Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Hayawezi Kujibu Hili Swali Mpaka Kiama Kiama. Watarudi na Hoja Za Majini kumuabudu Mungu Wanasahau hao Majini mungu mwenyewe ndio kawaumba au Watabisha na Hili..[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Nimeshampa majibu akasome sura nzima na ajue alie andika ni nani, biblia sio kitabu Cha kuchomoa mstari sio Koran hiyo ambayo Haina uusiano verse na verse
 
Jifunze kuweka kila kitu mahala pake. Hata kutoa mifano nako kunahitaji elimu.

Halafu sijasema "Miaka na miaka" nimeandika "miaka na mikaka".
Ulichoongelea ni time frame iwe miaka au mikaka.
Ujinga ni ujinga tu hata udumu milele ndg.
Mmepewa akili bahati mbaya hamjawahi kuzitumia.
 
Akasome Wapi Sasa [emoji1787][emoji1787] Tupe Faida Hapa Wote Tujifunze Kama Ambayo Yeye Anawajibu Hapa Hapa.

Swali Lake.. HUO UJNGA WA MUNGU NI UPI...? Simple Tu Wala Hakuna Haja ya Kona Kona Nyingi Wakati Wewe Mwwalimu Wa Biblia Upo Hapa.

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Kabla ya kuuliza unatakiwa usome kwanza uelewe , na wewe nenda kasome sura nzima ndio uje na maswali , Mimi napo weka hoja hapa ujue nimechukua mda kusoma Koran Hadith na tafsir najiridhiasha kwanza ndio nije humu
 
Hawa waabudu miungu watatu hawana hoja bali wana viroja.
Nimeshasema Mungu ata asema nipo 10 shida Yako nini?
Issue unakuja mungu anae sema ni mmoja alafu hajui solar system, anasema Jua linazama kwenye matope, mara asema manii inatako kwenye UTI wa mgongo, verse moja anasema alianza kuumba Dunia verse nyingine anasema alianza kuumba mbingu huyu mungu ambae hajui kitu ndio tunatakiwa tumuhoji kwa kina
 
Usikimbie Maswali Fala Wewe Unatuona Watoto Au..? Uelewa Gani Kuuliza Hilo Swali..? Jibu Kama huna Tufunge Mjadala Maana Hatuwezi Kubishana Na Kibaka Anayejifanya Msomi Wa Biblia kumbe 00000 Kichwani...

Swali Rahisi HUO UJINGA WA MUNGU KATIKA BIBLIA NI UPI..?

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Nikishaona mnaanza kutukana Jua sindoni imekuingia
 
[emoji1787][emoji1787]Yani Ulikuwa Peke Yako Lakini Umewatoa Jasho na Hawajajibu Swali lako hata Moja Yamabaki tu kukupa Porojo tu ili kukutia Hofu Na Kuku Udhunisha na hayajafanikiwa.

58-10 Qur'an

Kwa hakika minong'ono hiyo inatokana na Shetani ili awahuzunishe walio amini, na wala haitawadhuru chochote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na juu ya Mwenyezi Mungu tu ndio wategemee Waumini...

Kuna Maswali Machache tu nimeuliza Yamekula Kona.

Basi Wajibu Hili Lako Kama Yangu Wameshidwa..

HUO UJNGA WA MUNGU KATIKA BIBLIA NI UPI...?

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Kumbuka shetani ni muislamu
 
Haya Jibu Wewe Baba Mchunga Kondoo Nipe Majibu Kwa Mujibu Wa Kitabu Chako Biblia Kinachokuongoza Kumuabudu Mungu Wako...

Kama Kweli Kitabu Chako Kimetoka Kwa MUNGU Na Kimekamikika Timamu Kuongoza Watu Nijibu Haya[emoji116]

1. Mlifundishwa Wapi Kuabudu JUMAPILI Ndani Ya Biblia..?

2. Jina La Kitabu Chako Mlilitoa Wapi Au Limetajwa Wapi Katika Hicho Kitabu (Biblia)..?

3. Dini Yako Ni Mkristo. Niambie Wapi Biblia umewaambia kuwa Ukristo Ndio Dini Yenu..?

4. Unasema Biblia Ni Kitabu Cha MUNGU. Nipe Hilo Andiko Kutoka Katika Hiyo Biblia..?

Swali Mwisho Ipo Wapi Injili Ya Yuda..?

