Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Upo tayari kusomewa sala ya toba, upo tayari kumpokea Yesu na upo tayari kumkataa Shetani kisha ubatizwe ili uingie kwenye Connection ya ukristu ili u-Cut Off connection ya uislamu/mizimu na utoboe maisha na guarantee ya kutoboa kwenye ukristu ni 100%, je upo tayari?Mh. Makubwa
should we demand an explanation from our God Lord?Sasa Yesu ameingiaje au Yesu ndio amempa kazi au Yesu ndio amemuajiri? Sometimes acheni upambe na kampeni za kijinga km hizi watu sio wajinga kiasi hicho hata km ni mfia dini huwezi ukaandika ujinga km huu ulioandikwa hapo, wewe eleza ni juhudi na kutokukata tamaa plus connection ndio vimekupa mafanikio ya kufikia malengo yako stop saying Yesu kanipa hiki Yesu kanipa kile huo ni upotoshaji mnafanya kampeni za kuingiza watu wengi kwa wachungaji wapigaji huku wao wanabaki kua masikini,
Km Yesu angekua hivyo kila anaeenda kanisani si angekua anaenda na RR sasa mbon wengine ni makapuku na kila siku wanatoa Sadaka au Yesu yupi mnaemzungumzia? Msitufanye sisi mazuzu
Kwa hio ukitoka hapo tayari wewe ushatoboa maisha? Well said, now I understand this is Africa.Kuanzia hapo utaona kuna uwezo unaingia ndani mwako na utashangaa unaweza kuacha au kukataa kutenda dhambi ulizokuwa unatenda mwanzo.
Tafuta msaada zaidi kutoka kwa watu waliokoka kweli na wanaolifata neno la Mungu.
Apart from all on what you said, you have to understand my concernshould we demand an explanation from our God Lord?
Question his methods?
Or should we enjoy the benefits of his graces?
Don't think that our good God wants us to question too much.
God says "HIS WAYS ARE NOT OUR WAYS"
what He basically means by that is HE IS MYSTERIOUS, Live with it.
Vigezo/viwango vya mafanikio vinatofautiana kati ya mtu na mtu.Tatizo la watanzania wengi ni kushangilia ushindi kabla mechi haijaisha. Ajira tu umeshajiona Bill Gates. Inasikitisha sana.
...mafanikio ya mtu hayapo connected na dini kama ulivyosema ...hiyo ni mind set yako tu..Kulikuwa na minong'ono kuwa ndugu yetu mkubwa ni mchawi na ana roho ya wivu. Mafanikio anataka yawepo ndani kwake tu. Wengine walikuwa mpaka wanakuwa wa kwanza kiwilaya katika mitihani ya dhihaki (mock) darasa la saba.
Ikifika mitihani ya taifa wenzake aliyowaburuza darasani wanapangiwa Mzumbe, Kilakala, Tabora Boys n.k lakini yeye hata shule ya sekondari ya wilaya hafiki. Akibahatika basi atapata kuchaguliwa shule ya ufundi seremala.
Sometimes mtu anafanya usaili wa kwenda jeshi kila kitu kinakaa sawa, mara mambo yanacease mtu anaendelea kuwa fukara.
Brother wetu mmoja alikubalika sana mpaka aliweza kupewa kuwa kaka mkuu kuanzia la nne mpaka siku anamaliza la saba, kwenye michezo ndiyo alikuwa balaa, kila mchezo anaoshiriki lazima afike mkoani na huko mkoani hakuna wa kushindana naye. Leo hii ni maskini kabisa.
Mimi nikiwa darasa la saba nikampokea Yesu na kuokoka. Kwa mara ya kwanza katika ukoo wetu nachaguliwa kwenda sekondari tena shule ya kitaifa si ya kata au wilaya. Nilihakikishiwa kabisa kuwa sitavuka la saba na kutolewa mifano ya wenzangu, lakini Yesu akavunja mipaka mpaka sasa ni mwajiriwa wa serikali.
Nimesoma mpaka chuo kikuu, ndiyo mtu wa kwanza kuwa na degree katika ukoo wetu na ndiyo mtu wa kwanza kuionja sekondari katika Ukoo wetu, na ndiye mtu wa kwanza katika ukoo wetu kuwa Mkristo.
Yesu ndiye kiboko ya uchawi, laana, mikosi na kila hila. Ukimpokea kwa lengo jema ukiamini kuwa yeye ni njia ya kweli na uzima hatakuacha.
Kuna mambo mengi kanitendea ila napenda kwa leo tuishie hapa.
Nimecheka sana kwa.comment hii,asante.Nakuombea pia uwe wa kwanza kupata range mkuu in sha Allah
Kumbe hio ndio definition ya mafanikio iliyopo kwenye kamusi za wengi, kwamba ukihama uislamu na kuingia ukristu basi umetoboa maisha? Kwamba unawaaminisha watu kua uislamu ni mbaya ila ukristu ndio mzuri ukiwa mkristu tayari umetoboa maisha who put that program in your head?, sitaki kwenda deep sana nisije nikachafua meza hapaVigezo/viwango vya mafanikio vinatofautiana kati ya mtu na mtu.
Kama wewe mafanikio kwako ni mpaka uwe kama Bill Gates, mwenzako Sandali Ali mafanikio ni hapo alipofikia.
Tujifunze kuheshimu maoni na mipangilio ya wengine.
Hongera mleta mada.
