Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Hata wakiwa ishirini sawa tu. Nijibu swali usiruke kwa kulazimisha nisome sura nzima. Aya unazozinukuu huwa unasoma sura nzima? Nataka nijue upumbavu wa Mungu ni upi? Tumia hata uongo wa kanisa. Kumbuka sijaingiza tafsiri yangu

1 Wakorintho 1:25​

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
Koran huitaji kusoma sura maana verse na Verse huwa havina uusiano kabisa

Kasome sura nzima na ujue nani muhandishi na alikuwa anakusudia nini ndio urudi kuuliza swali

Ili la Mungu kuwa ata 10 sio mada Mungu muweza wa yote anaamua mwenyewe

Ila la Kuna ka mungu kanasema Jua linazama matopeni ni jambo la kuhoji kwa nguvu sana
 
Ongezea pia na upumbavu Kwa mujibu wa makafiri. Hili swali haukunijibu upumbavu na udhaifu wa Mungu ni upi?

1 Wakorintho 1:25​

25 Kwa maana huu ‘upumbavu’ wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.

Miungu watatu? Ushirikina ulioje.
View attachment 2117974
Haya mambo ya kufundishwa madrasa yanawafanya ufikiri wenu uwe mdogo, ume quote mstari mzima, lakini unashindwa kuuelewa. Dah!
 
Mungu wa kwenye biblia naweza kumpiga ngumi kutokana anaweza fanya lolote atakalo?
Unaleta utoto, wewe unafikiri ni Allah huyo,
Yani wanawake wa 2 wamemtisha Allah mpaka akasema kama awatamuacha Muhammad atafune beki 3 atashuka na Malaika wote na jibril kupigana nao

Koran 66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Mwenyezi Mungu, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake muhammad, basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.

Cha kushangaza ni Allah anaongea alafu anasema kama hakutubu kwa Mungu, Allah ni nani na Mungu ni nani hapo?
 
Unamanisha hata umeshindwa ku Google na kujua hata majina kama haya ya Majini wa Kiislamu ?

Wewe sio Mwislamu kabisa

Na kuanzia leo usiniulize swali lolote kuhusiana na Mada za Kidini

Umeshindwa hata kujua haya Majina Kumi tu.
Ya ndugu zako Majini wa Kiislamu ?

Pimbi kabisa wewe.

10 types of Jinn according to Islam

Hinn هين

Ghoul – الغول

Jann – جان

Marid – مارد

Ifrit – إفريت

Shiqq – شق

Nasnas – نسناس

Palis – باليس
Ndiyo maana nimekupuuza sababu nimeona unanipotezea muda na hauko makini na mjadala. Huko nyuma nilikwambia aina za majini zipo na zinajulikana kwa Mujibu wa Mtume na ni zaidi ya kumi, hoja ipo kwenye majina wanayo itana ndiyo maana nikakupa kazi ututhinitishie juu majina uliyo sema Subiani mara Popobawa.

Sasa usilete utoto katika mambo ya kielimu. Kingine hujibu maswali ninayo kuuliza kwahiyo naona unanipotezea muda tu kijana.
 
Allah hakuweka utaratibu huo, wao wana utaratibu wao ulio wekwa.

Ila mna maswali ya kitoto sana aisee.
Tupo seriously wewe unasema utoto, kwa nini Allah anatumashetani kwa wakristo ,mashetani yapo kwa kila muislamu Allah anasema mpaka kwa Muhammad alikuwa nayo
 
Tupo seriously wewe unasema utoto, kwa nini Allah anatumashetani kwa wakristo ,mashetani yapo kwa kila muislamu Allah anasema mpaka kwa Muhammad alikuwa nayo
Anawapa mtihani sababu mmekufuru na kuikataa haki. Hapo hakuna tatizo bali mnapata stahiko yenu.
 
