Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Mada ilikuwa ndoa wewe ndio rudi kwenye mada.Wanaume wanatoa mahari hata kwenye dinl yako!Umejiuliza kwanini wanawake hawatoi mahari?
Kwa hiyo Allah kaona mwanaume anatoa mahari ndio akasema wanawake wapigwe, aiseee
 
Mkuu hata hilo suala la mirathi lipo simple mno sababu ugawaji wa mirathi ushaelezwa nani wa kupata nani wa kukosa na nani atapata kiasi gani na nani atapata kisi hiki


Ukiona mgogolo katika mirathi ya UISLAM basi hao wapo nje ya SHERIA yDINI na hata mzee wao aliishi NJE ya DINI
Upo sahihi,,Uislam ni mwepesi sana ukiusoma
 
Allah kasema wapigeni , wapigweje ni wanadamu ndio wanaongezea kwenye Koran hakuna
Hapo ndipo unaonyesha udhaifu wako.Quran ina tafsiri .Inatafsiriwa.Kwenye Quran Mwenyezi Mungu kaamuru waislamu waswali sala 5 lakini namna ya kusali hizo Sala imetafsiriwa kwenye hadithi.
Usilolijua ni usiku wa giza.
Nani aliwaruhusu Nabii Suleiman kuoa wake wengi?Yakobo je?Nabii Abrahamu aliruhusiwa na nani kuoa mitala?
Watoto wa Adam walioana na walikuwa ndugu?Iliruhusiwa na nani?Kwa mantiki ya dunia ya leo?
 
Rudi kwenye mada , kwa nini wanawake wa kiislam allah karuhusu wapigwe, na kwa nini hakusema na wanaume wapigwe
Mimi ni Mkristo, lakini kama kweli kuna aya ya Quran inasema hivyo basi ni sahihi sana.

Mwanamke akizinguwa sometimes ni kichapo tu ndio kinaweza kumrudisha kwenye mstari.
 
Kwa hiyo Allah kaona mwanaume anatoa mahari ndio akasema wanawake wapigwe, aiseee
Uwezo wako wa kufikiri mdogo nimesema wapigwe kwa sababu wanaume wanatoa mahari?
Ilikuwa food for thought maskini ya Mungu ukashindwa kuelewa!!
 
Sio kweli mkuu
MWANAMKE katika UISLAM amepewa DALAJA la KWANZA kwa kila kitu au wazungu wao wanasema LADIES FIRST
mwanamke katika UISLAM amenyimwa UONGOZI tu

mfn:-
Mwanamke katika UISLAM ndie anataja mahari na ni yake hiyo MAHARI

Mwanamke wakati wa NDOA ndio anaazwa kuulizwa kama amekubari kuolewa na akikataa hakuna NDOA
mfn ataulizwa kwann umekataa usiolewe akasema mimi sijapewa mahari yangu basi hapo ndoa haifungwi mpk baba alokula maharai ya bint yake ampe ndo NDOA ifungwe

Mwanamke wa kiislam katika NDOA kazi yake ni mbili kujiremba kwa ajili ya mumewe na kumtanulia miguu aingie kati
na hata akikuzalia mtoto kumlea na kumnyonyesha ilipaswa umlipe hayo mambo ya kupika na kufua kama huwezi inapaswa wewe umtafutie mjakazi

mwanamke katika NDOA ya uislam kupika sio kazi yake wala kukufulia
ndio mana inasemwa kilaanapompikia mumeo na kumfulia unapata thawabu mara 100 zaid

Nimekueleza hayo machache tu
lkn yapo kedekede yanayomfanya MKE katika uislam aishi kama mfalme
na MWANAMKE katika uislam thamani yake iwe juu kam lulu

na ndio maana wakaambiwa wataingia mlango wa PEPO waitakayo
katika UISLAM pepo zina madaraja kwa ubora wake kama unavyoona hotel nyota 3 nyota 4 nyota 5 basi pepo nazi zipo hivyohvyo
sawa wanawake wa kiislam waliolewa wameahidiwa wataingia katika pepo wazitakazo wenyewe watakavyopenda
ikiwa watafanya mambao haya matatu
1. akamtii MUMEWE
2.Akaswali sala 5
3.akafunga ramadhani
basi wataingia katika pepo yoyote ile waitakayo

