Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Hana haki ya kulithi bali ana haki ya kurithi.Mabwege wengi.Na wengi wamesoma na mmojawapo ni Amri Jeshi wa Nchi unayoishi.Bwege utalijua tu.
basi makubwa jinga ni wengi vp hapo
 
Uongo mtupu uislam ndio ulikuja kumpa Haki mwanamke mfano zaman mwanamke alikua harithi Mali akiwa katika hedhi ilikua ni niksi hulali nae na Kuna baadhi walikua wanaua watoto wa kike uslam ndio umekuja kumuheshimisha mwanamke na kumfanya pambo la mumewe hivi unajua mwanamke kupika kufua na kazi zote za nyumbani kisheria ya dini sio kazi yake Yani halazimiki kufanya hivyo. Ila wanawake wa kiislam ni wapole wanahuruma na kufanya hizo kazi kwake ni ibada Yan anapata thawabu mwisho hata kukunyonyeshea mwanao sio lazima Sheria inasema umlipe mwanamke unataka haki gan zaid
acha uongo wewe ,msingekuwa na ndoa za mitala
 
Mimi kuna wakati nilitaka Kusilimu niwe Mwislamu.
Lakini nilivyosoma na kuelewa kuwa siku nikiuacha Uislamu natakiwa kuuwawa nikastuka.

Mungu gani analazimisha Dini.
Kama Freemasoni.

Allah hawezi kuwa Mungu.
Abadan Finalilah.
allah ni mhuni kama wa manzese tu ndio maaana anabagua watu
 
KAFIRI katika ubora wako
Kuonewa w.ke kwa kuvaa stara
Kujikinga na masheitwani ndo kua na majini
Kuiendeleza dini ndo kufanya dhulma
Yni wakristo bhna chuki tu ndo zilowajaa
Mpaka sasa hamjajibu kwa nini Allah aliruhusu umalaya, Yani unachukua mwanamke unakaa nae siku tatu unamuacha unachukua mwingine

Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
 
Ukikimbizana na kichaa aliyekuibia watu watadhani wewe pia ni kichaa mpya mjini.Hivyo uamuzi mzuri ni kumuacha kichaa akimbie mwenyewe.
 
Ukikimbizana na kichaa aliyekuibia watu watadhani wewe pia ni kichaa mpya mjini.Hivyo uamuzi mzuri ni kumuacha kichaa akimbie mwenyewe.
Tukiacha kukimbiza kichaa

Embu nieleweshe huyu mungu aliruhusu huu uchafu kwa nini?

Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
 
Mpaka sasa hamjajibu kwa nini Allah aliruhusu umalaya, Yani unachukua mwanamke unakaa nae siku tatu unamuacha unachukua mwingine

Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
Toa Aya inayosema hivyo mkuu sisi hua tunaenda na ushahidi
 
Toa Aya inayosema hivyo mkuu sisi hua tunaenda na ushahidi
Maneno ya muhammad Jua kabisa kaagizwa na Allah na Koran inasema Muhammad na Allah wanajadiliana jambo kabla halijaja kwa waumini

Kasome 4:24
 
Toa Aya inayosema hivyo mkuu sisi hua tunaenda na ushahidi
Muhammad karuhu mutah kwenye Hadith na walikubaliana na Allah kwanza
Koran 33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
 
Sio kweli mkuu
MWANAMKE katika UISLAM amepewa DALAJA la KWANZA kwa kila kitu au wazungu wao wanasema LADIES FIRST
mwanamke katika UISLAM amenyimwa UONGOZI tu

mfn:-
Mwanamke katika UISLAM ndie anataja mahari na ni yake hiyo MAHARI

Mwanamke wakati wa NDOA ndio anaazwa kuulizwa kama amekubari kuolewa na akikataa hakuna NDOA
mfn ataulizwa kwann umekataa usiolewe akasema mimi sijapewa mahari yangu basi hapo ndoa haifungwi mpk baba alokula maharai ya bint yake ampe ndo NDOA ifungwe

Mwanamke wa kiislam katika NDOA kazi yake ni mbili kujiremba kwa ajili ya mumewe na kumtanulia miguu aingie kati
na hata akikuzalia mtoto kumlea na kumnyonyesha ilipaswa umlipe hayo mambo ya kupika na kufua kama huwezi inapaswa wewe umtafutie mjakazi

mwanamke katika NDOA ya uislam kupika sio kazi yake wala kukufulia
ndio mana inasemwa kilaanapompikia mumeo na kumfulia unapata thawabu mara 100 zaid