Anawapa mtihani sababu mmekufuru na kuikataa haki. Hapo hakuna tatizo bali mnapata stahiko yenu.
Tukubali Allah ndie kiongozi wao, anayatuma ila tunayashungulikia kweli kweli
Mpaka muhammad anasema devil shetani anamuongoza kufanya mema
Na anasema devil shetani ni muislamu

Abdullah ibn Mas’ud reported: The Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good.”

Source: Ṣaḥīḥ Muslim 2814
 
Koran huitaji kusoma sura maana verse na Verse huwa havina uusiano kabisa

Kasome sura nzima na ujue nani muhandishi na alikuwa anakusudia nini ndio urudi kuuliza swali

Ili la Mungu kuwa ata 10 sio mada Mungu muweza wa yote anaamua mwenyewe

Ila la Kuna ka mungu kanasema Jua linazama matopeni ni jambo la kuhoji kwa nguvu sana
Usilete sarakasi. Jibu swali upumbavu wa Mungu ni upi?
 
Unaleta utoto, wewe unafikiri ni Allah huyo,
Yani wanawake wa 2 wamemtisha Allah mpaka akasema kama awatamuacha Muhammad atafune beki 3 atashuka na Malaika wote na jibril kupigana nao

Koran 66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Mwenyezi Mungu, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake muhammad, basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.

Cha kushangaza ni Allah anaongea alafu anasema kama hakutubu kwa Mungu, Allah ni nani na Mungu ni nani hapo?
Usibadilishe mada jibu swali upumbavu wa Mungu ni upi? Kijana au kwenye biblia huwa haujawahi kuhoji? Maana unaleta sarakasi zenu

1 Wakorintho 1:25

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.

Screenshot_2022-02-12-12-55-08-887_com.instagram.android~2.jpg
 
Tukubali Allah ndie kiongozi wao, anayatuma ila tunayashungulikia kweli kweli
Mpaka muhammad anasema devil shetani anamuongoza kufanya mema
Na anasema devil shetani ni muislamu
Aisee msijidanganye hakuna Mkristo anaye weza kupambana na Jini aisee hakuna hayo unayo yaongelea wewe ni maigizo yenu na ushirikina wenu.
 
Anawapa mtihani sababu mmekufuru na kuikataa haki. Hapo hakuna tatizo bali mnapata stahiko yenu.
66:4 - Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Mwenyezi Mungu, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake (Mtume), basi hakika Mwenyezi Mungu ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.

Unaulizwa hivi hii Aya nani anaongea?
Kwakuwa hakuna panaposema
"Sema'
Basi huyu lazima atakuwa Allah.

Allah kajichanganya hapo anawambia wake wa Mtume Muhammadi watubu kwa Mwenyezi Mungu.
Na anasisitiza kwa Mtume ni Kipenzi cha Mwenyezi Mungu, na Jibrili na Waumini wema( hapo ni pamoja na Majini ujue)

Unajua kama unaigiza uhusika wa mwingine, unatakiwa kuwa makini sana kuto kujisahau.
Ukisoma Qurani Aya nyingi Allah anajisahu na kukaa kwenye nafasi yaje halisi.
Kama hapo

Bado najiuliza Allah ni nani hasa,
Mbona kwenye Qurani hatumii kabisa Nafsi yake ya Kwanza Umoja ?

Hasemi kabisa mfano

Ninakubariki
Au Mimi ni Mungu wako
Au Ninakutuma kwa watu

Badala yake anawalaani wakristo na kusema.
"Mwenyezi Mungu na awaangamize wanaosema Masihi ni Mwana wa Mungu"
(Nitawaangamiza, ni NO kwa Allah)

Allah ni janja janja sana, na wanye Hekima tulisha mshitukia kitambo sana.

Halafu mnakuja kwetu kutuambia
Chilimuni muwe Waislamu.
 
Aisee msijidanganye hakuna Mkristo anaye weza kupambana na Jini aisee hakuna hayo unayo yaongelea wewe ni maigizo yenu na ushirikina wenu.
Ila Muislamu ndio anaweza kupambana na Jinni sio.