Ukiona MWANAMKE wa KIISLAM ananyanyasika basi ameyataka mwenyewe
kwa upumbavu wake na kuivunja NDOA yake mwenyewe
Ufafanuzi mzuri sana,, kama bado kuna anaesema uislam unakandamiza wanawake ni mpumbavu
 
Mada ilikuwa ndoa wewe ndio rudi kwenye mada.Wanaume wanatoa mahari hata kwenye dinl yako!Umejiuliza kwanini wanawake hawatoi mahari?
Issue kubwa nilikuwa namuuliza mubarrid ambae alidai wanawake wanathaminiwa

Turudi kwa mifano hai Muhammad anawafundisha nini?

Muhammad alikuwa ana house girl anaitwa maria , siku moja Hafsa akatoka akamuacha muhammad na house girl , Muhammad akambaka house girl kwenye kitanda Cha mke wake Hafsa
Akakamatwa akajiapiza hata baka tena house girl
Gafla Allah akamtuma jibril akamkanya Sana Muhammad akamwambia asiache kutafuna house girl Akashusha Aya ya 66:1

that the Muhammad had a female slave with whom he had intercourse, but 'Aishah and Hafsah would not leave him alone until he said that she was forbidden for him. Then Allah, the Mighty and Sublime, revealed:
"O Prophet! Why do you forbid (for yourself) that which Allah has allowed to you.' until the end of the Verse. Sunan an-Nasa'i 3959

Koran 66:1 Tafsiri Al- Jalalayn
O Prophet! Why do you prohibit what God has made lawful for you in terms of your Coptic handmaiden Māriya — when he lay with her in the house of Hafsa who had been away but who upon returning and finding out became upset by the fact that this had taken place in her own house and on her own bed

Allah hakuishia tu hapo kumgombeza Muhammad kwa nini anataka kuacha kula beki tatu
Akashusha Aya tena ya kusema Kam Hafsa na Aisha wataendelea kumletea noma Muhammad Allah ,jibril, Malaika wote mpaka waumini wataingilia kumsaidia Muhammad dhidi ya wanawake hao wawili

Koran 66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Mwenyezi Mungu, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake muhammad, basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.
 
Nilimsikia padri mmoja amelitolea ufafanuzi kwamba ndoa katoriki haina talaka ila kama mmoja wao kufumaniwa wanakaa kwenye usuluhishi na kama kila mtu akila 50 zake huruhusiwi tena kuona hadi mmoja wapo afariki
Hata kama mume au mke atakuwa apigi shoo vizuri lazima umvumilie tu ndio kauli ile ya kwenye shida na raha tabu na magonjwa inapotumika
Kumbe ulimskia yaan matakwa ya Padri na sio biblia day so sad
 
Uwezo wako wa kufikiri mdogo nimesema wapigwe kwa sababu wanaume wanatoa mahari?
Ilikuwa food for thought maskini ya Mungu ukashindwa kuelewa!!
Hilo nimemaliza , mwanamke wa kiislamu Allah karuhusu upewe kipondo
 
Nilidhani najadiliana na mtu mwenye akili timamu.Hizo tafsiri za uzushi zinajieleza kwamba wewe ni mtu mgonjwa na mwenye chuki ya kidini.
Mimi siwezi hata siku moja kutafuta kashfa kwenye site za kuukashifu Ukristo.Zipo nyingi tu lakini I cannot and will not stoop to your pathetic level.Mwenyezi Mungu akusaidiwe with your low life.
 