Nimekueleza hayo machache tu
lkn yapo kedekede yanayomfanya MKE katika uislam aishi kama mfalme
na MWANAMKE katika uislam thamani yake iwe juu kam lulu

na ndio maana wakaambiwa wataingia mlango wa PEPO waitakayo
katika UISLAM pepo zina madaraja kwa ubora wake kama unavyoona hotel nyota 3 nyota 4 nyota 5 basi pepo nazi zipo hivyohvyo
sawa wanawake wa kiislam waliolewa wameahidiwa wataingia katika pepo wazitakazo wenyewe watakavyopenda
ikiwa watafanya mambao haya matatu
1. akamtii MUMEWE
2.Akaswali sala 5
3.akafunga ramadhani
basi wataingia katika pepo yoyote ile waitakayo

Ukiona MWANAMKE wa KIISLAM ananyanyasika basi ameyataka mwenyewe
kwa upumbavu wake na kuivunja NDOA yake mwenyewe
Na bado akanyimwa UONGOZI?!
 
Na bado akanyimwa UONGOZI?!
hiyo ni NATURE mwanamke hawezi aruhusiwi kuongoza chochote mbele ya mwanaume lazima aongozwe na mwanaume
We km vipi check tu sasa hivi uone namna mambo yanavyojiendea halafu linganisha kipindi cha jemedari asiyeyumbishwa na mabeberu

we ushawahi kusikia wapi katika wakati mgumu watu wakakuambia fanya maamuzi ya kike
utasikia watu wanakutia moyo FANYA MAAMUZI YA KIUME
au wanakupongeza KWA KUFANYA MAAMUZI YA KIUME
 
Ukikimbizana na kichaa aliyekuibia watu watadhani wewe pia ni kichaa mpya mjini.Hivyo uamuzi mzuri ni kumuacha kichaa akimbie mwenyewe.
Kwa nini mungu Allah aseme wanawake wapigwe ??

4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni
 
Ukikimbizana na kichaa aliyekuibia watu watadhani wewe pia ni kichaa mpya mjini.Hivyo uamuzi mzuri ni kumuacha kichaa akimbie mwenyewe.
Turudi kwenye mada , kwa nini Allah na Muhammad wanasema mwanamke adanganywe

"it is not lawful to lie except in three cases: Something the man tells his wife to please her, to lie during war, and to lie in order to bring peace between the people." Jami` at-Tirmidhi 1939
 
hiyo ni NATURE mwanamke hawezi aruhusiwi kuongoza chochote mbele ya mwanaume lazima aongozwe na mwanaume
We km vipi check tu sasa hivi uone namna mambo yanavyojiendea halafu linganisha kipindi cha jemedari asiyeyumbishwa na mabeberu

we ushawahi kusikia wapi katika wakati mgumu watu wakakuambia fanya maamuzi ya kike
utasikia watu wanakutia moyo FANYA MAAMUZI YA KIUME
au wanakupongeza KWA KUFANYA MAAMUZI YA KIUME
Kwa mujibu wa nature ipi hasa?
 
Unaandika kitu usichokijua kwenye ukristo talaka ruksa kama mmoja wenu amezini na ikathibitika hivyo
Hapana Mkuu! Ni mpaka kifo kiwatenganishe.
Hili la kuthitibika mmoja wao amefanya uzinzi ni katika Uchumba.Katika uchumba mwanamke akifanya Uasherati kabla ya ndoa hata kama ameshatolewa posa Mwanaume ana haki ya kuvunja uchumba na kuomba arudishiwe mahari.Lakini kwa watu ambao tayari wameshaoana na mmoja akafanya uzinzi hapo hakuna kutengana kwa namna yoyote.
Mathayo19:4-7
Mathayo5:30-32
 
Hapana Mkuu! Ni mpaka kifo kiwatenganishe.
Hili la kuthitibika mmoja wao amefanya uzinzi ni katika Uchumba.Katika uchumba mwanamke akifanya Uasherati kabla ya ndoa hata kama ameshatolewa posa Mwanaume ana haki ya kuvunja uchumba na kuomba arudishiwe mahari.Lakini kwa watu ambao tayari wameshaoana na mmoja akafanya uzinzi hapo hakuna kutengana kwa namna yoyote.
Mathayo19:4-7
Mathayo5:30-32
Hiyi ni kwa RC
 
Back
Top Bottom