wa habari ,

Koran ni kitabu Cha mashahiri yasio na uhusiano verse na Verse , ukiulizwa leo Israel alipataje hilo jina kwenye Koran hakuna
 
Ulitaka makafiri wabaki ili iweje wakati wameletewa hoja za dhahiri? Asante kwa kutambua kumbe maandiko ya King James Version yamekuja juzi juzi.

Paulo anasema ukiwa hauna govi Kristo anakuwa hana thamani kwako.​

Galatians 5:2​

New International Version​

2 Mark my words! I, Paul, tell you that if you let yourselves be circumcised,(A) Christ will be of no value to you at all.
Hivi kwa nini muhammad hakutairiwa?
 
Nimeshakumaliza , embu Kiri kwanza Allah ndie muanzilishi wa kuua watoto, alafu nakupa fundisho biblia ni kitabu ambacho unatakiwa usome sura nzima ili upate mtiriko wa habari ,

Koran ni kitabu Cha mashahiri yasio na uhusiano verse na Verse , ukiulizwa leo Israel alipataje hilo jina kwenye Koran hakuna
Verse kama hizi sio?


1 Wakorintho 1:25
Neno: Bibilia Takatifu

25 Kwa maana huu ‘upumbavu’ wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Hivi kwa nini muhammad hakutairiwa?
Hivi kwa nini mnaabudu picha ya mzungu aliye uchi?
download.jpeg
 
Na je mume akipata matatizo mke aende wapi?? Dini ya kiislamu imewaweka wanawake chini sana
Kuna taratibu zake, kama kuna shida au mazingira ambayo mwanaume hawezi kumudu ndoa kwa namna yoyote au kutokua na uwezo wa kumpa haki ya tendo la ndoa mkewe mwanamke anaweza na anaruhusiwa kujitoa katika ndoa. Pia hata mwanakme akiona hanamapenzi tena yaani hammpendi mumewe na hawezi kuvumilia kuwa nae kama mke pia anaruhusiwa kujitoakatika ndoa. ni hivyo tu mambo mengi yanazungumziwa nusu nusu kwa maslahi binafsi ila katika uislamu ndoa ni makubaliano na mkataba ambao ni ruhsa kwa yoyte ujitoa kama kuna mambo ya msingi na ya kisheria.
 
Hivi kwa nini mnaabudu picha ya mzungu aliye uchi?View attachment 2101492
Unapenda sana kutoka nje ya mada , turudi tujadili kwa nini allah alianzisha umalaya wa mutah

muanjilishi wa kuabudu picha na sanamu ni allah
alianzisha kuabudu jiwe la maka na akaanzisha kutengeneza masanamu
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
 
Unapenda sana kutoka nje ya mada , turudi tujadili kwa nini allah alianzisha umalaya wa mutah

muanjilishi wa kuabudu picha na sanamu ni allah
alianzisha kuabudu jiwe la maka na akaanzisha kutengeneza masanamu
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
Ukafiri kweli mzigo. Subiri nikuoneshe maana ya umalaya au uzinzi iliyoruhusiwa kabisa kwenye biblia. Naona unajitahidi kutafuta vicommentary fake kwenye mitandao.

1 Hosea
2 Hapo kwanza Bwana aliponena kwa kinywa cha Hosea, Bwana alimwambia Hosea, Enenda ukatwae mke wa uzinzi, na watoto wa uzinzi...

Usiniletee commentary fake za kwenye mitandao. Kama kitu hauna elimu nacho, ufanye kuuliza kuliko kuleta uongo wa kina Gwajima. Hosea aliambiwa akafanye uzinzi. Biblia imrehusu uzinzi kabisa
 
Ukafiri kweli mzigo. Subiri nikuoneshe maana ya umalaya au uzinzi iliyoruhusiwa kabisa kwenye biblia. Naona unajitahidi kutafuta vicommentary fake kwenye mitandao.

Hosea​


Hapo kwanza Bwana aliponena kwa kinywa cha Hosea, Bwana alimwambia Hosea, Enenda ukatwae mke wa uzinzi, na watoto wa uzinzi...

Usiniletee commentary fake za kwenye mitandao. Kama kitu hauna elimu nacho, ufanye kuuliza kuliko kuleta uongo wa kina Gwajima.
Unajua maana ya watoto wa uzinzi au unasoma tu kipande mengine unajiongeza ?
 
Naona kafiri kichwa chako kigumu kuelewa. Hiyo hadith kwa nini hauweki hadi mwisho


...Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
Sahih al-Bukhari


Ngoja nikuwekee Mungu kwenye biblia karuhusu kuua hadi vitoto vichanga. Nioneshe ilipotenguliwa wasiuliwe? Mi kwenye mutah nimekuonesha kwenye hiyo hiyo hadith


1 SAMUEL 15:3

Now go and smite Amalek and utterly destroy all that they have, and spare them not; but slay both man and woman, infant and suckling, ox and sheep, camel and ass.’”
Hadithi inaweza kufanya ammendment kwenye Quran ?

Maana mutah imetajwa kwenye Quran, inakuwaje hadithi ibadilishe quran ?
 
Back
Top Bottom