Nilidhani najadiliana na mtu mwenye akili timamu.Hizo tafsiri za uzushi zinajieleza kwamba wewe ni mtu mgonjwa na mwenye chuki ya kidini.
Mimi siwezi hata siku moja kutafuta kashfa kwenye site za kuukashifu Ukristo.Zipo nyingi tu lakini I cannot and will not stoop to your pathetic level.Mwenyezi Mungu akusaidiwe with your low life.
Usilie pangua hoja, maandiko yote nimeweka na reference kama ni tafsir nimeweka mpaka ni ya nani, Hadith pia nimeweka kitabu na Hadith number , hakuna andiko langu hata moja hapo maandiko nimetoa kwenye authentic source ya waislamu , Hadith nimetoa Sunnah.com na tafsir nimetoa kwenye website ya Jordan institute of Islamic
 
Nilidhani najadiliana na mtu mwenye akili timamu.Hizo tafsiri za uzushi zinajieleza kwamba wewe ni mtu mgonjwa na mwenye chuki ya kidini.
Mimi siwezi hata siku moja kutafuta kashfa kwenye site za kuukashifu Ukristo.Zipo nyingi tu lakini I cannot and will not stoop to your pathetic level.Mwenyezi Mungu akusaidiwe with your low life.
Kwa Hadith ingia hapa
Kwa tafsir ingia hapa
 
Wazinz cku zote wana option chief. Mke ni mmoja tu. Hakuna kisingizio. Hao unaosema wanaoa mpaka 4 bado ni wazinz waliokubuhu. Kikubwa unatakiwa kujua Mungu hafuati taratibu zako. Yeye ashaweka utaratibu ukizin ni kosa kuna adhabu. Mtu mzinz hata umpe mabeib wote atataman tu. So sisi wakristo Mungu wetu hakutupa option chief. Ukizin ni moto hata ukitaman ni kosa. Sio nyie mmepewa option eti msile kitimoto ila ikitokea dharura kula kula. Sasa huyo Mungu gan. Dhambi haiwezi kuwa nuru.
ikitokea dharula KULA.
Kabinti hata vichuchu havijaota eti vinaolewa😳😳😳
 
Mi mwenyewe namshangaa huyu jamaa aya anazotoa na kisa anachoweka havihusiani hata kidogo, anasambaza uzushi.
 
Mi mwenyewe namshangaa huyu jamaa aya anazotoa na kisa anachoweka havihusiani hata kidogo, anasambaza uzushi.
Twende taratibu Anza na hii , je ni maandiko yenu au sio yenu

Muhammad had a female slave with whom he had intercourse, but 'Aishah and Hafsah would not leave him alone until he said that she was forbidden for him. Then Allah, the Mighty and Sublime, revealed:
"O Prophet! Why do you forbid (for yourself) that which Allah has allowed to you.' until the end of the Verse. Sunan an-Nasa'i 3959

English inatusaidia Sana kuficha makali ila hapo ni kwamba muhammad alikuwa na beki tatu akawa ana , mto,mba
 
Mimi ni Mkristo, lakini kama kweli kuna aya ya Quran inasema hivyo basi ni sahihi sana.

Mwanamke akizinguwa sometimes ni kichapo tu ndio kinaweza kumrudisha kwenye mstari.
Umeshakuwa muislamu kwa ku support mwanamke apewe kipondo , Allah ndio kasema mwanamke asipo fanya unayo muelekeza mpe kipigo , ila kwa wanaume kakaa kimya
 
Kuna hadithi
Mtume anasema
Mtu yeyote akiuwacha Uislamu ni lazima Auwawe.
Sasa hiyo ni Dini au ni Kilinge cha Shetani Ibirisi

Kuna Sharifu anajiita Sharifu Majini.
Na ndio kiongozi wa Waislamu.
Ukiuliza unajibiwa.
Ni Majini mema.
Waislamu wanamjua Shetani Mwema na mbaya.

Ni hatari sana.
Anaye bisha naleta hiyo Hadithi ya Mtume.
 
Uwezo wako wa kufikiri mdogo nimesema wapigwe kwa sababu wanaume wanatoa mahari?
Ilikuwa food for thought maskini ya Mungu ukashindwa kuelewa!!
Kwa nini allah kasema wanawake wapigwe, Kuna sehemu ingine allah kasema wanawake wataenda motoni kwa sababu Wana bleed , soma Hadith alafu ndio ujibu
 
Back
Top Bottom