APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
kwa sababu ya gharama walizotumia katika kujnga wanapangisha ghali ilia kurudisha gharama zao walizotumia,pia miingiano ya watu ni mkubwa chuga ndo sehemu kuna makabila yote ya watu so sehemu kama hii kuna competition ya biasharaHivi kwanini kupata fremu ya biaashara chuga ni ngumu sana na bei ni juu sanaaa
kwa sababu ya gharama walizotumia katika kujnga wanapangisha ghali ilia kurudisha gharama zao walizotumia,pia miingiano ya watu ni mkubwa chuga ndo sehemu kuna makabila yote ya watu so sehemu kama hii kuna competition ya biasharaHivi kwanini kupata fremu ya biaashara chuga ni ngumu sana na bei ni juu sanaaa
*Kiwanja tafuta cha 700,000😁😁 we acha tu iLa hatuwez kufa kwenye nyumba za kupanga iko sku na ss tutawaachia urithi watoto wetu
𝐷𝑎𝑎ℎ 𝑠ℎ𝑢𝑘𝑟𝑎𝑛𝑖 𝑘𝑢𝑢 𝑢𝑚𝑒𝑛𝑝𝑎 𝑖𝑑𝑒𝑎 𝑛𝑎𝑖𝑚𝑎𝑛 𝑛𝑎𝑚𝑖 𝑛𝑘𝑖𝑓𝑘𝑖𝑠ℎ𝑎 𝑚𝑖𝑎𝑘𝑎 28 𝑛𝑡𝑎𝑘𝑢𝑎 𝑛𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑛𝑎𝑎𝑚𝑒𝑛 ℎ𝑣𝑜*Kiwanja tafuta cha 700,000
Usijali umbali toka mjini,
*Anza kufyatua matofali yafikie 1500 tu,
*Mtafute mchora ramani rafiki yako akupe dizaini simple vyumba 2 na sebule chimba choo kidogo nje,hakikisha ramani yako ni endelevu yaani unaweza kuongeza mpaka utakapo maliza uje kjipata bungalow that is simple way I did.haya makitu Wala yasijekukunyima furaha,maana hata utakapohamia kwenye Banda lako hutaona furaha yoyote!
sasa hivi unamiaka mingapi𝐷𝑎𝑎ℎ 𝑠ℎ𝑢𝑘𝑟𝑎𝑛𝑖 𝑘𝑢𝑢 𝑢𝑚𝑒𝑛𝑝𝑎 𝑖𝑑𝑒𝑎 𝑛𝑎𝑖𝑚𝑎𝑛 𝑛𝑎𝑚𝑖 𝑛𝑘𝑖𝑓𝑘𝑖𝑠ℎ𝑎 𝑚𝑖𝑎𝑘𝑎 28 𝑛𝑡𝑎𝑘𝑢𝑎 𝑛𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑛𝑎𝑎𝑚𝑒𝑛 ℎ𝑣𝑜
𝑁𝐷𝑂 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 22 𝑚𝑘𝑢𝑢sasa hivi unamiaka mingapi
ukiweka elfu 5 kila siku baada ya miaka 5 utakuwa na kama million 9 hivi sasa hapo siunajenga kabisa𝑁𝐷𝑂 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 22 𝑚𝑘𝑢𝑢
ni kweLi iLa s unaelewa maisha yetu ya kiswahiLi kuipata elfu 5 kiLa day nayo ni mtiti unaweza ukakaa week uspate ishu ya kupga mtaan ila sometimes napo mungu anabark mamb yanakaaukiweka elfu 5 kila siku baada ya miaka 5 utakuwa na kama million 9 hivi sasa hapo siunajenga kabisa
unafanya kazi gani tuanze haponi kweLi iLa s unaelewa maisha yetu ya kiswahiLi kuipata elfu 5 kiLa day nayo ni mtiti unaweza ukakaa week uspate ishu ya kupga mtaan ila sometimes napo mungu anabark mamb yanakaa
ila asilimia kubwa tunafeli kutkana na changamoto za kifamilia unakuta shda kbao na ww unajikuta nd wa kutatua n ngumu kufankisha sometimes
Aaah mishe za ufundi umeme bhna nd tunambza mtaani ukuunafanya kazi gani tuanze hapo
Hahhhh jenga hvhv mkuuNingesha jenga kitambo sema kiwanja kina mgogoro
Hela nishaila kiwanja nimewaachia ila nilikunya hapoHahhhh jenga hvhv mkuu
Hehehe wewe ni motivesheno spika?ukiweka elfu 5 kila siku baada ya miaka 5 utakuwa na kama million 9 hivi sasa hapo siunajenga kabisa
sio maswala ya spika hata bunge lipo😀Hehehe wewe ni motivesheno spika?
HahahahhahHehehe wewe ni motivesheno spika?
Dunia ni njia tunapita, kwa nn ujenge nyumba?? Unaanzaje kujenga nyumba njiani?Kwanza kwanini unataka kujenga nyumba?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu wanajisahau kabisa kwamba "dunia sio yao" mpaka wanaanza kujengaWaliohamia Duniani tunangoja majibu yao