Katika utawala wake, hayati Magufuli hakwenda New York kuhutubia UNGA, je tulirudi nyuma kiuchumi na kisiasa?

Hakwenda UN kwa sababu kubwa 2;
1. Kale pacemaker maarufu kama kabetri kalikuwa kana mfanya asiwe comfortable na usafiri wa anga, hasa safari ndefu
2. Lugha ya Malkia au English ilikuwa haipandi pamoja na kuwa holder wa FAKE PhD
Acha chuki za kishamba we bwege.
 
Mwendazake hakwenda UNGA katika miaka yake ya Urais wa JMT lakini bado hayo matatizo ya ajira, matundu ya vyoo mashuleni na madarasa hayakuisha. Kwa kutokwenda kwake imesaidia nini? Hongera SSH kwa maaumuzi yako sahihi ya kwenda kwenye forum za Kimataifa kubadilishana mawazo na dunia. Siyo Rais wa nchi unajifungia ndani ya nchi huku ukishauriwa na wajingawajinga kama Bashite, Polepole, Kibajaji, Babu Tale, Sabaya and the like. Mwisho wa siku agenda ya kujenga nchi inakufa na kubakiwa na agneda ya kutekana na kununua wabunge, madiwani na viongozi wa juu wa vyama vya upinzani.
 
Umeulizwa Kikwete aliyezunguka Dunia nzima alipata exposure gani? mbona Mambo yaliaribika sana na Nchi kujaa ufisadi baada ya usimamizi wa mali za umma, kitu ambacho Magufuri pamoja na kutokuwa na exposure
 
Umeulizwa Kikwete aliyezunguka Dunia nzima alipata exposure gani? mbona Mambo yaliaribika sana na Nchi kujaa ufisadi baada ya usimamizi wa mali za umma, kitu ambacho Magufuri pamoja na kutokuwa na exposure
Wacha kujitoa akili, JK kafanya makubwa sana katika kujenga uchumi wa nchi. Hata huyo DIKTETA wenu wa Chato aliyakuta yamekamilika ndiyo akaanza kuyazindua
 
In fact kutokwenda kwake huko kulisababisha viongozi wengine wawe wanamsikia kwa mbali na tu na hivyo kuwa na hamu ya kumwona. Katika utawala wake tulipata hela za WB na IMF kama kawaida tu, ni hao viongozi wa IMF na WB ndio waliokuwa wanakuja kumwona
 
Neno la Mungu linasema' heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao'!

'Amelaaniwa amtegemeae mwanadamu na kumfanya kuwa kinga na moyoni mwake amemwacha Mungu'......kwa maneno rahisi(limelaaniwa Taifa ligemealo mataifa/Taifa mengine/lingine)

Hii ni kwa ngazi ya mtu mmoja mmoja mpaka Taifa!
 
Hadi anafariki kama sikosei Uchumi ulikuwa umeshuka mpaka 4.7% na ndiyo maaana Mama alishindwa kupandishwa mishahara!
 

Kiongozi sio Magufuli alijitahidi, sema alifanya mapinduzi ya maiaka 50 ijayo! Achana Na vijana wanajifanya wanaakili kumbe maarifa zero
 
Hata Kama Mayala hataki kukubali, Ila ukweli ni kwamba umempiga knock out

Ndombwindo unaupiga mwingi!

Mayala anacheza karata ati anajifanya kuzichanga ili nae aonekane kwenye teuzi walau za uDAS baada ya kujua Hangaya pia huwa anapitapita huku!
 
Tanzania ni sehemu ya dunia. Juhudi zilizofanywa na sukumagang kuitenga na dunia zilikuwa za kishetani!
 
Hata Kama Mayala hataki kukubali, Ila ukweli ni kwamba umempiga knock out

Ndombwindo unaupiga mwingi!
Hahaaaahaaa!!! Pascal Mayalla anatetea udhaifu, anaongelea exposure as if watu wapo gizani kiivyo, dunia yenyewe siku hizi ipo kinganjani.

Kutoka nje kwa Kikwete hakutufanya tuwe hata robo ya North Korea kwa Kim Jong ambaye hatoki kizembe nchini kwake lakini kwa technology sio wenzetu kabisa. Imagine Mpaka leo tunaomba misaada Cuba ambako kuna vikwazo toka enzi za mwalimu, jamaa hawapendani kabisa na Wamagharibi lakini maisha yanadunda tena zaidi ya jana, huku kwetu watu hawafikiri kabisa.
 
Safi sana umewaelewesha kama darasa la 2. Watakuwa wameelewa. Kwamba wote wakiweka wawakilishi au wasiweke kabisa, Itakuwa vp? Maana jamaa aliondoka na akili zao hata umuhimu wa UN hawajui. Wanachojua ni kula mahindi barabarani huku wanaongea.
 
Hadi anafariki kama sikosei Uchumi ulikuwa umeshuka mpaka 4.7% na ndiyo maaana Mama alishindwa kupandishwa mishahara!
Uchumi ushuke halafu world bank isifie na kusema kuwa uchumi umepanda hadi kiwango cha kati! Unatania wewe. Tamko la uchumi wa kati lilitolewa na world bank, halikutolea na serikali ya Tanzania wala CCM! Na wao hufanya tathmini ya miaka mtatu mfululizo kabla ya kutoa tamko hilo.
 
Hizo per capital za akina Mkapa na Kikwete zilisaidia nini Nchi? wakati wa Mkapa mashirika yote yaliuzwa pamoja na viwanda na migodi na nyumba za serikali,akaja Kikwete kamalizia kilichobakizwa na Mkapa na kuanza kutumbua kile alichokusanya Mkapa.Huyu unadharau kaongeza per Capital $80 kanunua ndege kumi, kafufua reli ambayo ilikuwa imeshindikana, kanunua meli mpya kila maziwa,katengeneza flyover , kajenga masoko ya madini,kanzisha CGR ,na mabwawa ya umeme ili Nchi iweze kujikwamua kwenye mikono ya matapeli, Magufuri anapata madarakani Muhimbili hata t-sc

Wacha kujitoa akili, JK kafanya makubwa sana katika kujenga uchumi wa nchi. Hata huyo DIKTETA wenu wa Chato aliyakuta yamekamilika ndiyo akaanza kuyazindua
Yapi aliyoyakuta yamekamilika na kuyazindua?
 
Ongeza nguvu mdau Paskali. Awamu hii unaweza kukumbukwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…