Wenye kukuelewa watakutafutauwape maarifa..hii kitu inatesa sanaNa elimu ya kutosha kuhusu hili. Ipo hivi na ieleweke ya kwamba. Waafrika wako masikini sababu maisha yao yapo connected na mizimu, na mizimu haitaki maendeleo thus ukijenga nyumba kijijini unalogwa ukiaga unalogwa, ukisoma haufaulu,ukilima ufanikiwi,nk. Ni hadi uwe maarifa ya kucut off ile connection ndipo utoboe.Talielezea ili jinsi nguvu ya mizimu inavyozuia mtu kufanikiwa.
Ukipata vyote katika ulimwengu huu Kisha ukaikosa roho yako! Tafuta kwanza ufalme wa Mungu na vingine vyote utaongezewaKwa hio ukitoka hapo tayari wewe ushatoboa maisha? Well said, now I understand this is Africa.
Hahaha kwaniniNimecheka sana kwa.comment hii,asante.
Alietuletea hizi dini ndio kaleta huu mkanganiyikoNa elimu ya kutosha kuhusu hili. Ipo hivi na ieleweke ya kwamba. Waafrika wako masikini sababu maisha yao yapo connected na mizimu, na mizimu haitaki maendeleo thus ukijenga nyumba kijijini unalogwa ukiaga unalogwa, ukisoma haufaulu,ukilima ufanikiwi,nk. Ni hadi uwe maarifa ya kucut off ile connection ndipo utoboe.Talielezea ili jinsi nguvu ya mizimu inavyozuia mtu kufanikiwa.
Naona utakua unaisoma sana MhubiriUkipata vyote katika ulimwengu huu Kisha ukaikosa roho yako! Tafuta kwanza ufalme wa Mungu na vingine vyote utaongezewa
Mkuu umemaliza kila kitu πππ€ be blessed, uongezewe zaidi ya hapo ulipo yaan mabaraka yakushukie hadi mengine uyakatae, you finished everything yaan umesema yote, mimi sina cha kuongezaDini ya kweli hapa Duniani ni UPENDO tu, haya mengine ni utashi wetu binadamu tu na yanaleta kujigawa na kujiona wengine ni Bora kuliko wengine ila hayana faida yoyote katika jamii zetu na hasa sie ambao ujinga ni sehemu ya maisha yetu
Mkuu umemaliza kila kitu kila kitu I mean you finished everything, yaan nakosa cha kujazia hapo yaan hata mimi hua najiuliza inakuaje kuaje hapo kwanini mchungaji anachangiwa kujengewa nyumbani Kali na viyoyozi juu ilihali kuna muumini au mwana maombi anaishi upenuni tena kwenye cordo au mwingine analala sebleni kwa shemeji yake does it make sense?Mchungaji/Nabii akitaka Gari mnamchangia pesa akanunue ila muumini akitaka Gari anaombewa na mchungaji, yani Akili zenu mnazijua wenyewe, sasa kama maombi yanaleta Gari/ mafanikio iweje mchungaji achangiwe pesa na sio kuombewa apate Gari?
Mkuu Saint Anno II njoo umsaidie Sandali Ali huku
Mkuu sijapingana nae ila alichokosea ni kutuaminisha kwamba ukiwa na Yesu then you're successful in each & everything that's rubbish, mimi mkristu tena sio wa mchongo alichokiandika ni ujinga km ingekua ni kwa faida yake binafsi si angebaki nayo kwenye kitabu chake cha kumbukumbu, yeye kaja kuwachota wafuasi humu watoke uislam waende ukristu kwamba ukiwa mkristu utafanikiwa kimaisha hio dhana ni potofu, na hii sio mara yake ya kwanza
Huyu amepotoka kifikra na kiakili inabidi tumuweke kwenye mstari sahihi kwamba mafanikio hayana udini, umenielewa?
Na wewe kabla ya kunivamia na kunikosoa jipime uwezo wako wa kufikiri km fikra zako ni fupi usipimane na mimi
Ata mm naona jamaa anateseka sana sijjui kwann?Mbona unateseka hivyo? Si umkaushie.
Sasa kwenye hii dua namuomba yesu au mungu? Mana umewachanganya wote.Watu hawaelewi tu. Ukiwa na Yesu kuna ushindi fulani unaupata. Hakuna kitu kikubwa kama kuwa na ushindi dhidi ya dhambi na huu haupatikani kwa nabii, mtume au dini yoyote, ni kwa Yesu pekee. Na kuupata ni rahisi.
Kwanza unaamua kwa dhati ya moyo kuwa unataka kuacha dhambi siyo kwa utani Bali kwa kudhamiria kabisaa. Halafu tamka maneno yafuatayo.
.............................................
Mungu wangu nakuja mbele zako nikikiti kuwa Mimi ni mwenye dhambi tangu kuzaliwa. Nimeamua kwa dhati ya moyo wangu kuacha dhambi lakini kwa nguvu zangu siwezi. Naomba Yesu Kristo ulifute jina langu katika vitabu vya hukumu na uliandike katika kitabu Cha uzima, unisamehe dhambi zangu zote, unibadilishe na kunifanyia kiumbe kipya kiroho katika jina la Yesu Kristo Amen.
..................... ... ............. .......... ......
Kuanzia hapo utaona kuna uwezo unaingia ndani mwako na utashangaa unaweza kuacha au kukataa kutenda dhambi ulizokuwa unatenda mwanzo.
Tafuta msaada zaidi kutoka kwa watu waliokoka kweli na wanaolifata neno la Mungu.