Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DNA test inabainishaMtt akizaliwa baba atakuwa nani?
Mathayo 5:31Hapana Mkuu! Ni mpaka kifo kiwatenganishe.
Hili la kuthitibika mmoja wao amefanya uzinzi ni katika Uchumba.Katika uchumba mwanamke akifanya Uasherati kabla ya ndoa hata kama ameshatolewa posa Mwanaume ana haki ya kuvunja uchumba na kuomba arudishiwe mahari.Lakini kwa watu ambao tayari wameshaoana na mmoja akafanya uzinzi hapo hakuna kutengana kwa namna yoyote.
Mathayo19:4-7
Mathayo5:30-32
Mubarridi unajua mutah ni Aya ambayo ndani yake umeambia umkule house girl, binamu, mtoto wako ambae umemzaa nje ya ndoa, mke wa mtu na mwisho ikamalizia tembea na mwanamke na ukimaliza mlipeKwenye Uislamu hakuna Muta'a ila kwa Mashia ipo.
Legendary [emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487]Kwenye kuoa 4 ndo wamepatia sana mie ni RC nlie lelewa katka iman ya kikristo ila nna mke na michepuko 3
Alaf maisha yanaenda kote nmezalisha na nina hudumia vzr ingekuwa kuna ruksa yabkoa ningeoa wote
We KAFIRI Eleza kwamba Uislamu uliporuhusu aina ya hiyo ndoa uloitaja? mm stki maneno mengi lete ushahidi tu mkweli ajulikane na liongo pia lijulikaneHivi watoto wanaopatikana kwa ndoa ya Muta.
Ni watoto haramu au la ?
Chukulia mfano wewe ni dereva wa malori, leo unaenda Zambia kesho Kongo keshokutwa Malawi na hukp kote huendi na Mkeo na unahudhuria Muta.
Hao watoto watakuwa halari au haramu ?
Kutokana na mawaidha ya Mtume kipenzi cha Allah.
Nashkuru kuzaliwa na kulelewa katika neema ya UislamuKwenye kuoa 4 ndo wamepatia sana mie ni RC nlie lelewa katka iman ya kikristo ila nna mke na michepuko 3
Alaf maisha yanaenda kote nmezalisha na nina hudumia vzr ingekuwa kuna ruksa yabkoa ningeoa wote
Soma Sahih al-Bukhari hadith namba 5119.We KAFIRI Eleza kwamba Uislamu uliporuhusu aina ya hiyo ndoa uloitaja? mm stki maneno mengi lete ushahidi tu mkweli ajulikane na liongo pia lijulikane
Ndo ushamaliza kudhihirisha ujinga wako? we KAFIRI?Soma Sahih al-Bukhari hadith namba 5119.
Kumbe wewe ni maamuma enhe yaani huelewi chochote ktk dini yako.
Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
Haya nimekuwekea hapo endelea kukanusha mkanusho wako.
Kafiri mkubwa wewe, kama wale makafiri wa Kiarabu.
kawadanganye wengine uko ila sio sisi tunoujua Uislamu wetuSoma Sahih al-Bukhari hadith namba 5119.
Kumbe wewe ni maamuma enhe yaani huelewi chochote ktk dini yako.
Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
Haya nimekuwekea hapo endelea kukanusha mkanusho wako.
Kafiri mkubwa wewe, kama wale makafiri wa Kiarabu.
Kwahiyo kwenye hiyo hadithi wewe unaamini maneno ya Abu Abdullah aliyemsikia Ali, na sio ya Allah Messenger.kawadanganye wengine uko ila sio sisi tunoujua Uislamu wetu
hujui kitu nyamaza kimya ww KAFIRI na ukifa na UKAFIRI wako huo ni Moto tuuKwahiyo kwenye hiyo hadithi wewe unaamini maneno ya Ali badala ya Allah Messenger.
We utaendelea kuwa Kafiri tu.
Hapo ipo nzima umeweiweka.hujui kitu nyamaza kimya ww KAFIRI na ukifa na UKAFIRI wako huo ni Moto tuu
hlf mbona hadithi uliikata kma ww ni mkweli ?
Ata nzi akiwa serious atatengeneza AsaliHapo ipo nzima umeweiweka.
Ndio maana nakuuliza
Unaamini maneno ya Allah Messenger au ya Abu Abdullah aliye mnukuu Ali ?
Allah Messenger karuhusu muta
Abu abdullah anasema alimsikia Ali kwamba Mtume kaikanusha Muta.
We hapo unaamini lipi.
Ni kama ila haramu ya Nguruwe.
Muhammadi kaharamisha Allah karuhusu ukiwa na njaa.
We hapo unamwamini nani.
mungu Allah karuhusu usiku tatu ule mwanamke alafu auache ule mwingine ,ni vizuri umeanja kutumia sunnah.com kama nilivyo kufundishaNdo ushamaliza kudhihirisha ujinga wako? we KAFIRI?
hlf usikasirike kuitwa KAFIRI mana ww sio MUISLAMU
Haya sasa mm nakuletea iyo hadithi uloileta mpk mwisho siikatishi vipande hlf tuone nani msema kweli we KAFIRI umesikiaView attachment 2100911