Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Kwani anafanya nao wote wanne kwa wakati mmoja si tofauti tofauti.. anaweza vizuri tu kumudu sikuiz wanadanga na kila baada ya masaa matatu analala na mwanaume hawezi shindwa kuwamudu MKUU
Lazima atachoka tu. Wanaume ndio huwa wahitaji mara nyingi.

Jee akiwa kwenye faradhi zake? Mf. Hedhi au uzazi inakuwa jee? Wanaume wake wanne wakihitaji atawasubirisha mpk amalize eeh?!!!
 
Hiyo ni kazi ya kuhesabu siku zake tu mbona rahisi sana hiyo.. wewe hauijui hiyo .. mwanamke hata alale na wanaume mia kwa mwezi.. ujauzito ukiingia atajua wa nan! Hilo usiwe na hofu nalo
Lol. Kazi kweli kweli.

Laziim Mahesabu yatakwama tu ipo siku.

Kwa hio akishajua mimba ya nani wale watatu walobaki itakuwa hawapi mpk azae eeh!!!?

Au atawapa kama kawaida wasaidie kuongeza njia? [emoji14]
 
Wazinz cku zote wana option chief. Mke ni mmoja tu. Hakuna kisingizio. Hao unaosema wanaoa mpaka 4 bado ni wazinz waliokubuhu. Kikubwa unatakiwa kujua Mungu hafuati taratibu zako. Yeye ashaweka utaratibu ukizin ni kosa kuna adhabu. Mtu mzinz hata umpe mabeib wote atataman tu. So sisi wakristo Mungu wetu hakutupa option chief. Ukizin ni moto hata ukitaman ni kosa. Sio nyie mmepewa option eti msile kitimoto ila ikitokea dharura kula kula. Sasa huyo Mungu gan. Dhambi haiwezi kuwa nuru.
Kwny suala la wake wengi ht Mungu atakushangaa
Unamjua Mfalme Sulemani?Daudi?
 
Huu uzinzi wa mutah ulikuwa unaendelea mpaka maisha ya Umar , Soma kijana

....Yes, we had been benefiting ourselves by this temporary marriage during the lifetime of the Prophet (ﷺ) and during the time of Abu Bakr and 'Umar. Sahih Muslim 1405c
Weka Hadithi nzima. Na uweke hukumu ya Hadithi hii.
 
Kwny suala la wake wengi ht Mungu atakushangaa
Unamjua Mfalme Sulemani?Daudi?
Isome Biblia mwisho Suleman kilichomkuta. Au jibu la Yesu kwa wale waliouliza kumhusu ufufuo wa wafu ndio utajua kwanini nasema hivyo.
 
Uislamu ndio dini inayodhulumu wanawake kuliko dini yoyote.
Ndio dini ya majini Na marhuhani
Dini ya kuua wenzako Kwa dhulma za jihad.
Uislamu sio dini rejea the Satanic Verses za Rushd Suleiman
 
Uislamu ndio dini inayodhulumu wanawake kuliko dini yoyote.
Ndio dini ya majini Na marhuhani
Dini ya kuua wenzako Kwa dhulma za jihad.
Uislamu sio dini rejea the Satanic Verses za Rushd Suleiman
KAFIRI katika ubora wako
Kuonewa w.ke kwa kuvaa stara
Kujikinga na masheitwani ndo kua na majini
Kuiendeleza dini ndo kufanya dhulma
Yni wakristo bhna chuki tu ndo zilowajaa
 
Kwa nini allah kasema wanawake wapigwe, Kuna sehemu ingine allah kasema wanawake wataenda motoni kwa sababu Wana bleed , soma Hadith alafu ndio ujibu
Bora hiyo wapigwe tu. Kuna hii aya upige ila usiue. Ukimtoa jicho sawa, ukivunja mguu sawa..




