Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Lazima atachoka tu. Wanaume ndio huwa wahitaji mara nyingi.Kwani anafanya nao wote wanne kwa wakati mmoja si tofauti tofauti.. anaweza vizuri tu kumudu sikuiz wanadanga na kila baada ya masaa matatu analala na mwanaume hawezi shindwa kuwamudu MKUU
Lol. Kazi kweli kweli.Hiyo ni kazi ya kuhesabu siku zake tu mbona rahisi sana hiyo.. wewe hauijui hiyo .. mwanamke hata alale na wanaume mia kwa mwezi.. ujauzito ukiingia atajua wa nan! Hilo usiwe na hofu nalo
Kwny suala la wake wengi ht Mungu atakushangaaWazinz cku zote wana option chief. Mke ni mmoja tu. Hakuna kisingizio. Hao unaosema wanaoa mpaka 4 bado ni wazinz waliokubuhu. Kikubwa unatakiwa kujua Mungu hafuati taratibu zako. Yeye ashaweka utaratibu ukizin ni kosa kuna adhabu. Mtu mzinz hata umpe mabeib wote atataman tu. So sisi wakristo Mungu wetu hakutupa option chief. Ukizin ni moto hata ukitaman ni kosa. Sio nyie mmepewa option eti msile kitimoto ila ikitokea dharura kula kula. Sasa huyo Mungu gan. Dhambi haiwezi kuwa nuru.
Hauko serious kijana.Ndio kumpiga mwanamke ni kumshusha thamani, hilo nimemaliza , mpaka sasa hujaleta verse ya Koran iliyokataza mutah
Weka Hadithi nzima. Na uweke hukumu ya Hadithi hii.Huu uzinzi wa mutah ulikuwa unaendelea mpaka maisha ya Umar , Soma kijana
....Yes, we had been benefiting ourselves by this temporary marriage during the lifetime of the Prophet (ﷺ) and during the time of Abu Bakr and 'Umar. Sahih Muslim 1405c
Isome Biblia mwisho Suleman kilichomkuta. Au jibu la Yesu kwa wale waliouliza kumhusu ufufuo wa wafu ndio utajua kwanini nasema hivyo.Kwny suala la wake wengi ht Mungu atakushangaa
Unamjua Mfalme Sulemani?Daudi?
My point is kuliko uzinzi na familia kuvunjika heri....Isome Biblia mwisho Suleman kilichomkuta. Au jibu la Yesu kwa wale waliouliza kumhusu ufufuo wa wafu ndio utajua kwanini nasema hivyo.
KAFIRI katika ubora wakoUislamu ndio dini inayodhulumu wanawake kuliko dini yoyote.
Ndio dini ya majini Na marhuhani
Dini ya kuua wenzako Kwa dhulma za jihad.
Uislamu sio dini rejea the Satanic Verses za Rushd Suleiman
Bora hiyo wapigwe tu. Kuna hii aya upige ila usiue. Ukimtoa jicho sawa, ukivunja mguu sawa..Kwa nini allah kasema wanawake wapigwe, Kuna sehemu ingine allah kasema wanawake wataenda motoni kwa sababu Wana bleed , soma Hadith alafu ndio ujibu
Mungu habadilishi utaratibu aliojiwekea kwasababu ya tabia za wanadamu chief. Mungu tunaemwabudu niwa utaratibu. Biblia inasema " mbele yenu nimewawekea uzima na mauti,lakin mimi nawashaur chaguen uzima mkaishi maana kuna kulia na kusaga meno."My point is kuliko uzinzi na familia kuvunjika heri....
Sawa Lakini Mutah ni kwa shia tu soma vzr kiongoziMUTAH ni kuchukua mwanamke kwa siku kadhaa na umlipe kwa mapatano , inaweza kuwa siku tatu na mkitaka mnaweza ongeza , sio kwa shia tu ipo pia kwa sunn
Uko sawa Lakini Nafikiri umeelemea zaidi kwenye kipengere cha kiuchumiUnaonaje? Na wanawake wangeruhusiwa kuolewa na wanaume wanne kama ilivyo kwa wanaume kuoa wanne naona hapa kama imeegemea upande mmoja mkuu.. maana kwa maisha ya sasa wanawake wana uwezo wa kufanya kazi na kupata pesa pia na wana uwezo wa kumudu wanaume wengi pia.. unalionaje? Hili mkuu na kama haiwezekani kwanini?
Hakuna kwenye Koran Allah kasema mswali Sala Tano(ukinionesha nakuwa muislamu leo) hao wote waliofanya dhambi Mungu kawaadhibu kuanzia Suleiman,yakobo , Ibrahim na wengine wote Mungu wa biblia anaonesha wazi amechukia dhambi zao ,Hapo ndipo unaonyesha udhaifu wako.Quran ina tafsiri .Inatafsiriwa.Kwenye Quran Mwenyezi Mungu kaamuru waislamu waswali sala 5 lakini namna ya kusali hizo Sala imetafsiriwa kwenye hadithi.
Usilolijua ni usiku wa giza.
Nani aliwaruhusu Nabii Suleiman kuoa wake wengi?Yakobo je?Nabii Abrahamu aliruhusiwa na nani kuoa mitala?
Watoto wa Adam walioana na walikuwa ndugu?Iliruhusiwa na nani?Kwa mantiki ya dunia ya leo?
Mutaha ni verse ya Koran na hakuna verse ilio katazaSawa Lakini Mutah ni kwa shia tu soma vzr kiongoziView attachment 2092494
Yani wewe unaona allah akisema wanawake wapigwe ni sawa , na sehemu nyingine Allah anasema wanawake wataenda motoni kwa sababu Wana bleedHauko serious kijana.
Safi Sana unaona wazi Mungu wa biblia anatoa adhabu kwenye dhambi , ila Allah anapongeza na kumkanya Muhammad asiache kubaka house girlBora hiyo wapigwe tu. Kuna hii aya upige ila usiue. Ukimtoa jicho sawa, ukivunja mguu sawa..
KUTOKA 21
20“Mtu akimpiga mtumwa wake wa kiume au wa kike kwa fimbo na kumwua papo hapo, ni lazima aadhibiwe. 21Lakini mtumwa huyo akibaki hai siku moja au mbili, bwana wake hataadhibiwa, kwani huyo alikuwa ni mali yake.
Mubarridi hao jamaa wamesema walikuwa wanafurahia kununua Malaya kipindi Cha Muhammad mpaka kipindi Cha UmarWeka Hadithi nzima. Na uweke hukumu ya Hadithi hii.