Namba mbili sio kweli, mama yake nandy alikimbia ndoa, akaja Dar Ku tafuta maisha, a kaacha mume Moshi, akachukua watoto,
Usidanganywe na uyaonayo nje, ndoa zina Mambo mengi bro
Ndoa haipimwi kwa siku mbili,Habari wadau.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza billnass amepatia sana kumuoa nandy. Kwa sababu zifuatazo
1. Same Purpose kwenye maisha kati yao billnass na nandy. Wote wana passion na muziki. Billnass anajua kuandika nyimbo na mke wake nandy anajua kuimba. Wameji complete hapa. Nandy haitaji kumkodi mtu wa kumuandikia nyimbo kama wasanii wa kike wenzake kina ruby ama maua sama wenza wao hawawezi waandikia nyimbo. Zuchu ana bahati yupo lebo kubwa wasafi waandishi wapo wengi wa kumuandikia. Nandy kaipata hii kwa mume wake
2. Family background inayoheshimu ndoa. Nandy anatoka familia inayoheshimu ndoa baba yake na mama yake wapo kwenye ndoa miaka zaidi ya 30 pamoja. Billnass na yeye hivyo hivyo nae anatoka familia inayoheshimu ndoa baba na mama yake wapo kwenye ndoa miaka na miaka.
3. Utafutaji wa pesa... wote billnass na nandy ni watafutaji wa pesa kupitia muziki wao na biashara zao. Kila mtu anajua pesa inavyopatikana kwa shida siamini kama kuna mtu ananyonya jasho la mwenzake.
4. Makazi sehemu moja. Ndoa haina kuishi long distance maana wote wamejiajiri. Mke na mume wote wanaishi nyumba moja.. siku ambazo hawawi pamoja ni safari za kikazi tu.
Tofauti na ndoa za vijana wengi waajiriwa. Mke kaajiriwa Crdb mbeya huku mume kaajiriwa Tanesco mwanza.. kukutana mume na mke ama kukaa pamoja mpaka likizo tu.
5. Urafiki kwenye ndoa. Wote wapo same age. Wana vitu vingi wanafanya pamoja maana wanaendana umri.
6. Unaweza ongezea mwenyewe
Watu mna data.Bill nas alipenda sana kuuza simu ukiachilia mbali na usanii.
Mpaka kuishi south afrika ili apate za dili na kuleta bongo.
Kutokana na kisu chake kutokuwa kikali ila nandy alimpenda jamaa sababu wauza simu wanabahati ya kupendwa na mademu wakali.
Leo unaona ndoto yake imetimia.ila marehemu angekuwepo [emoji23] .sasa hivi angekuwa madiba au anasubiri za bongo abadilishe imei na kuuza
Muda ndio kila kitu.Tuwape Muda
Cc @mgangamwakaKuna wakati wanandoa wanaweza kuonekana wameyapatia sana maisha kwa sababu ndoa yao haijajaribiwa tu.
Kuna najaribu watu wanakutana nayo kwenye maisha ya ndoa kiasi yakiwekwa hadharani kila siku hakuna mtu atakayetaka kuoa tena.
Mbaya zaidi wapo wanaamini cheating ni jaribu linalovunja ndoa nyingi, ukweli ni kwamba cheating ina mchango wa kawaida kabisa kwenye kuharibu ndoa ukilinganisha na mengine