Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
spensa,Achaneni na uyo jamaa spensa ni mjinga kupitiliza uyo
yuko vizuri sana, hoja zake zote anaambatanisha na Aya au hadithi mnazoziamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
spensa,Achaneni na uyo jamaa spensa ni mjinga kupitiliza uyo
Ww na yy nyote wajinga hlf usiwe kma bendera mfuata upepospensa,
yuko vizuri sana, hoja zake zote anaambatanisha na Aya au hadithi mnazoziamini.
basi makubwa jinga ni wengi vp hapoHana haki ya kulithi bali ana haki ya kurithi.Mabwege wengi.Na wengi wamesoma na mmojawapo ni Amri Jeshi wa Nchi unayoishi.Bwege utalijua tu.
acha uongo wewe ,msingekuwa na ndoa za mitalaUongo mtupu uislam ndio ulikuja kumpa Haki mwanamke mfano zaman mwanamke alikua harithi Mali akiwa katika hedhi ilikua ni niksi hulali nae na Kuna baadhi walikua wanaua watoto wa kike uslam ndio umekuja kumuheshimisha mwanamke na kumfanya pambo la mumewe hivi unajua mwanamke kupika kufua na kazi zote za nyumbani kisheria ya dini sio kazi yake Yani halazimiki kufanya hivyo. Ila wanawake wa kiislam ni wapole wanahuruma na kufanya hizo kazi kwake ni ibada Yan anapata thawabu mwisho hata kukunyonyeshea mwanao sio lazima Sheria inasema umlipe mwanamke unataka haki gan zaid
allah ni mhuni kama wa manzese tu ndio maaana anabagua watuMimi kuna wakati nilitaka Kusilimu niwe Mwislamu.
Lakini nilivyosoma na kuelewa kuwa siku nikiuacha Uislamu natakiwa kuuwawa nikastuka.
Mungu gani analazimisha Dini.
Kama Freemasoni.
Allah hawezi kuwa Mungu.
Abadan Finalilah.
Mpaka sasa hamjajibu kwa nini Allah aliruhusu umalaya, Yani unachukua mwanamke unakaa nae siku tatu unamuacha unachukua mwingineKAFIRI katika ubora wako
Kuonewa w.ke kwa kuvaa stara
Kujikinga na masheitwani ndo kua na majini
Kuiendeleza dini ndo kufanya dhulma
Yni wakristo bhna chuki tu ndo zilowajaa
Tukiacha kukimbiza kichaaUkikimbizana na kichaa aliyekuibia watu watadhani wewe pia ni kichaa mpya mjini.Hivyo uamuzi mzuri ni kumuacha kichaa akimbie mwenyewe.
Toa Aya inayosema hivyo mkuu sisi hua tunaenda na ushahidiMpaka sasa hamjajibu kwa nini Allah aliruhusu umalaya, Yani unachukua mwanamke unakaa nae siku tatu unamuacha unachukua mwingine
Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
Maneno ya muhammad Jua kabisa kaagizwa na Allah na Koran inasema Muhammad na Allah wanajadiliana jambo kabla halijaja kwa wauminiToa Aya inayosema hivyo mkuu sisi hua tunaenda na ushahidi
Muhammad karuhu mutah kwenye Hadith na walikubaliana na Allah kwanzaToa Aya inayosema hivyo mkuu sisi hua tunaenda na ushahidi
Na bado akanyimwa UONGOZI?!Sio kweli mkuu
MWANAMKE katika UISLAM amepewa DALAJA la KWANZA kwa kila kitu au wazungu wao wanasema LADIES FIRST
mwanamke katika UISLAM amenyimwa UONGOZI tu
mfn:-
Mwanamke katika UISLAM ndie anataja mahari na ni yake hiyo MAHARI