KUTOKA 21​

20“Mtu akimpiga mtumwa wake wa kiume au wa kike kwa fimbo na kumwua papo hapo, ni lazima aadhibiwe. 21Lakini mtumwa huyo akibaki hai siku moja au mbili, bwana wake hataadhibiwa, kwani huyo alikuwa ni mali yake.
 
My point is kuliko uzinzi na familia kuvunjika heri....
Mungu habadilishi utaratibu aliojiwekea kwasababu ya tabia za wanadamu chief. Mungu tunaemwabudu niwa utaratibu. Biblia inasema " mbele yenu nimewawekea uzima na mauti,lakin mimi nawashaur chaguen uzima mkaishi maana kuna kulia na kusaga meno."
 
MUTAH ni kuchukua mwanamke kwa siku kadhaa na umlipe kwa mapatano , inaweza kuwa siku tatu na mkitaka mnaweza ongeza , sio kwa shia tu ipo pia kwa sunn
Sawa Lakini Mutah ni kwa shia tu soma vzr kiongozi
Screenshot_20220123-113451.jpg
 
Unaonaje? Na wanawake wangeruhusiwa kuolewa na wanaume wanne kama ilivyo kwa wanaume kuoa wanne naona hapa kama imeegemea upande mmoja mkuu.. maana kwa maisha ya sasa wanawake wana uwezo wa kufanya kazi na kupata pesa pia na wana uwezo wa kumudu wanaume wengi pia.. unalionaje? Hili mkuu na kama haiwezekani kwanini?
Uko sawa Lakini Nafikiri umeelemea zaidi kwenye kipengere cha kiuchumi
Na kuacha vipengere vingine muhimu kama kibailojia na kijamii ambapo athari za jambo ilo ulilosema hua ni mbaya zaidi kuliko zile athari nzuri
 
Hapo ndipo unaonyesha udhaifu wako.Quran ina tafsiri .Inatafsiriwa.Kwenye Quran Mwenyezi Mungu kaamuru waislamu waswali sala 5 lakini namna ya kusali hizo Sala imetafsiriwa kwenye hadithi.
Usilolijua ni usiku wa giza.
Nani aliwaruhusu Nabii Suleiman kuoa wake wengi?Yakobo je?Nabii Abrahamu aliruhusiwa na nani kuoa mitala?
Watoto wa Adam walioana na walikuwa ndugu?Iliruhusiwa na nani?Kwa mantiki ya dunia ya leo?
Hakuna kwenye Koran Allah kasema mswali Sala Tano(ukinionesha nakuwa muislamu leo) hao wote waliofanya dhambi Mungu kawaadhibu kuanzia Suleiman,yakobo , Ibrahim na wengine wote Mungu wa biblia anaonesha wazi amechukia dhambi zao ,
Ukirudi kwa mungu anaitwa allah kila dhambi anapongeza na kurubusu
 
Bora hiyo wapigwe tu. Kuna hii aya upige ila usiue. Ukimtoa jicho sawa, ukivunja mguu sawa..




KUTOKA 21​

20“Mtu akimpiga mtumwa wake wa kiume au wa kike kwa fimbo na kumwua papo hapo, ni lazima aadhibiwe. 21Lakini mtumwa huyo akibaki hai siku moja au mbili, bwana wake hataadhibiwa, kwani huyo alikuwa ni mali yake.
Safi Sana unaona wazi Mungu wa biblia anatoa adhabu kwenye dhambi , ila Allah anapongeza na kumkanya Muhammad asiache kubaka house girl
 
Weka Hadithi nzima. Na uweke hukumu ya Hadithi hii.
Mubarridi hao jamaa wamesema walikuwa wanafurahia kununua Malaya kipindi Cha Muhammad mpaka kipindi Cha Umar

Umar alikuja kuzuia umalaya wa mutah baada ya Umar kumto..ba mtoto wake, maana huyo mtoto alimpata kwenye mutah na alikuwa hamjui na akampa mimba mtoto wake, Umar akaona mutar alio leta allah ni use..nge akapiga marufuku
 
Back
Top Bottom