Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.
Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.
Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.
Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.
Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.
Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.
Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.
Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.
Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.
Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.
Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.
Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.
Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.
Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.
Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.
Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.
Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.
Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.
Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.
Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.
Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.
Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.
Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.
Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.
Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.
Jana wanangu wanaosoma darasa la saba waliniuliza, hivi si ndio wanawafanyia waliokufa?
Kwani wanayemfanyia amekufa !!
Sikujibu neno maana nami nilipigwa na butwaa.
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.
Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.
Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.
Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.
Sasa hawataki Rais aombewe ili ashindwe kutimiza majukumu yake? Wakamate wote sukuma ndani. Rais ni wa kuombewe kila siku kama dozi ya dawa full stop na wote semeni amina,
Huyu ni Mpumbavu na ameipatia aibu familia yake! Mke wake na watoto wake π hata kama ni uchawa ila kuna kiwango! Hapo bado kidogo angesema Mungu Samia π Kuwa na Mshua wa namna hii ni heri uwe yatma tu! Mungu atakuelewa! π wazee wanazeeka ila pia na wapumbavu wanazeeka!