Mwanamke wakati wa NDOA ndio anaazwa kuulizwa kama amekubari kuolewa na akikataa hakuna NDOA
mfn ataulizwa kwann umekataa usiolewe akasema mimi sijapewa mahari yangu basi hapo ndoa haifungwi mpk baba alokula maharai ya bint yake ampe ndo NDOA ifungwe
Mwanamke wa kiislam katika NDOA kazi yake ni mbili kujiremba kwa ajili ya mumewe na kumtanulia miguu aingie kati
na hata akikuzalia mtoto kumlea na kumnyonyesha ilipaswa umlipe hayo mambo ya kupika na kufua kama huwezi inapaswa wewe umtafutie mjakazi
mwanamke katika NDOA ya uislam kupika sio kazi yake wala kukufulia
ndio mana inasemwa kilaanapompikia mumeo na kumfulia unapata thawabu mara 100 zaid
Nimekueleza hayo machache tu
lkn yapo kedekede yanayomfanya MKE katika uislam aishi kama mfalme
na MWANAMKE katika uislam thamani yake iwe juu kam lulu
na ndio maana wakaambiwa wataingia mlango wa PEPO waitakayo
katika UISLAM pepo zina madaraja kwa ubora wake kama unavyoona hotel nyota 3 nyota 4 nyota 5 basi pepo nazi zipo hivyohvyo
sawa wanawake wa kiislam waliolewa wameahidiwa wataingia katika pepo wazitakazo wenyewe watakavyopenda
ikiwa watafanya mambao haya matatu
1. akamtii MUMEWE
2.Akaswali sala 5
3.akafunga ramadhani
basi wataingia katika pepo yoyote ile waitakayo
Ukiona MWANAMKE wa KIISLAM ananyanyasika basi ameyataka mwenyewe
kwa upumbavu wake na kuivunja NDOA yake mwenyewe
hiyo ni NATURE mwanamke hawezi aruhusiwi kuongoza chochote mbele ya mwanaume lazima aongozwe na mwanaumeNa bado akanyimwa UONGOZI?!
Kwa nini mungu Allah aseme wanawake wapigwe ??Ukikimbizana na kichaa aliyekuibia watu watadhani wewe pia ni kichaa mpya mjini.Hivyo uamuzi mzuri ni kumuacha kichaa akimbie mwenyewe.
Turudi kwenye mada , kwa nini Allah na Muhammad wanasema mwanamke adanganyweUkikimbizana na kichaa aliyekuibia watu watadhani wewe pia ni kichaa mpya mjini.Hivyo uamuzi mzuri ni kumuacha kichaa akimbie mwenyewe.
Kwa mujibu wa nature ipi hasa?hiyo ni NATURE mwanamke hawezi aruhusiwi kuongoza chochote mbele ya mwanaume lazima aongozwe na mwanaume
We km vipi check tu sasa hivi uone namna mambo yanavyojiendea halafu linganisha kipindi cha jemedari asiyeyumbishwa na mabeberu
we ushawahi kusikia wapi katika wakati mgumu watu wakakuambia fanya maamuzi ya kike
utasikia watu wanakutia moyo FANYA MAAMUZI YA KIUME
au wanakupongeza KWA KUFANYA MAAMUZI YA KIUME
Hapana Mkuu! Ni mpaka kifo kiwatenganishe.Unaandika kitu usichokijua kwenye ukristo talaka ruksa kama mmoja wenu amezini na ikathibitika hivyo
Hiyi ni kwa RCHapana Mkuu! Ni mpaka kifo kiwatenganishe.
Hili la kuthitibika mmoja wao amefanya uzinzi ni katika Uchumba.Katika uchumba mwanamke akifanya Uasherati kabla ya ndoa hata kama ameshatolewa posa Mwanaume ana haki ya kuvunja uchumba na kuomba arudishiwe mahari.Lakini kwa watu ambao tayari wameshaoana na mmoja akafanya uzinzi hapo hakuna kutengana kwa namna yoyote.
Mathayo19:4-7
Mathayo5:30-32