Muislamu Shehe Sharifu Majini.
Na Shehe Mubarridi, Majini.
 
66:4 - Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Mwenyezi Mungu, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake (Mtume), basi hakika Mwenyezi Mungu ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.

Unaulizwa hivi hii Aya nani anaongea?
Kwakuwa hakuna panaposema
"Sema'
Basi huyu lazima atakuwa Allah.

Allah kajichanganya hapo anawambia wake wa Mtume Muhammadi watubu kwa Mwenyezi Mungu.
Na anasisitiza kwa Mtume ni Kipenzi cha Mwenyezi Mungu, na Jibrili na Waumini wema( hapo ni pamoja na Majini ujue)

Unajua kama unaigiza uhusika wa mwingine, unatakiwa kuwa makini sana kuto kujisahau.
Ukisoma Qurani Aya nyingi Allah anajisahu na kukaa kwenye nafasi yaje halisi.
Kama hapo

Bado najiuliza Allah ni nani hasa,
Mbona kwenye Qurani hatumii kabisa Nafsi yake ya Kwanza Umoja ?

Hasemi kabisa mfano

Ninakubariki
Au Mimi ni Mungu wako
Au Ninakutuma kwa watu

Badala yake anawalaani wakristo na kusema.
"Mwenyezi Mungu na awaangamize wanaosema Masihi ni Mwana wa Mungu"
(Nitawaangamiza, ni NO kwa Allah)

Allah ni janja janja sana, na wanye Hekima tulisha mshitukia kitambo sana.

Halafu mnakuja kwetu kutuambia
Chilimuni muwe Waislamu.
Allah ni fiction god ambae Muhammad alimtengeneza , ndio maana unaona muhammad anaongea alafu anasingiyia ni Allah , Kuna sehemu za Koran ambazo zimetaja majina ya mitume wa kwenye biblia hizo aliandika warak alivyo kufa my Muhammad akaona ameisha akataka kijitoa uhai badae akajipa moyo akaendelea kutunga aya, ndio unakuta Aya kama hizo za kutetea uzinzi wake mara kusema waumini wakajitoe kwake apige machine , mara kutoa ahadi ya kuwa na uume usio lala mara wanawake wanene na uchafu mwingine
 
Aisee msijidanganye hakuna Mkristo anaye weza kupambana na Jini aisee hakuna hayo unayo yaongelea wewe ni maigizo yenu na ushirikina wenu.
Tunapambana nayo na tunayashinda , ila Allah nae anazidi kuyatuma , kama Yana uwezo hapa tunapambana na dini Yao Islam na hayatufanyi kitu
 
Waisrali ndio wanao mjua Yesu Kiundani kupita mtu mwingine yoyote yule.
Alizaliwa kwao.
Alihubiri Injiri kwao
Walimkamata kwao
Wakamtesa kwao
Wakamsuribisha kwao Golgota
Wakamwua kwao
Wakamzika kwao na kaburi lake lipo hadi leo ukienda watakuonesha.
Alifufuka kwao
Akapaa Mbinguni mbele ya macho yao.
Habari hizo hazipo kwenye vitabu vyao vya dini pekee.
Bali hata ktk vitabu vya Historia ya Wayahudi wenyewe.

Anazaliwa mtu huko Saudi Arabia miaka miatano baadae na anakanusha yote hayo kuhusu Yesu wa Israeli.

We kwa akili ndogo tu huoni huyo mtu alikuwa Punguani ?

Ila kwa Issa ni kweli
Issa hajateswa popote
Wala kusuribiwa
Wala kufa
Na haijulikani yuko wapi na alienda wakati gani, nani alishuhudia akienda huko aliko ?

Hebu tumia Logic japo kidogo tu kutafakari hayo maelezo utajiridhisha ulaghai uliotumika.

