Katika vijana waliopatia kuoa Bilnas yumo, ndoa yake na Nandy ni mfano wa kuigwa na vijana wa kisasa. Ina win win nyingi sana

Namba mbili sio kweli, mama yake nandy alikimbia ndoa, akaja Dar Ku tafuta maisha, a kaacha mume Moshi, akachukua watoto,
Usidanganywe na uyaonayo nje, ndoa zina Mambo mengi bro

Weka ushahidi kama mama nandy alikimbia familia. Mama wa watoto watano na mwanaume mmoja anaanzia wapi kukimbia familia

Familia ya kina nandy imeishi sana maeneo ya ubungo makuburi karibu na mabibo hostel. Walikuwa wanaishi wote baba na mama na watoto wao kina nandy. Walikuwa wanasali KKKT makuburi na kanisani walikuwa wanajulikana familia nzima.
 
Ndoa haipimwi kwa siku mbili,
 
Watu mna data.
 
Cc @mgangamwaka
Jinsi Mganga Mwaka alivyokuwa akijinadi na wakeze alipelekea wasichana wachukulie wao na rafiki zao kugingwa na mtu mmoja ni kitu normal tu na cha kisasa. Katika hili Mganga Mwaka alitusaidia sana, maana 3 hadi 4some zilihusika mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…