Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Yoyote mwenye kujitambua akipitia huu uzi atajua ukweli.Tangu lini shetani akamuamrisha mtu kufanya mema.Bora niende zangu naona umekaa ki imani zaidi pasipo kushirikisha cerebrum yako.
Huyu Alie jiita Mimi ni nani?
40:60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike
 

Hawali kitimoto ni haramu ila wanazini [emoji16][emoji16] mke au Mume ataachwa kwa uzinzi na ukimuacha na Kuoa mwingine wala hauzini. Na neno lipo wazi kwetu wakristo lakini una hiari ya kusamehe na Mungu akawasamehe mkaendelea. Maana zinaa ni ya shetani muombee mke/mume uone kama kuna hizo roho.
 
Kwa hiyo unataka kusema shetani Kawa muislamu na hawezi kushauri mema , umekubali mwenyewe kwamba devil ambae alikuwa attached na muhammad Kawa muislamu
😂😂 Wapi nimekubali mkuu? Tafsiri nishaitoa kama haukubaliani na Tafsiri yangu huyo ni wewe kwakua kichwa chako ni serikali yako.
 
Unajichanganya Sana
Koran ina Yesu bandia inasema alizaliwa bila baba alafu hapo hapo unasema wayahudi wanasema Bora Uislamu alafu unasema tena wanapinga Yesu kuzaliwa bila baba , embu tuliza akili kijana
 

Pepo ya kujichagulia[emoji16][emoji16][emoji16][emoji13] wajinga ndo waliwao labda pepo ya kiislamu.
 
Kuna mda inabidi nikuite son of Mutah, wewe ndio ulikubali hapa shetani Kawa muislamu , usilete takiya mbele ya technology
 
Sasa kama ukizini ni moto huyo Yesu alikufa msalabani kwa ajili ya nini?Au ninyi wakristo hamtendi dhambi ya kuzini?
 

Maneno haya yapo kwenye bibilia vile yameongezewa na kupunguzwa. Aisee nimeshangaa sana. Maana ni katika agano Jipya. Maneno ya Yesu mwenyewe
 
Nimeshakumaliza , uwe unatuliza akili kijana , eti hawakubali Yesu kuzaliwa bila baba alafu wanaupenda Uislamu alafu hapo hapo Uislamu unasema Yesu alizaliwa bila baba

Hapa upo na watu wazima Mutah boy
 
Maneno haya yapo kwenye bibilia vile yameongezewa na kupunguzwa. Aisee nimeshangaa sana. Maana ni katika agano Jipya. Maneno ya Yesu mwenyewe
Embu weka zote iliyopunguzwa na iliyoongezwa ili tujifunze
 
Nilishajibu mutah boy nenda kasome sura nzima inaeleza kwa nini paul akaandika hivyo acha uvivu
 
Kuna mda inabidi nikuite son of Mutah, wewe ndio ulikubali hapa shetani Kawa muislamu , usilete takiya mbele ya technology
😂😂😂 Kweli hauna maarifa kaka unajua kubold tu 😂😂😂.Aya ya chini unamuachia nani?Ni mjinga pekee atakaye endeshwa na wewe kwa kuwachambulia kipi wakisome kipi wakiache.

Acha kubold kaka,acha mtu mwenye maarifa asome post nzima ili apate habari kamili.

Kama hauna cha maana naomba usinipotezee muda kuna nyuzi kibao JF zinanisubiri.

Stop being like this;

 
Nimeshakumaliza , uwe unatuliza akili kijana , eti hawakubali Yesu kuzaliwa bila baba alafu wanaupenda Uislamu alafu hapo hapo Uislamu unasema Yesu alizaliwa bila baba

Hapa upo na watu wazima Mutah boy
Wewe ndio utulize akili usije kuzeeka vibaya.
 
Mutah boy unaongea vitu havieleweki Alie sema devil Kawa muislamu ni Muhammad sasa wewe endelea kumpinga

Abdullah ibn Mas’ud reported: The Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good.”

Source: Ṣaḥīḥ Muslim 2814
 
Na mimi nishakupa tafsiri na nishakupa maelezo hapo earlier,sijakulazimisha.

Cha kushangaza nimepitia post za nyuma recently nilikuuliza swali ila hujatoa jibu? Hii inaashiria nini? Haupo tayari kujifunza.
 
Mutah boy , nakukanya biblia sio kitabu Cha kuchomoa mstari mmoja soma sura nzima uapate mtiriko ,
Koran ndio unaweza chukua mstari mmoja maana hakina mtirirko
 
Sasa kama ukizini ni moto huyo Yesu alikufa msalabani kwa ajili ya nini?Au ninyi wakristo hamtendi dhambi ya kuzini?
Yesu amekufa kwaajili ya kurejesha mahusiano yaliyopotea kutokana na dhambi za huko nyuma so ukishafaham hilo unatakiwa kuchukua hatua za kujiepusha na dhambi maana Bwana amaiweka cku ya hukum kwa waovu wote.
 
Mutah boy kama unataka debate muheshimu kwanza mtume wako
Yeye kasema wazi Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa mdogo , pia ulianza kama kituko na utarudi kuwa kituko

“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986

He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
 
Mutah boy hayo nayoweka ni maandiko yenu usiyapinge
Nakueleza soma sura nzima uone kwa nini paul kaandika hivyo acha kukurupuka

Wakorintho 15

12Basi kama tumehubiri ya kwamba Kristo alifufuliwa kutoka kwa wafu, mbona baadhi yenu mnasema hakuna ufufuo wa wafu? 13Lakini kama hakuna ufufuo wa wafu, basi hata Kristo hakufufuliwa. 14Tena ikiwa Kristo hakufufuliwa kutoka kwa wafu, kuhubiri kwetu kumekuwa ni bure na imani yenu ni batili. 15Zaidi ya hayo, twaonekana kuwa mashahidi wa uongo kuhusu Mungu, kwa sababu tumeshuhudia kumhusu Mungu kwamba alimfufua Kristo kutoka kwa wafu, lakini hilo haliwezi kuwa kweli kama wafu hawafufuliwi. 16Kwa kuwa kama wafu hawafufuliwi, basi hata Kristo hajafufuka. 17Tena kama Kristo hajafufuliwa, imani yenu ni batili; nanyi bado mko katika dhambi zenu. 18Hivyo basi, wote waliolala katika Kristo wamepotea. 19Ikiwa tumaini letu ndani ya Kristo ni kwa ajili ya maisha haya tu, sisi tunastahili kuhurumiwa kuliko watu wote.

20Lakini kweli Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu, tunda la kwanza la wale wote waliolala. 21Kwa maana kama vile mauti ilivyokuja kwa njia ya mtu mmoja, vivyo hivyo, ufufuo wa wafu umekuja kwa njia ya mtu mmoja. 22Kwa maana kama vile katika Adamu watu wote wanakufa, vivyo hivyo katika Kristo wote watafanywa hai. 23Lakini kila mmoja kwa wakati wake: Kristo, tunda la kwanza kisha, wale walio wake, wakati atakapokuja
 
Yesu amekufa kwaajili ya kurejesha mahusiano yaliyopotea kutokana na dhambi za huko nyuma so ukishafaham hilo unatakiwa kuchukua hatua za kujiepusha na dhambi maana Bwana amaiweka cku ya hukum kwa waovu wote.
Muislamu akiwa ni mtenda mema na mcha Mungu ataenda mbinguni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…