Please Naomba Unijibu Hayo tu Nijifunze Usibadilishe Mada [emoji120][emoji120]

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
2. Biblia maana yake ni kitabu Cha vitabu kwenye biblia Kuna vitabu kwa hiyo ungeuliza jina la kitabu kimojawapo ndani ya biblia
Ndio maana nawambia kabla hujaleta swali soma kwanza
 
Matusi Nimesoma Uliyoaandika wewe huko juu Tena matusi makubwa Makubwa ambayo mtu Anaejiheshimu kamwe hawezi kuyaandika ndio Maana nakuona Kama muhuni tu hata Biblia huijui.

Alafu Jibu Maswali yangu hayo manne hapo Nataka Nikabatizwe Leo Leo..

Malizia Na hili

HUO UJNGA WA MUNGU KATIKA BIBLIA NI UPI..? SIMPLE TU

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Wewe kama maneno ya Allah unaona ni matusi ni wewe Mimi nachukua kama mlivyo andika , mfano hapa tukitafsiri sexual intercourse tutatumia neno gani?

Koran 2:230 If he, the husband, divorces her, after the two utterances [of divorce]; she shall not be lawful to him after that, after the third [utterance of] divorce, until she marries another husband, who has sexual intercourse with her,
 
Nimeshasema Mungu ata asema nipo 10 shida Yako nini?
Issue unakuja mungu anae sema ni mmoja alafu hajui solar system, anasema Jua linazama kwenye matope, mara asema manii inatako kwenye UTI wa mgongo, verse moja anasema alianza kuumba Dunia verse nyingine anasema alianza kuumba mbingu huyu mungu ambae hajui kitu ndio tunatakiwa tumuhoji kwa kina
Nijibu kuhusu upumbavu wa Mungu ni upi kwenye hiyo biblia yenu? Mbona haujibu hili swali? Niliuliza Kwa muda mrefu. Mi sihami hapa. Kuna contradictions zaidi ya 200 kwenye biblia huyu kaandika hivi mwingine kaandika vile. Ila leo tunataka kufahamu upumbavu wa Mungu kwenye biblia wanachomaanisha

1 Wakorintho 1:25​

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Haya Jibu Wewe Baba Mchunga Kondoo Nipe Majibu Kwa Mujibu Wa Kitabu Chako Biblia Kinachokuongoza Kumuabudu Mungu Wako...

Kama Kweli Kitabu Chako Kimetoka Kwa MUNGU Na Kimekamikika Timamu Kuongoza Watu Nijibu Haya[emoji116]

1. Mlifundishwa Wapi Kuabudu JUMAPILI Ndani Ya Biblia..?

2. Jina La Kitabu Chako Mlilitoa Wapi Au Limetajwa Wapi Katika Hicho Kitabu (Biblia)..?

3. Dini Yako Ni Mkristo. Niambie Wapi Biblia umewaambia kuwa Ukristo Ndio Dini Yenu..?

4. Unasema Biblia Ni Kitabu Cha MUNGU. Nipe Hilo Andiko Kutoka Katika Hiyo Biblia..?

Swali Mwisho Ipo Wapi Injili Ya Yuda..?

Please Naomba Unijibu Hayo tu Nijifunze Usibadilishe Mada [emoji120][emoji120]

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Ukristo ni ufuasi wa mafundisho na maisha ya Yesu
3. Christianity is an Abrahamic monotheistic religion based on the life and teachings of Jesus of Nazareth.
 
Ukristo ni ufuasi wa mafundisho na maisha ya Yesu
3. Christianity is an Abrahamic monotheistic religion based on the life and teachings of Jesus of Nazareth.
Agano la kale la nini sasa ilhali katika agano la kale Kuna matukio mengine yasiyo husiana na Yesu?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lile la Ujinga Umelishindwa..?

Alafu Sijauliza swali moja

Okay Hivyo unakubali kuwa Biblia sio kitabu Cha MUNGU Kwakua Inamaana Tofauti..? Alafu Nimeuliza Hilo Neno Biblia Ndani ya Hiyo Biblia lipo wapi kwakua mungu hawezi kuungaunga mambo yake Anatoa kitu Fulllllll. Imekuaje Biblia isijitosheleze kitabu chake asikipe jina mpaka nyinyi binadamu ndio mkipe jina..?

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Nimeshakujibu kasome sura uone kwa nini paul kaandika hivyo jibu lipo tena wazi kabisa sasa kama unataka niweke sura nzima huku au , Biblia ni kitabu Cha vitabu sasa taja kitabu ndani ya biblia ndio uulize maana ya jina ,
 
Back
Top Bottom