Yaani utafiti wa Kumjua Yesu Mwisraeli, mtu aende kusikiliza na kuamini katika vyanzo vya Waarabu?
Huyo naye bila kupepesa macho atakuwa Punguani.
Malizia na vipengele vingine vya Issa basi?Quran imekujibu hayo maswali yako kua Israel walimsulubu mtu aliyefanana na Issa/Yesu hivyo wao wanajua wamemsulubu Yesu.

So hizo paragraphs zako hazina maana if and only if hatupo hapa kutetea imani bali kuongea kwa logic of scriptures.
 
QUR'AN HUWEZI KAMWE KUIFANANISHA BIBLIA KWAKUA QUR'AN IMEKAMILIKA

NAKUPA MFANO HUU MDOGO [emoji116]

MASWALI kati ya QUR'AN na BIBLIA

(majibu Kwa mujibu wa kitabu husika. Neno SIJUI Maana yake hakuna jibu katika kitabu husika)

Unaitwa nani?

Biblia: Sijui.

Qur'an: Jina langu ni qur'ani (Surah 36: 2).

*Umetoka wapi? *

Biblia: Sijui.

Qur'an: kutoka kwa M/MUNGU (Surah 39: 1).

* Dini yako ni ipi? *

Biblia: Sijui.

Qur'an: Uislamu (Surah 3:19).

*Je! Uliwaambia Watu kwenda kuabudu siku za Jumapili/Ijumaa?

Biblia: HAPANA wangu walichagua siku hiyo wenyewe.

Qur'an: Ndio, ninawaamuru Waislamu kwenda msikitini Ijumaa (Surah 62: 9).

Kwanini hauko katika lugha yako ya asili?

Biblia: kwa sababu watu wamefanya mabadiliko mengi ndani yangu.

Qur'an: Niko katika lugha yangu ya asili, Kiarabu na sijaharibiwa (Surah 12: 2).

* Kwa nini una utata mwingi?*

Biblia: kwa sababu nimeandikwa na watu wasiojulikana (Yeremia 8: 8).

Qur'an: Sina Utata wowote kwa sababu nimetoka kwa MUNGU (Surah 4:82).

Je kuna makosa yoyote ya kisayansi?

Biblia: Ndio ninayo kwasababu Nilisema kwamba "Na sungura, kwa sababu hucheua, lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu." Wakati sungura hacheui kabisa (Mambo ya Walawi 11: 6).

Qur'an: Sina kosa hata moja la kisayansi. Uvumbuzi katika karne ya 20 ni kwamba kila nyota na kila kilicho mbinguni kinatembea katika njia yake inayojulikana kama ‘orbit’. Qur’an nilishasema jambo hili kama ifuatavyo: “Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea (katika njia zake maalum).” (Surah 21- 33) kwa hivyo mimi ni zaidi Ya Sayansi ya kisasa

Leta Hoja Za Msingi Sio Porojo

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Nimecheka Sana , unajiuliza alafu unajibia
Kwa nini Allah anasema Jua linazama matopeni
 
Malizia na vipengele vingine vya Issa basi?Quran imekujibu hayo maswali yako kua Israel walimsulubu mtu aliyefanana na Issa/Yesu hivyo wao wanajua wamemsulubu Yesu.

So hizo paragraphs zako hazina maana if and only if hatupo hapa kutetea imani bali kuongea kwa logic of scriptures.
Kwa hiyo walichosema ni kweli kwamba waliona na walimsulubu
 
Baba Mchungaji Haujajibu Swali Hata Moja Uliloulizwa au mpaka tutoe Sadaka Maana Tunajua Nyinyi Bila Sadaka Hakuna Huduma Yoyote Ya Kiroho inafanyika

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Kitabu Cha sura kama 100 tu kipo kichwani chote
Kuhusu sadaka ngoja Allah akujibu

Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Mtume, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.

Mpaka waumini walikuwa wanalalamika kwa nini muhammad anataka sadaka kabla ya kuongea nao
 
Back
Top Bottom